Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Chawa watakuwa wanaona aibu kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena ni ujinga mkubwa snNi saw na kumpa mtu pesa yako yote na kuanz kukupa kdogo kdogo huku wew unamshukuru
Hawatamuelewa mzee Utto maana viongozi sasa wamevuka kwenye ujinga wako viwango vya juu yaani upumbavu ktk Tanzania ya leo Elimu haina maana tena utakuta profesa mzima naye anasema Rais Samia ametuletea fedha za miradi,ujinga mtupu.Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais..
Kwa tatizo la kujikomba la watanzania labda Mungu aingilie Kati ama liwekwe kwenye katiba mpya. Hatuna watu tena nchi hii hili ni janga kama ushogaHii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais...
Chawa aliyesahaulika 🙁Huyo kama anaona wivu kwa mamilioni ya watanzania kumpongeza mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania kwa kazi nzuri anayoifanya na iliyoleta tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania basi na yeye aende akagombee Urais aone kitakacho mkuta...
Wanaipongeza atm kwa kutoa fedha zao wenyewe, shida uchawa na ujinga umezidi,Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais...
Yul sio mchagga, angalia vizuri kile kichwa na ile T-shirt.Safiii sanaa kuna wajinga wengi sana aseeer Naibu Waziri afya anayia aibu wachaga banaas