Kwa hiyo umefurahia huu upmbavu??umechukia...pole!
Punguza chuki.Unanitia kichefuchefu!
Huyu mwanamuziki anajitambua na daima tukumbuke kuwa nabii kamwe haheshimiki nyumbani kwake!
Kwa hiyo unataka kusema kweli huyo ni Las Laciano??Huyu mwanamuziki anajitambua na daima tukumbuke kuwa nabii kamwe haheshimiki nyumbani kwake!
Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.
View attachment 400403
Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.
Acheni propaganda za kitoto yaan ufanye photoshop af mjipange kujijibu wenyewe mkidhani mtawaaminisha watu, kweli njaa ikiingia ubongoni mbaya, shame on you Lumumba fc
pia mkuu tizama hapo kifuani kuna neno FEZA sasa sijui huko jamaika nao wana neno hilo? hii picha sio ya mtu wa huko jamaika..hii ni ya a certain 'dude' hapa bongoHatishwi na ya mpito bali ya muda mrefu [emoji134] [emoji134] [emoji134] HATUFAI
Kiongozi yeyote anayetishika ni janga
Mwanamziki wa Jamaica Las Laciano aliyewahi kutamba na nyimbo kadhaa , " ikiwemo its me against jah" amejichora tatoo ya rais kutokea Africa anayemkubali , ambaye ni rais wa Tanzania Mh. Dr John Magufuli.
Sababu ni kuwa ndo rais muwajibikaji, anayeona mbele hatishiwi na matatizo ya mpito ila anatishiwa na matatizo ya muda mrefu kama rushwa, urasimu na uzembe kazini.
View attachment 400403
Mheshimiwa Magufuli ameendelea kugonga kimataifa na anazidi kukubalika.
matibabu ya kufuta tattoo ni ghari sana,, na inahusisha mionzi,Vyovyote iwavyo ni ya Magufuli.
Si wanaona watu mabwege, et ras lucciano, waachecwaendelee kujitekenya na kucheka wenyewweusipende kudanganya watanzania huyo ni dudu baya na luciano ni huyu hapo chini.
View attachment 400418
swissme
hamna kitu hapo, huyo aliyejichora tattoo ni mla mapanki wa mabatini Mwanza.Worldwide!