Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Asilima 60 ya maneno ya kiswahili ni kiharabu....? Mliosoma kiswahili vizuri fom 3 mnikumbushe aisee labda sikua naelewa vizuri vizuri kwenye kiswahili nadhani hio takwimu sio sawa
Nakubali kiswahili kina maneno mengi ya kiarabu lakini hayafiki asilimia 60 ya maneno yote, mengi ni ya kibantu, na maneno macheche kutoka kwenye kireno, kijerumani, kiengereza na hindu
 
Nakubali kiswahili kina maneno mengi ya kiarabu lakini hayafiki asilimia 60 ya maneno yote, mengi ni ya kibantu, na maneno macheche kutoka kwenye kireno, kijerumani, kiengereza na hindu
Huko sahihi kabisa huyo mahamood anachotka ni kutulazimisha kua kiswahili chanzo chake ni kiarabu
 
Kiarabu sio lugha ya Kuazima, Kwa mfano Misri, Morogoro, Tunisia, Libya, Algeria, Mauritania .... Kiarabu ni lugha yao.

Kichwa cha habari na mada tofauti. Eti lugha za kiafrica. Miarabu nayo miafrika? Duh! hapo basi tena. kifaransa, kiingereza ni lugha za Africa? Sijui kwa kuwa nimeifahamu nia yako ovu kama hirizi,nimeshadharau na sitoi mchango wangu.
 
Hapo lugha ya Africa ni Kiswahili tu, nyingine zote ni za kigeni zinazozungumzwa Africa.
 
Acha Uongo wewe... Kiswahili kingekuwa na Maneno Asilimia 60 ya kiarabu basi Tungeelewana karibu kwa kila sentensi... Maneno ya Kiarabu kwenye kiswahili ni yakutafuta sana hata 2% sidhani kama inafika... mimi nimesikiliza sana kwenye vipindi Tv Habari, Michezo na TAmthilia za Arabuni naambulia kwa nadra sana maneno ya yaliyoazimwa kwenye kiswahili... Kuna siku nilisikiliza wakasema maneno ya kiarabu yaliyoazimwa ni 30% nalo sikubaliani nalo either Kiarabu kimechange na hawayatumii tena hayo maneno au utamkwaji wake ni tofauti....... Tuache uongo aachiwe Jecha tu
Kwanza asante kuniita muongo, pili napenda ujue kwamba mimi nazijua lugha zote mbili hizi Kiarabu na Kiswahili (kuongea, kusoma na kuandika kwa lugha hizi mbili), nakuhakikishia kwamba kuna maneno ya kiarabu takriban 60% au hata zaidi ya 60% kwenye lugha ya Kiswahili (hata ukichukia huu ndio ukweli).
 
Hahahaha Mkuu tukianzia namba moja mpka lets say trilion moja ni maneno ya kiarabu
Anza na sita, saba,..., tisa,...., ishiri, thelani, arubaini, khamsini, sitini, sabini, themanini, tisini, mia, elfu....... Yote ni kiaraabu.
 
Kwanza asante kuniita muongo, pili napenda ujue kwamba mimi nazijua lugha zote mbili hizi Kiarabu na Kiswahili (kuongea, kusoma na kuandika kwa lugha hizi mbili), nakuhakikishia kwamba kuna maneno ya kiarabu takriban 60% au hata zaidi ya 60% kwenye lugha ya Kiswahili (hata ukichukia huu ndio ukweli).

Kwa hiyo unataka kusema mashuleni tulidanganywa siyo?
Hicho Kiarabu sijawahi kutamka hata neno moja ktk Kiswahili.
 
Kichwa cha habari na mada tofauti. Eti lugha za kiafrica. Miarabu nayo miafrika? Duh! hapo basi tena. kifaransa, kiingereza ni lugha za Africa? Sijui kwa kuwa nimeifahamu nia yako ovu kama hirizi,nimeshadharau na sitoi mchango wangu.

Mkuu nadhani mtoa mada amekosea padogo tu,
Ila mada ni LUGHA 6 ZINAZOZUNGUMZWA AFRIKA.
Hicho kiarabu kinazungumzwa pia kumbuka Afrika kuna Misri, Tunisia, Libya, n.k, wanazungumza kiarabu hawa.

Kuna nchi zinaongea Kifaransa km lugha yao ya taifa mf.Congo,

Kuna nchi zinaongea Kingereza km lugha yao ya taifa mf. South Africa,

Kuna nchi zinaongea Kiswahili km lugha yao ya taifa mf. Tanzania.

Lugha zote hizo zinazungumzwa Africa ukitoa lugha za asili. (kutokana na makabila)

Nadhani umeelewa mada sasa,
Haya karibu utoe mchango wako.
 

Mkuu sisi huku morogoro ingawa tuko nao Waarabu,lakinisio wote tunaozungumza kiarabu, kuna Kiluguru,Kinguu,Kikutu, Kisagara, ,Kividunda,Kikaguru,Kimbunga Kindamba, Kindwewe,Kipogoro,na Kibenamanga.
Mkuu hapo namaanisha Morocco sio Morogoro (spelling mistake).
 
hahaha unaelewa maana ya asili? kwani kiswahili kimeanzia ulaya au Afrika? hata chotara mwenyewe lazima awe na asili pamoja na uchotara wake
Kiswahili kimeanzia mikoa ya pwani pia Zanzibar na Mombasa (Warabu wengi sana walikuwa wakiishi huko), hata neno hili SWAHILI ni neno la kiarabu maana yake ni PWANI.
 
Nakubali kiswahili kina maneno mengi ya kiarabu lakini hayafiki asilimia 60 ya maneno yote, mengi ni ya kibantu, na maneno macheche kutoka kwenye kireno, kijerumani, kiengereza na hindu
Hata neno hili SWAHILI ni neno la kiarabu maana yake ni PWANI.
 
Huko sahihi kabisa huyo mahamood anachotka ni kutulazimisha kua kiswahili chanzo chake ni kiarabu
Kumbe haujui kwamba hata neno hili SWAHILI ni neno la kiarabu maana yake ni PWANI.
 
Kwa hiyo unataka kusema mashuleni tulidanganywa siyo?
Hicho Kiarabu sijawahi kutamka hata neno moja ktk Kiswahili.
Nakujua hauwapendi warabu hili ni tatizo lako mwenyewe lakini time ipo una fursa bado ya kubadilika, hata neno hili SWAHILI ni neno la kiarabu maana yake ni PWANI.

Endelea kusoma utajua tu bro.
 
Kichwa cha habari na mada tofauti. Eti lugha za kiafrica. Miarabu nayo miafrika? Duh! hapo basi tena. kifaransa, kiingereza ni lugha za Africa? Sijui kwa kuwa nimeifahamu nia yako ovu kama hirizi,nimeshadharau na sitoi mchango wangu.
Kumbe haujui kwamba kuna inchi za Kiarabu hapa Africa au haujasoma Jiografia?
 
Hapo lugha ya Africa ni Kiswahili tu, nyingine zote ni za kigeni zinazozungumzwa Africa.
Kumbe haujui kwamba kuna inchi za Kiarabu hapa Africa au haujasoma Jiografia bro?
 
Back
Top Bottom