Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

Ludovick Utouh: Tusijikombe sana, fedha ni za Umma sio za Rais

Huyo kama anaona wivu kwa mamilioni ya watanzania kumpongeza mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania kwa kazi nzuri anayoifanya na iliyoleta tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania basi na yeye aende akagombee Urais aone kitakacho mkuta.

Kwa hiyo anataka tusimpongeze Rais wetu? Anataka tumkatishe tamaa mh Rais? Kwani hajuwi mamlaka ya Rais katika utokaji wa mabilioni ya fedha kwenda katika miradi au huduma za kijamii? Hajaona mahali unakuta kuna mradi unasuasua kwa kukosa pesa lakini Rais akifika na kutoa amri na kuelekeza pesa zipelekwe mahali hapo zinatoka haraka sana na mradi kuendelea kujengwa na kukamilishwa? Sasa kwanini tusimpongeze mh Rais?
Kichwa chako na boga havina utofauti! Tena heri ya boga ndani yake kuna mbegu! Ila kichwa chako Kiko tupu kabisa !
 
Huyo kama anaona wivu kwa mamilioni ya watanzania kumpongeza mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania kwa kazi nzuri anayoifanya na iliyoleta tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania basi na yeye aende akagombee Urais aone kitakacho mkuta.

Kwa hiyo anataka tusimpongeze Rais wetu? Anataka tumkatishe tamaa mh Rais? Kwani hajuwi mamlaka ya Rais katika utokaji wa mabilioni ya fedha kwenda katika miradi au huduma za kijamii? Hajaona mahali unakuta kuna mradi unasuasua kwa kukosa pesa lakini Rais akifika na kutoa amri na kuelekeza pesa zipelekwe mahali hapo zinatoka haraka sana na mradi kuendelea kujengwa na kukamilishwa? Sasa kwanini tusimpongeze mh Rais?
Kwenye sifa ni sawa.... Mambo yakiharibika wanasukumiwa watendaji. Kama anataka sifa akubali pia na lawama... Nyie MACHAWA Wapumbavu sana.
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Kama anakerwa na yeye agombee Urais Ili tuseme Rais Utour katoa 🤣🤣

Wivu tuu hamna kingine kisa walitegemea ashindwe ila Sasa ameshinda.
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Unaishukuru serikali kwa kuwa inalipa kodi? Inapotoa pesa maana yake inatoa pesa za walipa kodi, hata kama ni mikopo hiyo ni watanzania tutalipa , hivyo sioni sababu ya kuishukuru serikali, labda kuipongeza kama kuna haja ya kufanya hivyo.

Mzee unamshukuru mtu ambaye umempa kazi na ameiteleza? Hilo hapana .
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Ujumbe umefika sawa kabisa!
 
Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.

Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).

Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.

Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.

Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Yaani unaenda kutoa Hela zako benki kwenye ATM halafu ukipata unaishukuru ATM kwa kutoa Hela zako! Huu ujinga umejaa kwa watumisghi wa serikali.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom