Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hata Waziri Mkuu akimshukuru Rais Dr Samia kwa kufadhili mradi fulani, basi unajieliza treni la siasa za chama zilitoka vipi kwenye reli.Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Litazame sura yake....na matendo yake mna shida nyie wapuuziiKuna Mollel mchaga? Nyie mapumbavu flani tu yasiyojiamini
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Itabidi ajiuzulu kwanza ndo aseme[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo haya yanazungumzwa na wastaafu, ingependeza atokee aliyepo huko serikalini ayaseme haya.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hii nchi imelaaniwa
Better late than NeverHuyu nae mnafiki tu...mbona hakusema hayo kipindi cha mwendazake?
Maana hii misemo ilianza kipindi cha jiwe..
Wasomi wetu mirija ikianza kikata ndo wanajifanya great thinker...
waleteeeeeee....,..,ChoiceVariable, Lucas mwashambwa, na chawa wa mama mada kama hii mkiiona huwa mnaipita kimya kimya.
Ni wakati wenu huu sasa wa kuurejesha ubongo mahali pake sahihi (kichwani), kutoka huko kwenye matumbo yenu yaliyojaa minyoo ya kila aina.
Ameamza kulifahamu jambo hilo lini jana? Ndio, leo ndio anasema!?Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Ngoja VYAWA wakusikie🙁Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Huyo kama anaona wivu kwa mamilioni ya watanzania kumpongeza mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania kwa kazi nzuri anayoifanya na iliyoleta tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania basi na yeye aende akagombee Urais aone kitakacho mkuta.
Kwa hiyo anataka tusimpongeze Rais wetu? Anataka tumkatishe tamaa mh Rais? Kwani hajuwi mamlaka ya Rais katika utokaji wa mabilioni ya fedha kwenda katika miradi au huduma za kijamii? Hajaona mahali unakuta kuna mradi unasuasua kwa kukosa pesa lakini Rais akifika na kutoa amri na kuelekeza pesa zipelekwe mahali hapo zinatoka haraka sana na mradi kuendelea kujengwa na kukamilishwa? Sasa kwanini tusimpongeze mh Rais?
These are the brains we needHii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"