Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Lugha 6 za Afrika zinazotumika zaidi

Ok kuna makabila na lugha...hivi vitu ni tofauti inawezekana humeshindwa kuelewa...kiswahil ni lugha imetokana na kabila za kibantu...kua muelewa mwarabu wewe...

Niliposema mtz asili yake ni kibantu maan ni kua kibantu ndo kimeunda kiswahili...mkuu ebu nambie umesoma somo la kiswahili mpka kidato cha ngapi....maana kuna kidato ukifika tunasoma chanzo cha kiswahili maendeleo yake na maneno yaliokopwa kutoka lugha jirani
Sasa hebu tusaidie hapa tumalize huu ubishi wako wa kitoto.

Nini Asli ya Lugha ya Kiswahili?
Nataka Jibu kwa mujibu wa Encyclopedia au chanzo chenye maono.
Sio kutoka kichwani kwako manake bongo zako naona ziko Likizo.

Nipe jibu tufunge hii maneno yako ya ajabu ajabu
 
Kijana hoja Huna.
Nimeshakwambia Wewe na Mswahili yyt hana budi Kutumia maneno ya kiarabu mpk Kufa.

Halafu nyie wakolosai watu wa ajabu sana.
Roho zenu zilivyo korosho kwa waislamu mnaamua KUUKATAA hata Ukweli kuwa Kiswahili Ni lugha iliotokana na KIARABU tu kwa sababu UISLAMU umehusishwa na Lugha hio!!

Yaani ingekuwa Kiswahili kimetokana na Kiingereza (wakoloni waliouleta Ugalatia hapo Africa) wewe ungepiga vigelegele hapa mpk kukuche.

Ajeeb nyie viumbe.
Duh....!
Yaani Sura zenu na roho zenu zinafanana kabisa.
Kweli kabisa Akhui Kahtaan, wanafanana hata kwa uduni wa busara pia
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] pole pole mkuu...mimi ukinita jina lolote lililo kwenye bible sina shida...nimesema situmii kiarabu natumia kiswahili mbona unanilazimisha kutumia kiarabu

Utatumia kiarabu mpaka siku yako ya kufa upende usipende, hapo kwenye paragraph yako umetumia maneno ya kiarabu bila ya wewe kujijua (sikulaumu labda haujui hilo).
 
kibantu sio Kimbandu
Kuna kitu nimegundua mkuu..ninaposema asili yake ni kibantu kumbe ulikua huelewi kabisa...kibantu ni makabila tofauti zaidi ya 120...

hii itakua ni ngumu kabisa mimi na wewe kuelewana aisee...ungekua umesoma somo la kiswahili kidato flani hivi ungenielewa....na mifano hipo mingi tu jinsi maneno ya kiswahili yalivoundwa kutokana na makabila ya kibantu

Pia sio kiarabu tu kuna baadhi wanasema asili ya kiswahili ni watu walioishi misitu ya kongo, kuna ushahid u nakataa na kupiga hio nadharia, kuna vyanzo mbalimbali vinadaiwa kua ni asili ya kiswahili ila ambayo ilikua kua verified ni kibantu....sasa hapo kwenye kibantu kuna jinsi muunganiko wa maneno ulivyo tokea na kutengeneza kiswahili

Sifa moja wapo ya lugha ni kutojitosheleza...hapo ndo utakuta kingereza kina maneno ya kigiriki na kilatin, utakuta kiswahili kina maneno ya kiarabu na kireno

Ndo maana kuna comment flani nilikuliza sifa kuu za lugha ukashindwa kujibu....naomba tuishie Hapa mkuu
 
Utatumia kiarabu mpaka siku yako ya kufa upende usipende, hapo kwenye paragraph yako umetumia maneno ya kiarabu bila ya wewe kujijua (sikulaumu labda haujui hilo).
Nakupa mfano wa misamiati asili ya kiswahil unifafanulie...sikuiz lugha imerahisishwa

'Miaka ya nyuma wanafunzi wa Shahada ya kwanza, walitumia diski tepetevu, kicharazio, kirudufu, kinukuzi na kiteuzi. Ilikuwa nadra sana kukuta mwanafunzi anatumia nywila kwenye kipakatarishi. Hata vitu kama mdaki, diski mweko, mtaliga, kadi sakima na kadiwia/mkamimo havikuwepo kabisa. Ila kwa sasa mambo yamebadilika. Wanafunzi wanakula vibanzi na sharubati, wanapata mishiko haraka kutoka kiotomotela...wanatumia kadihela, Aaah mambo Saaaafi! '

Hapa niambie ni maneno gani uliowahi kuyasikia yanatumika most of the time....hapo kuna maneno asili ya kiswahil na mengne ambayo sio asili....sikuzi kuna kutohoa sana maneno kurahisisha lugha mkuu
 
Kweli kabisa Akhui Kahtaan, wanafanana hata kwa uduni wa busara pia
Uduni upi tulionao nao wakolosai...fafanua hapo kielimu, kifikra, maendeleo au nini labda sijakuelewa halafu nikwambie kitu....
 
Ok kuna makabila na lugha...hivi vitu ni tofauti inawezekana humeshindwa kuelewa...kiswahil ni lugha imetokana na kabila za kibantu...kua muelewa mwarabu wewe...

Niliposema mtz asili yake ni kibantu maan ni kua kibantu ndo kimeunda kiswahili...mkuu ebu nambie umesoma somo la kiswahili mpka kidato cha ngapi....maana kuna kidato ukifika tunasoma chanzo cha kiswahili maendeleo yake na maneno yaliokopwa kutoka lugha jirani
Hahaha,

Wewe hata Kiswahili haujui unataka kushindana?

Je unaniruhusu nikutolee makosa yako kwenye paragraph yako hiyo hapo juu.

Sisi Waislamu hatujisifu lakini kama bado unataka kujua elimu yangu, ni PM nitakutumia copy za shahada zangu zote kama unahisi zitakusaidia. Ama kweli akili ni mali.
 
Kuna kitu nimegundua mkuu..ninaposema asili yake ni kibantu kumbe ulikua huelewi kabisa...kibantu ni makabila tofauti zaidi ya 120...

hii itakua ni ngumu kabisa mimi na wewe kuelewana aisee...ungekua umesoma somo la kiswahili kidato flani hivi ungenielewa....na mifano hipo mingi tu jinsi maneno ya kiswahili yalivoundwa kutokana na makabila ya kibantu

Pia sio kiarabu tu kuna baadhi wanasema asili ya kiswahili ni watu walioishi misitu ya kongo, kuna ushahid u nakataa na kupiga hio nadharia, kuna vyanzo mbalimbali vinadaiwa kua ni asili ya kiswahili ila ambayo ilikua kua verified ni kibantu....sasa hapo kwenye kibantu kuna jinsi muunganiko wa maneno ulivyo tokea na kutengeneza kiswahili

Sifa moja wapo ya lugha ni kutojitosheleza...hapo ndo utakuta kingereza kina maneno ya kigiriki na kilatin, utakuta kiswahili kina maneno ya kiarabu na kireno

Ndo maana kuna comment flani nilikuliza sifa kuu za lugha ukashindwa kujibu....naomba tuishie Hapa mkuu
Mkuu,kadri ilivyo huwez kutofautisha Kiswahili na Kibantu na Kiarabu. Nasema huwezi kamwe. Maneno mengi mno ya Kiswahili ni purely Arabic. Maneno mengine yamechukuliwa kutoka English na lugha zingine,lakini kimuundo ni BANTU na ARABIC
 
Hahaha,

Wewe hata Kiswahili haujui unataka kushindana?

Je unaniruhusu nikutolee makosa yako kwenye paragraph yako hiyo hapo juu.

Sisi Waislamu hatujisifu lakini kama bado unataka kujua elimu yangu, ni PM nitakutumia copy za shahada zangu zote kama unahisi zitakusaidia. Ama kweli akili ni mali.
Kitu kibaya duniani ni kumtambia mtu elimu yako dunian

Kuna watu waliosoma sarufi hawa hawawez kukosea matamshi ya kiswahili au uandshi wa kiswahili

Nilisoma kiswahili darasani kwa zile vital issues tu uko kwingne sikwenda, kiswahili ni kigum ata kwa mswahili kama hajasoma sarufi inavotakiwa

Ndio maana unaweza kukuta mtu anaandika kiswahili lakn kumbe kisarufi anakosea kabisa kiuandishi

Bahati mbaya sikusoma kiswahili mpaka mwisho nilienda sayansi nikasomea elimu ya afya
 
Kwa maana ya lugha inayozungumzwa zaidi au yenye wazungumzaji wengi zaidi kiingereza ndo kinaongoza kiarabu ni lugha ya pili wajameni..
 
Mkuu,kadri ilivyo huwez kutofautisha Kiswahili na Kibantu na Kiarabu. Nasema huwezi kamwe. Maneno mengi mno ya Kiswahili ni purely Arabic. Maneno mengine yamechukuliwa kutoka English na lugha zingine,lakini kimuundo ni BANTU na ARABIC
Mkuu kuna kitu nielewe sijakataa....theluthi ya maneno ya kiswahili ni kiarabu hakuna mtu anaepinga hili na nikipinga takua mjinga
 
Hizi takwimu zina walakini; labda kama kuna vigezo ambavyo havijatajwa hapa vimetumika kuandaa takwimu hizi. Mfano, Amharic ni lugha kuu inayotumiwa katika Ethiopia, Eriteria na majirani wachache wa maeneo hayo. Iweje iwe na watumiaji 25m tu wakati Ethiopia kama nchi ina watu wasiopungua 80m?

Hapo umechemsha tena vibaya sana, Eritrea lugha kuu ni Tigrinya na si Amharic inayofatia ni Kiarabu sambamba na Tigre.

Na lugha inayoongewa na wengi Ethiopia ni Oromo, Amharic ni lugha inayofuatia.

Na hao jirani unaowataja ni wepi?

Hivi kwanini huwa mnapenda kuleta habari ambazo hamna yakini nazo? Fanyeni ka research japo kiduchu kabla hamjaja kupotosha watu humu.

Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Labda unamaanisha Kibantu au Kimbundu sio Kimbandu msukuma wee. Acha tukusaidie.
Hahahaha ata kisukuma ni kibantu pia, napenda utani kuliko kejeli, asante kwa utani wako ....kesho mkuu usiku mwema
 
Hapo umechemsha tena vibaya sana, Eritrea lugha kuu ni Tigrinya na si Amharic inayofatia ni Kiarabu sambamba na Tigre.

Na lugha inayoongewa na wengi Ethiopia ni Oromo, Amharic ni lugha inayofuatia.

Na ho jirani unaowataja ni wepi?

Hivi kwanini huwa mnapenda kuleta habari ambazo hamna yakini nazo? Fanyeni ka research japo kiduchu kabla hajaja kuptosha watu humu.

Hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Sister Faiza,

Hawa mafiri hata wakisoma vipi, elimu yao haiwasadii kitu (makafiri hawana busara kabisa).

Busara ni rizki pia.

Rizki hii ya busara na elimu yenye manufaa wanapewa wachamungu tu.
 
Kwa maana ya lugha inayozungumzwa zaidi au yenye wazungumzaji wengi zaidi kiingereza ndo kinaongoza kiarabu ni lugha ya pili wajameni..
Hapa Africa kuna inchi zaidi ya kumi zinazongea lugha ya Kiarabu, kwa mfano Misri, Tunis, Morocco, Libya, Sudan, Moritania, djibouti, Baadhi ya Eritrea, Baadhi ya Wasomali, na Baadhi ya Wa Comoro (hata huko na Niger na Chad baadhi yao wanaongea Kiarabu).
 
Back
Top Bottom