Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Acha ujinga wako wewe.uwe na adabu kwa mamlaka.huyo mtoa ujumbe kajaa madeni. Kukopa siyo dhambi bali kinachoangaliwa ni unakopa kwa ajili ya nini na masharti ya mkopo yapoje. Serikali yetu imekuwa ikichukua mikopo ya masharti nafuu kabisa.kama tulivyoshuhudia mkopo wa Dolla Billion 2.5 ambao riba yake ni 0.01% na utalipwa kwa muda wa miaka 40
Mwandiko wako,sema yako ndivyo vinavyokutafisiria empty. Lakini upande huo wengi ni vilaza. Wamepewa vitengo nyeti tu lakini is empty.Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
umeelewa kilichoandikwa dada lucyAcha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
We mjinga umenichekesha aiseeee.Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Sana sana ni mhitimu wa VETA na atakuwa Artsan na siyo Engineer,tafadhali heshimu taaluma za watu,yaani kabisa Lucas Mwashambwa awe EngineerUngejua Lucas ni muhitimu wa degree ya uinjinia ungetulia😂🤸
Hii tu inatosha kutuambia ulikuwa kilaza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 kilaza ndo anashangiliwa na watu kucheka sanaaaaaaaAcha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Sema mods watanipiga ban ila tofauti na hapo nimekupostia cheti chake cha first classNi kweli
Sana sana ni mhitimu wa VETA na atakuwa Artsan na siyo Engineer,tafadhali heshimu taaluma za watu,yaani kabisa Lucas Mwashambwa awe Engineer
Ni pm,na kama ni kweli cha kwangu nakitia kiberitiSema mods watanipiga ban ila tofauti na hapo nimekupostia cheti chake cha first class
Shahidi nani kua kweli utatia moto cheti chako? Sitaki ubabaishaji cheti cha lucas nipo nacho hapaNi pm,na kama ni kweli cha kwangu nakitia kiberiti
kumbe,wewe ni kilazaSiyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.
Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?
Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.
Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.
Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
We mwantumu tuliza mshumaa huo kama umekosea kubali kurekebishwa na huyo mumeo Lucas Mwashambwa.Kichwa maji mwenyewe..!🤸
Sa mbona huna akili hata kidogoAcha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Nakutumia video wakati nakiteketezaShahidi nani kua kweli utatia moto cheti chako? Sitaki ubabaishaji cheti cha lucas nipo nacho hapa
Putin mweusi una majibu kama Putin mwenyewe🤣🤣Ni kweli
Sana sana ni mhitimu wa VETA na atakuwa Artsan na siyo Engineer,tafadhali heshimu taaluma za watu,yaani kabisa Lucas Mwashambwa awe Engineer