Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Hatutumii Katiba ya 1977Utouh asome vizuri Katiba ya 1977
Rais wa Tanzania ni Mfalme!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutumii Katiba ya 1977Utouh asome vizuri Katiba ya 1977
Rais wa Tanzania ni Mfalme!
Kichwa chako na boga havina utofauti! Tena heri ya boga ndani yake kuna mbegu! Ila kichwa chako Kiko tupu kabisa !Huyo kama anaona wivu kwa mamilioni ya watanzania kumpongeza mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania kwa kazi nzuri anayoifanya na iliyoleta tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania basi na yeye aende akagombee Urais aone kitakacho mkuta.
Kwa hiyo anataka tusimpongeze Rais wetu? Anataka tumkatishe tamaa mh Rais? Kwani hajuwi mamlaka ya Rais katika utokaji wa mabilioni ya fedha kwenda katika miradi au huduma za kijamii? Hajaona mahali unakuta kuna mradi unasuasua kwa kukosa pesa lakini Rais akifika na kutoa amri na kuelekeza pesa zipelekwe mahali hapo zinatoka haraka sana na mradi kuendelea kujengwa na kukamilishwa? Sasa kwanini tusimpongeze mh Rais?
Kwenye sifa ni sawa.... Mambo yakiharibika wanasukumiwa watendaji. Kama anataka sifa akubali pia na lawama... Nyie MACHAWA Wapumbavu sana.Huyo kama anaona wivu kwa mamilioni ya watanzania kumpongeza mh Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania kwa kazi nzuri anayoifanya na iliyoleta tabasamu na matumaini katika mioyo ya watanzania basi na yeye aende akagombee Urais aone kitakacho mkuta.
Kwa hiyo anataka tusimpongeze Rais wetu? Anataka tumkatishe tamaa mh Rais? Kwani hajuwi mamlaka ya Rais katika utokaji wa mabilioni ya fedha kwenda katika miradi au huduma za kijamii? Hajaona mahali unakuta kuna mradi unasuasua kwa kukosa pesa lakini Rais akifika na kutoa amri na kuelekeza pesa zipelekwe mahali hapo zinatoka haraka sana na mradi kuendelea kujengwa na kukamilishwa? Sasa kwanini tusimpongeze mh Rais?
Kama anakerwa na yeye agombee Urais Ili tuseme Rais Utour katoa 🤣🤣Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Ameshinda kitu Gani au ni kipi ameshinda?Kama anakerwa na yeye agombee Urais Ili tuseme Rais Utour katoa 🤣🤣
Wivu tuu hamna kingine kisa walitegemea ashindwe ila Sasa ameshinda.
Kila kitu ikiwemo kuwadhibiti wale mliosema hatomaliza miaka 3Ameshinda kitu Gani au ni kipi ameshinda?
Kusema neno jema Huwa hakuna kuchelewa. Makosa hata kama kayaona lini haijalishi, la msingi Leo ndo kaamua kusema ukweli.Ameamza kulifahamu jambo hilo lini jana? Ndio, leo ndio anasema!?
Empty vessel.Kila kitu ikiwemo kuwadhibiti wale mliosema hatomaliza miaka 3
📌📌🔨Empty vessel.
Hao wamezidisha uchawa
Unaishukuru serikali kwa kuwa inalipa kodi? Inapotoa pesa maana yake inatoa pesa za walipa kodi, hata kama ni mikopo hiyo ni watanzania tutalipa , hivyo sioni sababu ya kuishukuru serikali, labda kuipongeza kama kuna haja ya kufanya hivyo.Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Ujumbe umefika sawa kabisa!Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"
Hawa ni stress free!Utouh na Assad wajengewe minara au flyover zipewe majina yao.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kama hakusema kipindi kile ndiyo asiseme daima na milele?Mpe haki yake aitumie kwa wakati.Huyu nae mnafiki tu...mbona hakusema hayo kipindi cha mwendazake?
Maana hii misemo ilianza kipindi cha jiwe..
Wasomi wetu mirija ikianza kikata ndo wanajifanya great thinker...
Akili hukua kila siku!Kama hakusema kipindi kile ndiyo asiseme daima na milele?Mpe haki yake aitumie kwa wakati.
Yaani unaenda kutoa Hela zako benki kwenye ATM halafu ukipata unaishukuru ATM kwa kutoa Hela zako! Huu ujinga umejaa kwa watumisghi wa serikali.Hii tabia tunayoisikia ya tunamshukuru sana Mhe. Rais na hata kupiga magoti, this is not right (hii si sawa) kwa kuwa hatuwezi kumshukuru Rais.
Kwa kuwa Tanzania tuna culture (utamaduni) ya shukrani basi tuishukuru Serikali na tusimshukuru mtu kwa kuwa hizi fedha na rasilimali ni fedha zetu sisi wananchi, sio matumizi yake ni matumizi ya fedha zetu wananchi na hivyo hatuwajibiki kumshukuru an individual (mtu).
Na siku hizi tumeanzisha tabia ya kujikomba na kujipendekeza nafikiri haitusaidii sana kwa kuwa haitupeleki mbele inaturudisha nyuma.
Pale kwenye ukweli tuseme ukweli, tusiwe wachochezi wala tusiweke chumvi kwenye yale tunayoyazungumzia.
Kama fact tuseme tu na tusiogope kusema"