ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Ungejua Lucas ni muhitimu wa degree ya uinjinia ungetulia😂🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua Lucas ni muhitimu wa degree ya uinjinia ungetulia😂🤸
Haya Njoo mama anaenda kutafuta pesa zilitengenezwa na nan?Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Sawa waridi wangu nimekubali .nitashusha uzi wa kizungu humu mpaka watu wakatafute kamusi za kiswahili kwa kingereza kutafuta maana ya kila neno nililoandika .Lucas Mwashambwa kesho tupandishe uzi wa english dharau zipungue humu jamvini🤸
Jamaa inaonyesha anaipedna CCM kuliko kisanvu cha shambani uliyemtaka
Hata hyo MemkhanaHumtendei haki Lucas Mwashambwa, ungemtafsiria si unajua tena elimu yake ni ile ya MEMKWA.
We jamaa kama huwa una maanisha dawa yako utainywa ipo sikuSiyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.
Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?
Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.
Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.
Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Hajazungumzia kukopa bali kutembeza bakuli.Kwamba kagame Hakopi ? Tena yeye ndo ameshindikana mpaka anajitwalia mali za nchi za waafrica wenzao kwa Mabavu
Yaani we jamaa ni mweupe sana 😂😂😂Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.
Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?
Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.
Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.
Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Jomba umeua 😄😄Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Kagame mwenyewe amejaa mikopo mingi kuliko hata Makopo ya maji ya Kilimanjaro yaliyopo mitaaani na majalalani.Yaani we jamaa ni mweupe sana 😂😂😂
Alafu umemtolea mfano Rais Samia na bado umepuyanga, na huyo PK hujamwelewa na hapa ishu sio kukopa ishu ni Kwanini Wewe una rasirimali unaenda kuzunguka zunguka huko Duniani? Kwanini wasije wenyewe wewe ndiyo unawafuata? Nahisi kuna dili za udalali zinafanyika aisee.
😂😂😂😂Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Nimesoma vizuri kabisa na hata ephen naye amesoma vizuri kabisa😂😂😂😂
Soma vizuri bhana halafu utoe maoni yako
Na sasa huna kazi ya kufanya, mwanaume wa hovyo unasifia sifia tu wanaume wenzako.Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Utakuwa ulisoma na vilaza tupu,kama kwa pumba hizi wanaweza kukushangilia basi hayo yalikuwa matutusa kabisa.Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Kwa taarifa yako nchi ya Rwanda hata kwenye top 10 ya nchi zenye madeni haipo na hapa unazungumzia kuhusu kwanini una rasilimali unaenda kuzunguruka huko duniani? Kwann wao wasikufuate? Kuna udalali aisee, halafu ni huku bara tu kule Visiwani kuna bahari tena kubwa sana na kuna mbuga ile ya Jozani Forest yenye manyani (collubus) kwanini haiguswi?Kagame mwenyewe amejaa mikopo mingi kuliko hata Makopo ya maji ya Kilimanjaro yaliyopo mitaaani na majalalani.
Kama una hasira kunywa sumu UFE na kufa kabisa tu ndugu yangu maana huna faida kabisa hapa Nchini. Unamaliza tu hewa safi ambayo ingeweza hata kumpepea ephen akiwa anatembea.kuliko hewa hiyo safi ukivuta wewe usiyejitambua.Na sasa huna kazi ya kufanya, mwanaume wa hovyo unasifia sifia tu wanaume wenzako.
Kwani ni Listi ipi iliyotolewa inaonyesha kati ya nchi kumi zinazodaiwa madeni makubwa na Tanzania ipo?Kwa taarifa yako nchi ya Rwanda hata kwenye top 10 ya nchi zenye madeni haipo na hapa unazungumzia kuhusu kwanini una rasilimali unaenda kuzunguruka huko duniani? Kwann wao wasikufuate? Kuna udalali aisee, halafu ni huku bara tu kule Visiwani kuna bahari tena kubwa sana na kuna mbuga ile ya Jozani Forest yenye manyani (collubus) kwanini haiguswi?
Kiuhalisia Job Ndugai alikuwa sahihi sana na yale matamshi yake.
Rudi kwenye hoja ephen wa nini?Kama una hasira kunywa sumu UFE na kufa kabisa tu ndugu yangu maana huna faida kabisa hapa Nchini. Unamaliza tu hewa safi ambayo ingeweza hata kumpepea ephen akiwa anatembea.kuliko hewa hiyo safi ukivuta wewe usiyejitambua.