Ujinga mtupu!PK yuko sahihi. Viongozi wengi wa Afrika wana uwezo mdogo wa kufikiri. Haiwezekani nchi yako ina raslimali za kila aina! Halafu bado unaendekeza umatonya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga mtupu!PK yuko sahihi. Viongozi wengi wa Afrika wana uwezo mdogo wa kufikiri. Haiwezekani nchi yako ina raslimali za kila aina! Halafu bado unaendekeza umatonya.
Mbona Kagame yeye anaiba mali huko Congo?"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Ndio maana Kuna Polish, Norwegian, German, Scottish, Swedish, Finish etc.Hakuna lugha ya kizungu huku duniani. Alichoongea hapo ni Kingereza!
Sijui ni sababu zipi hasa zilizokufanya uanzishe mada nzito kama hii kwa kutumia kichwa cha mada kama ulivyo kiweka."If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Informal Translation:"If the owners of the natural resources go around begging, then you should know there's something wrong with their minds”
View attachment 3009379
Kwani amezungumzia madeni?Mtoa ujumbe mwenyewe huyo anamadeni kibao sana Nchini kwake. Muulizeni kwanini alikopa na kuomba msaada?
Anawezesha matajiri wenzake wasije kumlaumu akitoka madarakani .Hizo aibu Magufuli hakuzitaka, hakuna wskukujengea nchi na Kwa sera za Rais Samia kamwe hatokuja kukuza uchumi imara Kwa nchi hii
Acha ujinga wako wewe.uwe na adabu kwa mamlaka.huyo mtoa ujumbe kajaa madeni. Kukopa siyo dhambi bali kinachoangaliwa ni unakopa kwa ajili ya nini na masharti ya mkopo yapoje. Serikali yetu imekuwa ikichukua mikopo ya masharti nafuu kabisa.kama tulivyoshuhudia mkopo wa Dolla Billion 2.5 ambao riba yake ni 0.01% na utalipwa kwa muda wa miaka 40Huyu mama 24/7 ni kiguu na njia, hatulii, akitulia ujue amekuja kupika deal jingine la kuuza nchi, anarud tena kuzurura. Yan awamu hii tuna sales and marketing officer pale magogoni.
Ujumbe wa kagame roho imeniuma mmi kama ndio mkuu wa nchi vile
Kichwa maji mwenyewe..!🤸Huyo @ephen na mumewe wote vichwa maji.
Acha ujinga wako wewe. kwa hiyo unafikiri kuna pesa zinazogawiwa kama njugu huko Duniani ?Kwani amezungumzia madeni?
Huku ndiko kutokuwa na uwezo wa kiakili kujuwa nini kinachozungumziwa. Unachanganya takataka zote, ili mradi tu uonekane umejibu hoja! Hizi elimu zenu hizi zina matatizo makubwa.
Achana naye huyo .anayetaka kukutukana wewe naomba anitukane mimi na kukuacha huru lazizi wangu.Kichwa maji mwenyewe..!🤸
Muulize amekopa shilingi ngapi kutoka nje ya Nchi huyo mtoa ujumbe?kagame angenyoosha maneno tu kwamba sir100 kwenda kuomba omba nje misaada na mikopo ni kuwa na afya mbovu ya akili
Tangu aanze kukopa mwananchi wa kawaida amenufaika na nini kama sio kila kitu vinapandishwa kodi na mwananchi hafanyi maendeleo yoyote. Uwezo wa wananchi kununua viwanja na kujenga nyumba umepungua sana tangu aingie madarakani. Makazi ya wananchi yanavunjwa kila kukicha bila huruma ya aina yoyote wakati ndio hao wanaolipa kodi kupitia njia mbalimbali lakini hawasikilizwi na kutatuliwa kero walizosababibishiwa na wenye madaraka.Acha ujinga wako wewe.uwe na adabu kwa mamlaka.huyo mtoa ujumbe kajaa madeni. Kukopa siyo dhambi bali kinachoangaliwa ni unakopa kwa ajili ya nini na masharti ya mkopo yapoje. Serikali yetu imekuwa ikichukua mikopo ya masharti nafuu kabisa.kama tulivyoshuhudia mkopo wa Dolla Billion 2.5 ambao riba yake ni 0.01% na utalipwa kwa muda wa miaka 40
We fala , mi sibishani na wehu mbwa weeAcha ujinga wako wewe.uwe na adabu kwa mamlaka.huyo mtoa ujumbe kajaa madeni. Kukopa siyo dhambi bali kinachoangaliwa ni unakopa kwa ajili ya nini na masharti ya mkopo yapoje. Serikali yetu imekuwa ikichukua mikopo ya masharti nafuu kabisa.kama tulivyoshuhudia mkopo wa Dolla Billion 2.5 ambao riba yake ni 0.01% na utalipwa kwa muda wa miaka 40
Matusi ni dalili za kuishiwa hoja na kuonyesha ugonjwa ulionao kichwani mwako.We fala , mi sibishani na wehu mbwa wee
Mental illness is realAcha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Mi sina hata hoja nakubali kabisaaMatusi ni dalili za kuishiwa hoja na kuonyesha ugonjwa ulionao kichwani mwako.