Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Humtendei haki Lucas Mwashambwa, ungemtafsiria si unajua tena elimu yake ni ile ya MEMKWA.
Hata hyo Memkhana
Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.

Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?

Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.

Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.

Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
We jamaa kama huwa una maanisha dawa yako utainywa ipo siku
 
Siyo Rasilimali za asili pekee unazomiliki ndio zinakufanya uwe tajiri.bali inahitaji akili ,pesa, teknolojia,maarifa na ujuzi wa watu wako unaotokana na kupata Elimu bora na ya viwango vikubwa.

Embu fikiria hata kama una gesi asilia lakini huna pesa, wataalamu wenye ujuzi na uzoefu, teknolojia na mengine mengi ni vipi utavuma gesi hiyo?

Hiyo ndio sababu ya viongozi wenye Akili kubwa ,maarifa na maono makubwa aina ya Daktari Samia Suluhu Hasssan hutumia akili kutafuta pesa kwa njia mbalimbali kama ya mikopo nafuu kabisa isiyo na athari wala maumivu kwa walipakodi na mali na utajiri wa Taifa letu.

Lakini pia kuna masuala ya ubia kati ya serikali na Secta binafsi kama ambavyo hufanyika hapa Nchini na njia nyingine mbalimbali zinazokubalika na zenye maslahi kwa Taifa letu.

Angalia hata Mheshimiwa Paul Kagame yeye na Nchi yake wanadaiwa shilingi ngapi kutoka mataifa ya nje,taasisi za kifedha na mashirika mbalimbali ya kifedha kutoka maeneo mbalimbali Duniani?
Yaani we jamaa ni mweupe sana 😂😂😂
Alafu umemtolea mfano Rais Samia na bado umepuyanga, na huyo PK hujamwelewa na hapa ishu sio kukopa ishu ni Kwanini Wewe una rasirimali unaenda kuzunguka zunguka huko Duniani? Kwanini wasije wenyewe wewe ndiyo unawafuata? Nahisi kuna dili za udalali zinafanyika aisee.
 
Yaani we jamaa ni mweupe sana 😂😂😂
Alafu umemtolea mfano Rais Samia na bado umepuyanga, na huyo PK hujamwelewa na hapa ishu sio kukopa ishu ni Kwanini Wewe una rasirimali unaenda kuzunguka zunguka huko Duniani? Kwanini wasije wenyewe wewe ndiyo unawafuata? Nahisi kuna dili za udalali zinafanyika aisee.
Kagame mwenyewe amejaa mikopo mingi kuliko hata Makopo ya maji ya Kilimanjaro yaliyopo mitaaani na majalalani.
 
Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Utakuwa ulisoma na vilaza tupu,kama kwa pumba hizi wanaweza kukushangilia basi hayo yalikuwa matutusa kabisa.
 
Kagame mwenyewe amejaa mikopo mingi kuliko hata Makopo ya maji ya Kilimanjaro yaliyopo mitaaani na majalalani.
Kwa taarifa yako nchi ya Rwanda hata kwenye top 10 ya nchi zenye madeni haipo na hapa unazungumzia kuhusu kwanini una rasilimali unaenda kuzunguruka huko duniani? Kwann wao wasikufuate? Kuna udalali aisee, halafu ni huku bara tu kule Visiwani kuna bahari tena kubwa sana na kuna mbuga ile ya Jozani Forest yenye manyani (collubus) kwanini haiguswi?
Kiuhalisia Job Ndugai alikuwa sahihi sana na yale matamshi yake.
 
Na sasa huna kazi ya kufanya, mwanaume wa hovyo unasifia sifia tu wanaume wenzako.
Kama una hasira kunywa sumu UFE na kufa kabisa tu ndugu yangu maana huna faida kabisa hapa Nchini. Unamaliza tu hewa safi ambayo ingeweza hata kumpepea ephen akiwa anatembea.kuliko hewa hiyo safi ukivuta wewe usiyejitambua.
 
Kwa taarifa yako nchi ya Rwanda hata kwenye top 10 ya nchi zenye madeni haipo na hapa unazungumzia kuhusu kwanini una rasilimali unaenda kuzunguruka huko duniani? Kwann wao wasikufuate? Kuna udalali aisee, halafu ni huku bara tu kule Visiwani kuna bahari tena kubwa sana na kuna mbuga ile ya Jozani Forest yenye manyani (collubus) kwanini haiguswi?
Kiuhalisia Job Ndugai alikuwa sahihi sana na yale matamshi yake.
Kwani ni Listi ipi iliyotolewa inaonyesha kati ya nchi kumi zinazodaiwa madeni makubwa na Tanzania ipo?
 
Back
Top Bottom