Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,120
- 24,667
Kwa hiyo umefurahia huu upmbavu??umechukia...pole!
Jf siyo blog za mtaani, kwa ajili ya mambo ya kijinga jinga!
Hivi unawezaje kushabikia upuuzi kama huo au ni mihemko tu inakuwasha?
Mmezoea kupotosha watu mitaani maana jinsi hata wewe ulivyo si ajabu ukachukua hiyo picha na kuwahadaa majuha wenzio kuwa ni kweli ni msanii kutoka Jamaica kachora hiyo tatoo!!
Buku 7 bhana...mnatia aibu!!