Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Huyu atakuwa anatumika kisiasa!😂
Anatumika na mabeberu!😂
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Yupo sawa, niujinga ulio pitiliza kushukuru mtu anae tekeleza majukumuyake.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Wanaofanya hivyo hawafanyi kwa bahati mbaya bali wameshajua mapungufu ya malkia wa kaya......hayo mapambio nyuma yake yana matarajio makubwa ya kupata chochote kitu..........

Kwa lugha nyepesi wamekuwa machangudoa wa kisiasa Ili kukidhi mahitaji ya matumbo yao......

Nje ya sifa na mapambio ni watu wazima wenye akili timamu wanaojua wanafanya nini maishani mwao......


Vijana wanasema mjini mipango.....
 
Huyu nae mnafiki tu...mbona hakusema hayo kipindi cha mwendazake?
Maana hii misemo ilianza kipindi cha jiwe..

Wasomi wetu mirija ikianza kikata ndo wanajifanya great thinker...
Humjui Uttoh....
Jaribu kumfuatilia alafu uone kama utaandika hivi
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Huyu mzee watamuua
 
Wanaofanya hivyo hawafanyi kwa bahati mbaya bali wameshajua mapungufu ya malkia wa kaya......hayo mapambio nyuma yake yana matarajio makubwa ya kupata chochote kitu..........

Kwa lugha nyepesi wamekuwa machangudoa wa kisiasa Ili kukidhi mahitaji ya matumbo yao......

Nje ya sifa na mapambio ni watu wazima wenye akili timamu wanaojua wanafanya nini maishani mwao......


Vijana wanasema mjini mipango.....
Wanamtanguliza wanapiga pesa za umma
 
Fedha ni za umma kweli lakini katiba imemmpa mamlaka na nguvu za kisheria, kuwa mdhamini wa fedha za umma. Exchequer account na BOT vipo chini ya uangalizi wake.
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Huyu amechanganyikiwa, akae kimya hana jipya
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Akatae kama Nyerere alivokataa kuitwa mheshimiwa.
 
Walioteuliwa wote wamegeuka machawa ili kulinda nafasi zao, kwa kifupi ili upate nafasi kwenye serikali kua chawa tuu msifie bibi chaudele kwenye Kila jambo lazima utoboe
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Hakika yaani
 
Back
Top Bottom