Lugha gongana: Wananchi tunataka pesa irudi, wanasiasa wanavizia koti la kiranja mkuu

Lugha gongana: Wananchi tunataka pesa irudi, wanasiasa wanavizia koti la kiranja mkuu

msingeiba ndizi, vitunguu, nyanya , karoti, hoho, ndimu, viazi, mauzo ya siku na vingine vingi mlivyoibaga kwenye banda langu la kujitaftia riziki, angalau ningewaelewa kuhusu maandamano ya amani....

ule ujamabazi mlufanya kumbafu zenu nyie wezi nina hasira siku mjichanganye tena......

mnaimba, tunadai haki zetu huku mnabugia ndizi za wizi mlizoiba bandani kwangu kweli? hiyo ndio haki?
au kupora vya watu ndicho mnachtetea?

yaani mnadhulumu vitu vya wanyonge halafu mnaenda kudai serikalini.......

na huyo adelphina wenu hizo data za matrilioni ya pesa mbona anazo yeye tu? amejipiklishia wapi......
Leo imekuwa muuza nyanya, Juzi Si ulijinadi kuwa u mwanasiasa tena kiongozi mkubwa?

Jikite kwenye mada🙏

Usilete Lugha- Gongana!!
 
Kwani tatizo ninini, so tulishasema kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake au mnasemaje huko!?
Salaam, shalom!!

Hapo bungeni, mpo Kwa ajili ya wananchi.

LUGHA YA WANANCHI.

Wananchi tunataka kuona wabadhirifu walioiba pesa za umma, walioguswa na Ripoti ya CAG , wananchi tunataka watu hao wafungwe wote, na pesa yetu irudi. Wakamuliwe Hadi sent ya mwisho, Mali zao ziuzwe pesa irudi.

LUGHA YA WANASIASA.

Zimesikika sauti ndani ya nyumba Ile "Vunja Barazaaa"!!! Ni kama hawajui wapi Hasa lilipo tatizo.

Wengine wamekaa Mahali wanachanga karata zao, wanaotumia mwanya wa ubadhirifu uliotokea kupita na koti la kaka mkubwa ,kiranja mkuu wakiamini tutahadaika na kuona wamechukua hatua stahiki.

Kaka mkubwa Hana mkono mrefu maskini wa watu, Eti wale wale waliozipiga, Wanataka tena Yeye Abebe lawama za wizi wao.

HATUDANGANYIKI 😳

Tumeshajifunza nini kilitokea Awamu ya nne, Mzee wetu aliondolewa na pesa zetu hazikurudi.

Ikiwa pesa za umma zinaibwa, na pesa zenyewe ni za MKOPO ,sisi wananchi tupate wapi pesa za kurudi kulipa mkopo na riba wakati pesa zetu hazikufanya KAZI yoyote zaidi ya kuibwa?

Nani wa kumfunga paka kengele?

Tukutane kwenye Sanduku la kura baada ya Kupata kwanza Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya.

NB: Mungu aliyemsaidia Majaliwa kuokoa majeruhi wa Ajali ya ndege Mwanza, ndiye huyo atamsaidia kiranja mkuu kuepuka zengwe mbele yake.

Karibuni 🙏
 
Leo imekuwa muuza nyanya, Juzi Si ulijinadi kuwa u mwanasiasa tena kiongozi mkubwa?

Jikite kwenye mada🙏

Usilete Lugha- Gongana!!
ndiko niliko toka na siachi banda langu na kwakweli ndio msingi wa urithi wa maisha bora ya wanangu nataka uanzia hapa, hata niwe rais,
na wala sioni haya hata kidogo kujitetea na kuwatetea wenye mabanda wenzangu coz ndiyo msingi unaotupatia heshima ya kiuchumi ya kulisha familia zetu, ndiko tunakopata cha kowasomeshea wanetu na kusoma wenyewe kujiendeleza na kwakweli hata sauti, hekima na busara tulizonazo, ukiachilia mbali Neema na baraka za Mungu ni hiki kibanda mlichowahi kukiporo na kunirudisha chini kabisa kiuchumi,

Namshukuru Mungu, nimesimama imara sana mahali pa juu mno,
mpina , wewe pamoja na waandamanaji haramu wote msisumbue watu kwa fujo na upotoshaji ambao hausaidii chochote...
 
Salaam, shalom!!

Hapo bungeni, mpo Kwa ajili ya wananchi.

LUGHA YA WANANCHI.

Wananchi tunataka kuona wabadhirifu walioiba pesa za umma, walioguswa na Ripoti ya CAG , wananchi tunataka watu hao wafungwe wote, na pesa yetu irudi. Wakamuliwe Hadi sent ya mwisho, Mali zao ziuzwe pesa irudi.

LUGHA YA WANASIASA.

Zimesikika sauti ndani ya nyumba Ile "Vunja Barazaaa"!!! Ni kama hawajui wapi Hasa lilipo tatizo.

Wengine wamekaa Mahali wanachanga karata zao, wanaotumia mwanya wa ubadhirifu uliotokea kutaka kupita na koti la kaka mkubwa ,kiranja mkuu wakiamini tutahadaika na kuona wamechukua hatua stahiki.

Kaka mkubwa Hana mkono mrefu maskini wa watu, Eti wale wale waliozipiga, Wanataka tena Yeye Abebe lawama za wizi wao.

HATUDANGANYIKI 😳

Tumeshajifunza nini kilitokea Awamu ya nne, Mzee wetu aliondolewa na pesa zetu hazikurudi.

Ikiwa pesa za umma zinaibwa, na pesa zenyewe ni za MKOPO ,sisi wananchi tupate wapi pesa za kurudi kulipa mkopo na riba wakati pesa zetu hazikufanya KAZI yoyote zaidi ya kuibwa?

Nani wa kumfunga paka kengele?

Tukutane kwenye Sanduku la kura baada ya Kupata kwanza Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya.

NB: Mungu aliyemsaidia Majaliwa kuokoa majeruhi wa Ajali ya ndege Mwanza, ndiye huyo atamsaidia kiranja mkuu kuepuka zengwe mbele yake.

Karibuni 🙏
Kazi kweli kweli !!
 
Tatizo ni huyu Bwana👇
018100094042.JPG
 
Mbinu zinazotumika kuficha ubadhirifu moja kubwa ni kupoteza ushahidi. Hii inafanyika katika namna tofauti lakini matokeo ni kukosa ushahidi wa kuonyesha na kuishawishi mahakama:

1. Kuchoma ofisi kwa kusingizia ajali
2. Kubadilisha jina la kampuni.
3. Kutangaza kufilisika na kufunga
biashara.

Nduru inayopigwa na wabunge wa CCM ya kutamani Baraza la mawaziri livunjwe, inaangukia kwenye hicho kipengere cha tatu. Juhudi za dhati za kuwawajibisha waliokosea kwa makusudi hazionekani kwenye kundi hili, labda kutoka kwa wapinzani au wananchi ambao kimsingi ni watazamaji tu.

Hebu tuchemshe bongo zetu kwa kutafakari kile kinachoendelea TRA, ambao mwanzoni mwa mwaka walidai wanaboresha mfumo wa makusanyo ya kikodi kupitia mtandao, takwimu za nyuma hapo zimesahaulika.

Mamlaka ya leseni za biashara nao wamekuja na mtindo mpya unaofanya leseni za nyuma kutokuwa na maana kwa sasa.
Mambo yameanzishwa upya na ya kale kusahaulika. Hakuna namna unaweza kuhoji ubadhirifu wa nyuma.
 
Salaam, shalom!!

Hapo bungeni, mpo Kwa ajili ya wananchi.

LUGHA YA WANANCHI.

Wananchi tunataka kuona wabadhirifu walioiba pesa za umma, walioguswa na Ripoti ya CAG , wananchi tunataka watu hao wafungwe wote, na pesa yetu irudi. Wakamuliwe Hadi sent ya mwisho, Mali zao ziuzwe pesa irudi.

LUGHA YA WANASIASA.

Zimesikika sauti ndani ya nyumba Ile "Vunja Barazaaa"!!! Ni kama hawajui wapi Hasa lilipo tatizo.

Wengine wamekaa Mahali wanachanga karata zao, wanaotumia mwanya wa ubadhirifu uliotokea kutaka kupita na koti la kaka mkubwa ,kiranja mkuu wakiamini tutahadaika na kuona wamechukua hatua stahiki.

Kaka mkubwa Hana mkono mrefu maskini wa watu, Eti wale wale waliozipiga, Wanataka tena Yeye Abebe lawama za wizi wao.

HATUDANGANYIKI 😳

Tumeshajifunza nini kilitokea Awamu ya nne, Mzee wetu aliondolewa na pesa zetu hazikurudi.

Ikiwa pesa za umma zinaibwa, na pesa zenyewe ni za MKOPO ,sisi wananchi tupate wapi pesa za kurudi kulipa mkopo na riba wakati pesa zetu hazikufanya KAZI yoyote zaidi ya kuibwa?

Nani wa kumfunga paka kengele?

Tukutane kwenye Sanduku la kura baada ya Kupata kwanza Tume huru ya Uchaguzi na KATIBA mpya.

NB: Mungu aliyemsaidia Majaliwa kuokoa majeruhi wa Ajali ya ndege Mwanza, ndiye huyo atamsaidia kiranja mkuu kuepuka zengwe mbele yake.

Karibuni 🙏
.
 
Back
Top Bottom