Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Itanisaidia nini hayo yote? Sio muhimu kwangu!
 
Itanisaidia nini hayo yote? Sio muhimu kwangu!
We muhimu kwako nini km lugha ya Taifa huijui?
Au we banyamulenge? Manake nchi hii iliopiganiwa na wazee wetu wa KIISLAMU wahamiaji Haramu mmejaa sana.
Siku tukianzs msako wa wachafuzi wa lugha hatutokupa nafasi hata ya kurudia kikapu chako nyumbani.
Tunakutupeni kwenye malori ya mchanga halafu tunaenda kukumwageni Rwanda.

Jifunze lugha ya Kiswahili Fasaha.
Lugha iliotokana na Lugha ya KIARABU.

Ahsanta.
 
1)Kumbe wewe kafiri?

2)Pia haujii kwamba Nigeria kuna lugha 250.

3)Hapa tunaongelea kuhusu Lugha sio dini, wewe ndio umetoka nje ya mada hii, umeleta mambo ya dini.
Mimi sio nyumbu mfia dini wa imani am free na Sina mambo za dini yoyote, Ebu ujiongeze sio unatumia Kichwa kufugia nywele tu
 
Ni aibu sana kwa Watanzania kushikia bango kiarabu lugha Ambayo matumizi yake kwa dunia ya leo ni machache sana huwa namtilia shaka sana mfia dini natambua yuko kifungoni akijitoa ufahamu na io imani mara nyingi si mtu aliesoma ivo mtu akisoma awezi kuwa kipofu wa imani tena ukisoma zaidi haswa science but atheist inakuhusu
 

Na ww ni great thinker?
 
ha haha ha ha ha ha h mfa maji haachi kutapatapa NAWE JIPU Unapika TAKWIMU .???? hiiii HATARI ,Usije na HOJA ya sensa hapa kama ya mwaka 2012 .
 
Hilo sio lengo la mleta mada Mkuu! Huoni Avatar yake?
What is wrong with the avatar? Au unataka kutwambia wewe ni mbaguzi wa rangi kwa sababu nimeweka Avatar ya mwarabu ndio ni kosa kwako, au sio?
 
The 6 most spoken language in Africa

View attachment 331818

1) Kiarabu 200 Million
2) Kiingereza 150 Million
3) Kiswahili 140 Million
4) Kifaransa 115 Milliion
5) Hausa 50 Million
6) Amrik 25 Milion
Kila siku channel E inasema kiarabu namba moja na kiswahili. Namba mbili...
 
That's why Afrika is the Poorest continent of all...
 
Ukweli ndo huo! Mnatamani Africa yote tuongee Kiarabu, mnatamani hata mtushikie mitutu!.....Hujambo lakini Bi. Mdada?
Tayari unaongea kiarabu bila ya kujijua, Kiswahili ina maneno mengi sana ya kiarabu.

Bila shaka wewe hata kiswahili ulikuwa haukijui, (umeanza kukijulia shuleni tu).
 
At least hii ina-reflect ukweli hasa upande wa english:

1: Nigeria
2: S.Africa
3: Zambia
4: Zimbabwe
5: Uganda
6: Kenya
7: Malawi
8: Botswana
9: Liberia
Inchi hizi zote zinaongea Kiarabu, Misri, Tunis, Algeria, Morocco, Moritania, Libya, Sudan, Eritrea, Baadhi ya Comoro, Djibouti hata baadhi ya Wasomali, Niger na baadhi ya Wachad wanaongea Kiarabu pia (ndio maana ipo number one in Africa). Huu ndio ukweli.
 
Lugha ya kwanza Afrika ni Kiarabu na Kiswahili unachoongea kina asilimia kubwa ya Kiarabu kuliko lugha nyingine yoyote ile na hiyo bila kushikiwa bunduki.

Unalo?
Kweli kabisa Ukhti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…