Rajabmbisha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 316
- 530
Hii nchi shida tupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana watu wengi humu jukwaani wana wasi wasi na jinsia yake wanaume hatuko hivyo kusifia sifia wanaume wenzetu. Kuna shida makali.Na sasa huna kazi ya kufanya, mwanaume wa hovyo unasifia sifia tu wanaume wenzako.
ephen ni Mboni yangu.Rudi kwenye hoja ephen wa nini?
Ona shoga hili, jitu la hovyo kabisa kutwa kusifia waume zake, shoga limetengwa.Kama una hasira kunywa sumu UFE na kufa kabisa tu ndugu yangu maana huna faida kabisa hapa Nchini. Unamaliza tu hewa safi ambayo ingeweza hata kumpepea ephen akiwa anatembea.kuliko hewa hiyo safi ukivuta wewe usiyejitambua.
Kufa tu ndugu yangu kama una hasiraNdiyo maana watu wengi humu jukwaani wana wasi wasi na jinsia yake wanaume hatuko hivyo kusifia sifia wanaume wenzetu. Kuna shida makali.
Huu uzi hauzungumzii madeni, unazungumzia kwann tuna rasilimali halafu Kiongozi wa nchi anaenda kwa WaAsia, Wazungu? Kwanini hao was ije?Kwani ni Listi ipi iliyotolewa inaonyesha kati ya nchi kumi zinazodaiwa madeni makubwa na Tanzania ipo?
Naomba kwanza umtafsirie Nina uhakika hawezi Elewa.
Je Rwanda haidaiwi? Haina madeni? Ni nchi gani Afrika isiyo Daiwa? Unafahamu hata Japani yenyewe inadaiwa?Huu uzi hauzungumzii madeni, unazungumzia kwann tuna rasilimali halafu Kiongozi wa nchi anaenda kwa WaAsia, Wazungu? Kwanini hao was ije?
Yaani kuna harufu ya udalali.
Job Ndugai alikuwa sahihi sana
Avatar yako vipiNaomba kwanza umtafsirie Nina uhakika hawezi Elewa.
Hiyo english aiwezee wapi sasaLucas Mwashambwa kesho tupandishe uzi wa english dharau zipungue humu jamvini🤸
Khaaaaa! Unasema?? Mbona umetafsiri uongo na kweli? Kumbe unamsa lucas wewe mwenyewe ni walewaleHuu uzi hauzungumzii madeni, unazungumzia kwann tuna rasilimali halafu Kiongozi wa nchi anaenda kwa WaAsia, Wazungu? Kwanini hao was ije?
Rwanda ina Rasilimali kama za nchi yako?Je Rwanda haidaiwi? Haina madeni? Ni nchi gani Afrika isiyo Daiwa? Unafahamu hata Japani yenyewe inadaiwa?
Nife kwa sababu ya utaahira wako? Kufa wewe unayetaabika kutetea mafisadi ilhali mafisadi wenyewe hawana muda na wewe.Kufa tu ndugu yangu kama una hasira
"Kinara wa kuongea kizunguu" Tuanzie hapo kwanza. Tukishajua "kizunguu" ni lugha gani basi tutaendelea kuchangia na kudadavua mambo .Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
He does the same though
Anaelewa kitu basi huyo robot eunice?Rwanda ina Rasilimali kama za nchi yako?
Na Wewe Ephen unakurupuka na kujichanganya sijui ni mihemuko au? Niliomba maoni ya Lucas na yeye akaja na maneno mengi yenye kujichanganya mpaka anamtaja na Samia.Khaaaaa! Unasema?? Mbona umetafsiri uongo na kweli? Kumbe unamsa lucas wewe mwenyewe ni walewale
🤣😁🤣😁😁😁👍👍Atakwambia mama anaupiga mwingi
Yaani Lucas Mwashambwa alitakiwa ajibu hivi tu ningemuelewa sana.He does the same though
Imefanyaje?Avatar yako vipi