Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha mimi kafiri yes....wewe nguruwe tena nguruwe tena nguruwe poriHahaha, ama kweli kafiri hana busara.
Inaonekana ama huna pa kunukuu ama wewe ndiye hujui ulichoandika.Kumbe haujui unachoandika? Pole sana.
[emoji2] [emoji2] wewe mke wa mwehu...Nahisi napoteza wakati wangu bure kubishana na mwehu, good bye crazy man.
Wakiitwa wanaume unaenda wewe kafunge ndevu uko...umesema ubishani sijui nini kinakuwasha sasaHaoni aibu kuliita dume mke, hahaha, teh, teh teh
Hahahaha bora ata wewe mkuuHawa wamefanya upendeleo kinyakyusa Mbona hakipo?
Good night, basi yamekwisha, tusameheane, ulimi hauna mfupa, tayari mimi nimekusamehe, pia wewe umesha kubali kwamba kuna maneno mengi ya Kiarabu kwenye lugha ya Kiswahili that is all, discussion is finished (it is closed), good bye. Thank you and the best regards.Wakiitwa wanaume unaenda wewe kafunge ndevu uko...umesema ubishani sijui nini kinakuwasha sasa
We upende usipende Kiarabu utaongea tu.Tatizo sio kutumia....je unajua kua kingereza kimehathiriwa maneno mengi ya kigiriki....kwenye sifa za lugha yote haya tulijifunza lugha inahasiliwa....asilimia 60 ya kiswahili ni kibantu yanayobaki ni kireno kingereza na kiharabu mkuu
Mkuu hupo...We upende usipende Kiarabu utaongea tu.
Hutaki usiongee kiswahili manake hicho ni zaidi ya asilimia 60% maneno ya kiarabu
Mimi siongei kiharabu naongea kiswahili mkuu....We upende usipende Kiarabu utaongea tu.
Hutaki usiongee kiswahili manake hicho ni zaidi ya asilimia 60% maneno ya kiarabu
Si ajabu Kiswahili umeanza kukijulia shuleni tu, bila shaka ulikuwa ukiongea kisukuma au kinyeramba au lugha zingine za jadi kabla ya kuanza shule. Wa Kenya na Uganda mpaka sasa bado wanajifunza Kiswahili (Wakikijua vizuri na wao wataanza kusema Kiswahili ni kijaluo).Mimi siongei kiharabu naongea kiswahili mkuu....
wewe umekijulia tumbon mwa babako si ndio...ebu niteme mimi na wewe tumemalizanaSi ajabu Kiswahili umeanza kukijulia shuleni tu, bila shaka ulikuwa ukiongea kisukuma au kinyeramba au lugha zingine za jadi kabla ya kuanza shule.
Mimi lugha yangu ni Kiswahili tu sina lugha nyingine kama wewe.wewe umekijulia tumbon mwa babako si ndio...ebu niteme mimi na wewe tumemalizana
Mwarabu huwez kua na lugha nyingne tofaut na kiswahil...ila ambae wazaz wake wana asili ya nchi hii ni lazima aanze kua mwanachama ww bantu ndo aje aseme kiswahil lugha yake...tuna kabila zaidi ya 120 zinazounda kiswahil...full StopMimi lugha yangu ni Kiswahili tu sina lugha nyingine kama wewe.
Wa Kenya na Uganda mpaka sasa bado wanajifunza Kiswahili (Wakikijua vizuri na wao wataanza kusema Kiswahili ni kijaluo).
1) Unaona mwenyewe umekiri (umesema) mwarabu wa tz hawezi kua na lugha nyingine tofauti na Kiswahili.Mwarabu huwez kua na lugha nyingne tofaut na kiswahil...ila ambae wazaz wake wana asili ya nchi hii ni lazima aanze kua mwanachama ww bantu ndo aje aseme kiswahil lugha yake...tuna kabila zaidi ya 120 zinazounda kiswahil...full Stop
...nadhani unajua makabila yote ya kibantu mkuu...kama una hio asili ya kibantu basi wewe mtanzania1) Unaona mwenyewe umekiri (umesema) mwarabu wa tz hawezi kua na lugha nyingine tofauti na Kiswahili.
2) Mie sio Mwarabu.