Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

Upo sahihi Mkuu, Uchawa ndio sababu ya haya kutokea.

NAAMINI HATA RAIS HUWA ANACHUKIA JINSI TUNAVYOMTUKUZA KUPITA KIASI.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Ukiona hata Waziri Mkuu akimshukuru Rais Dr Samia kwa kufadhili mradi fulani, basi unajieliza treni la siasa za chama zilitoka vipi kwenye reli.
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"

Ungempa na Hadhi yake ni profesor Utoh
 
Hii nchi imelaaniwa
Na mambo yanaendelea kuwa mabaya zaidi, nchi inaendelea kupoteza kile kizazi cha watu makini, watu walioweza kusimama na kusema kama haya aliyosema CAG mstaafu.

Na hii anayosema CAG inatokana na wateule wengi wa Rais kutokujiamini na unafiki mwingi. Viongozi wengi wamepata vyeo kwa connection na kujikombakomba kwa mamlaka za juu, hii inapelekea waamini bila kumsifia sifia Rais inaweza kupelekea kupoteza nafasi zao.

Ukipata kazi kutokana na elimu na ubora wako kiutendaji, huwezi kuwa chawa maana unajiamini. Viongozi wanaojikombakomba kwako sijui wanaweza kukushauri kitu gani.

Tuliona jinsi walivyojifanya wanaunga mkono msimamo wa Magufuli wa kukataa chanjo na barakoa enzi ya Covid19, alipoondoka wakaanza kukimbilia barakoa na chanjo. Kuzungukwa na watu wanaojikomba sana kwako sio jambo jema, utaangamia.

Tunatengeneza taifa la machawa na hii itatugharimu zaidi huko mbeleni. Ukiona mteule wako anakusifia sifia sana ujue hatimizi wajibu wake kama inavyotakiwa na anatumia sifa nyepesi kukupumbaza.
 
Huyu nae mnafiki tu...mbona hakusema hayo kipindi cha mwendazake?
Maana hii misemo ilianza kipindi cha jiwe..

Wasomi wetu mirija ikianza kikata ndo wanajifanya great thinker...
Better late than Never
 
Huyo anaekubali kusifiwa kwa vitu ambavyo sio vyake ndio tatizo
Angekemea kwq nguvu tena kuwakataza pindi wanapobinua midomo yao basi wangeacha
Sipendi mtu aniite tajiri au majina ya kinafiki
Kwanini akubali sifa ambazo ni za Mungu tu
 
Tatizo la watanzania kwa zaidi ya miaka 60 tumezidi kuwa maskini wa Mali na akili na maskini wenyewe ndio watakaokupinga.Wanajiita chawa. kwao ni ufahari
 
Hiyo yote ni pale mfumo wa uongozi wa taifa unakua corrupted ,hivyo kukosa watu wenye uweledi katika ngazi mbalimbali za uongozi hivyo kupelekea kuwepo kwa viongozi machawa na wanafiki.Rais hana biashara inayompatia fedha za kuendesha taifa hadi apewe shukrani personal na wote wanaofanya hivo ni kudharau jasho la wananchi.
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Ameamza kulifahamu jambo hilo lini jana? Ndio, leo ndio anasema!?
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Ngoja VYAWA wakusikie🙁
 
Huyo kama anaona wivu kwa mamilioni ya watanzania kumpongeza mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania kwa kazi nzuri anayoifanya na iliyoleta tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania basi na yeye aende akagombee Urais aone kitakacho mkuta.

Kwa hiyo anataka tusimpongeze Rais wetu? Anataka tumkatishe tamaa mh Rais? Kwani hajuwi mamlaka ya Rais katika utokaji wa mabilioni ya fedha kwenda katika miradi au huduma za kijamii? Hajaona mahali unakuta kuna mradi unasuasua kwa kukosa pesa lakini Rais akifika na kutoa amri na kuelekeza pesa zipelekwe mahali hapo zinatoka haraka sana na mradi kuendelea kujengwa na kukamilishwa? Sasa kwanini tusimpongeze mh Rais?

Chawa mkuu in da house [emoji23]
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
These are the brains we need
 
Back
Top Bottom