Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Lucas Mwashambwa toa maoni yako kuhusu kauli ya Rais Paul Kagame

Kagame anazungumzia viongozi kutoka nchi zenye Rasilimali nyingi kama Tanganyika. Muwage mnasoma na kuelewa
Una Data za kutosha kwamba Rasilimali za Tanganyika zinatosha kuendesha Nchi bila kuchukua Mikopo ? Budget ya Nchi ni TZS Ngapi na Mapato ya Ndani ni Kiasi Gani ? unadhani kuna mtu atapenda Kuchukua mkopo Kma una hela za ndani kutosha Kuendesha Miradi na bajeti ya nchi yako. Tusijisahulishe kuwa sisi ni moja ya nchi Maskini wa kutupa kutokana na pato la kila mmoja mmoja na wengi weti zaidi ya 60% hatulipi kodi ya aina yoyote tofauti na kodi ya manunuzi ambayo nyingi haifiki serikalini lakini bado tunataka Elimu bure, Tiba nafuu na huduma nyingine zakijamii kwa unafuu. Kiufupi kuendesha taifa maskini na la wajinga kama Tz ni mzigo na yataka Moyo ndio maana viongozi wasiojali wanaona bora wachukue chao mapema.
 
Tanzania tungekuwa mbali sana sema viongozi (CCM)ndio tatizo kuu!
1. Mikataba ya mibovu, ya hovyo na iliyojaa ufisadi!
2. Ufisadi wa viongozi
3. Ajira zinazohitaji watu wenye weledi badala yake hupeana kwa kujuana!
4. wizi wa mali za umma unaofanya kila eneo na kukingiwa kifua na wakubwa (report za CAG)
 
Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
😂😂😂 Nachokupendaga huna hasira,unajibu Kama huelew vile Kama unatukanwa au kukejeliwa.
 
Mimi nipo tayari kuzitaka kaka mkubwa. Shusha mambo
Data mbona zipo wazi! Mitihani ya darasa la 7 wengi huwa nafeli sanasana vijijini, olevel wengine hawamalizi kabisa pia wengi hufeli mitihani wanashindwa kwenda chuo au advance bado wengine chuo hawaendi wanakua wamefeli form 6

Mwaka 2012 nusu ya wanafunzi walifeli mitihani ya form 4 hadi ikawa kizaazaa nchini kumbuka.
Usimchoshe Lucas
 
Hawana akili mkuu, wanaomba ujenge barabara halafu kila leo ajali
Wanaomba za madawa, na watoto wanakufa kila leo
Wanaomba za shule huku vyoo wanashindwa kujenga
Hizo hela huwa wanagawana wao bila aibu
Ujue kuna kitu huwa kinaniumiza na kunihuzunisha sana.
Ukikaa na whites waliowengi huwa wanaona sisi blacks hatuna akili na bado hatujawa binadamu kamili kujitawala, wanatudharau na kututukana sana.
Mimi naona wanakosea sana kujumlisha wote kwa pamoja.
Wenye sifa hizo hapo hapo juu ni viongozi, Afrika bado inawatu bora sana. Ila aina za siasa za Afrika ndio inafanya wenye Karama za uongozi wakae pembeni na tuongozwe na watu wa hovyo wasiojali.
 
😂 😂 😂
Lucas Mwashambwa umeshindwa kujibu hoja na kuna watu wengine ambao wapo kwenye payroll ya Lumumba nao wameongea na kuandika utoto mwingi sana. Alafu nashangaa kwenye huu uzi kaingizwa na Rais Samia.
Halafu huyo Paul Kagame hata kama anakopa ni sawa sio kwa utaratibu unaofanyika hapa Tanzania sio kabisa yaani wanaenda kutafutwa watu ili waje kugawiwa rasilimali za nchi. Sijawahi kuona wala kusikia ni bora uwe mwizi kuliko kwenda kuwa dalali wa nchi yako. 😭😭😭
 
😂 😂 😂
Lucas Mwashambwa umeshindwa kujibu hoja na kuna watu wengine ambao wapo kwenye payroll ya Lumumba nao wameongea na kuandika utoto mwingi sana. Alafu nashangaa kwenye huu uzi kaingizwa na Rais Samia.
Halafu huyo Paul Kagame hata kama anakopa ni sawa sio kwa utaratibu unaofanyika hapa Tanzania sio kabisa yaani wanaenda kutafutwa watu ili waje kugawiwa rasilimali za nchi. Sijawahi kuona wala kusikia ni bora uwe mwizi kuliko kwenda kuwa dalali wa nchi yako. 😭😭😭
Talks with proves, unauhakika na usemalo?
 
😂 😂 😂
Lucas Mwashambwa umeshindwa kujibu hoja na kuna watu wengine ambao wapo kwenye payroll ya Lumumba nao wameongea na kuandika utoto mwingi sana. Alafu nashangaa kwenye huu uzi kaingizwa na Rais Samia.
Halafu huyo Paul Kagame hata kama anakopa ni sawa sio kwa utaratibu unaofanyika hapa Tanzania sio kabisa yaani wanaenda kutafutwa watu ili waje kugawiwa rasilimali za nchi. Sijawahi kuona wala kusikia ni bora uwe mwizi kuliko kwenda kuwa dalali wa nchi yako. 😭😭😭
Acha uongo wako wewe.Tanzania hatugawi rasilimali zetu kama karanga.
 
Acha dharau zako wewe. Mimi nimepiga shule sana na nilikuwa kinara wa kuongea kizunguu kwenye mijadala shuleni mpaka wanafunzi wanashangilia kwa kelele za shangwe huku wanabubujikwa na machozi ya furaha.
Shule ya kuuza sukari ya magendo mshukuru yule diwani aliyekuchomoa jela ungekuwa unalea vichanga muda huu!!
 
Ghafla Kagame kawa role model,,,,ila kipindi cha Jiwe si mlikua mnamchukia sababu mnasema alikua anapata influence ya huyo jamaa,,,,,kumbe sahivi mama nae awe kama jamaa............hadi 2025 pataeleweka tu......
BOMAYEEE
 
Weusi wote tuna IQ zinazofanana, PK angeanza kwanza kuachia wengine waongoze alafu aanze kunyoosha vidole
 
Acha uongo wako wewe.Tanzania hatugawi rasilimali zetu kama karanga.
Mnafanya udalali hii awamu yaani ni ujinga wa mwisho. Zile enzi za kina Sultan Mangungu wa Msovelo huu ujinga haukuwepo nashangaa hii awamu imekuwa ya hovyo sana. Alafu na wewe mtu mwenye akili timamu unajizima data huoni yanayofanyika? Wamasai kufukuzwa kwenye maeneo ya asili na kuhamishiwa Handeni na bado gharama za maisha zimezidi kupanda yaani mpaka vocha zimepanda bei.
 
Back
Top Bottom