Lugha ni kitu kinachowanyima watanzania confidence ya kwenda majuu na wengi wanaofika wanapata ugumu kimawasiliano, kimbilio pekee huwa ni wakenya.

Lugha ni kitu kinachowanyima watanzania confidence ya kwenda majuu na wengi wanaofika wanapata ugumu kimawasiliano, kimbilio pekee huwa ni wakenya.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Lugha ndio kikwazo kikuu chenye kuleta hofu kwa watanzania kutoka nje ya nchi, hata waliosomea english medium inabidi wakajipige msasa kwa kina ras simba kabla ya kuondoka ni kwasababu lugha haijakaa sawa licha ya kuitumia mashuleni tangu chekechea mpaka wanahitimu vyuo, LUGHA ! LUGHA ! LUGHA !

Lugha ni kifaa muhimu sana, kwa wanaofika huko unakuta wanapata ugumu sana kusocialize, mtu kaenda majuu lakini confidence inashuka kwasababu ya lugha.

Watanzania walio majuu ni watu wachache sana, wanaoweza kuwa company yako at least wanaweza kuwa wakenya.

Watanzania wengi uwachukua miaka kama miwili hivi ili kuizoea lugha yaani kuongea na kuelewa accent / lafudhi za majuu
 
Mfumo wa kusoma msingi kiswahili halafu sekondari ni kiingereza mpaka chuo ushapitwa na wakati. Watoto wetu wanashindwa kuaangalia videos,kusoma vitabu vya kiingereza,kujifunza sayansi sababu kiswahili hakijitoshelezi pia hakina resources za kutosha. Kiswahili ni lugha ya biashara na sanaa sio lugha ya sayansi na technology
 
Sisi tulivyoshikilia kuongea Kiingereza tangu Sekondari enzi za Mwinyi mlituona mabishoo.

Kuna siku mimi na mchizi wangu tuliamua kuongea Kiingereza njia nzima kutoka Tambaza, tukapanda basi Palm Beach, mpaka tunashuka, kuna Watanzania walituelewa na kuona vijana wanajiongeza, wengine walituona mabishoo.

Leo ndio watu wanakuja kuelewa Kiingereza muhimu?
 
Unakumbuka yale mashindano ya coka cola, vyuo vikuu Africa mashariki? Ilikuwa kichekesho kwa Tz. Tuseme hivi " ili upewe degree yako katika fani yoyote ni lazima uwe unaongea kiingereza kwa ufasaha na kuandika ".
 
Sisi tulivyoshikilia kuongea Kiingereza tangu Sekondari enzi za Mwinyi mlituona mabishoo.

Kuna siku mimi na mchizi wangu tuliamua kuongea Kiingereza njia nzima kutoka Tambaza, tukapanda basi Palm Beach, mpaka tunashuka, kuna Watanzania walituelewa na kuona vijana wanajiongeza, wengine walituona mabishoo.

Leo ndio watu wanakuja kuelewa Kiingereza muhimu?
Mkuu najua upo juu huko kwa muda mrefu sana,

Binafsi nimewahi kwenda nje kwa miezi michache, Wenyeji wangu walikuwa wakenya, Advantage ya lugha nilikuwa nayo sababu nimesoma english medium pia nilijiongeza kupenda kusikiliza na kuimba muziki tangu nikiwa darasa la pili, kusoma magazeti ya kiingereza na kupenda kuiga watangazaji wa mpira lafudhi, nilipata nafasi ya kujuana na watu wa mataifa mengine ila nilikutana na mbongo moja, watu nilioshindwa kuelewana nao ni wajamaica kwa namna wanavyoongea.

nimeona wabongo wengi wanaofika huko, wakirudi unajua kabisa wamepitia msoto kwajili ya lugha wanatuficha kwa picha za london bridge.

Kwa uzoefu wako wa muda mrefu wabongo waliosomea english medium na walioanza kusomea sekondari huwachukua typically muda gani kuzoea lugha ya huko in terms of kuyeyusha kwenye ulimi hii thick accent ya bongo, kuweza kusikiliza accent ya huko ambayo wengi hulalamika ni kiingereza cha kumungunya, n.k.

Ni changamoto zipi huzipata in the process socially, jobs, dating, n.k.
 
Mkuu najua upo juu huko kwa muda mrefu sana,

Binafsi nimewahi kwenda nje kwa miezi michache, Wenyeji wangu walikuwa wakenya na nilipata nafasi ya kujuana na watu wa mataifa mengine ila nilikutana na mbongo moja, watu nilioshindwa kuelewana nao ni wajamaica kwa namna wanavyoongea.

nimeona wabongo wengi wanaofika huko, wakirudi unajua kabisa wamepitia msoto kwajili ya lugha wanatuficha kwa picha za london bridge.

Wabongo hadi wakizoee kiingereza huwachukua typically muda gani.

Ni changamoto zipi huzipata in the process socially, jobs, dating, n.k.
Maswali mengine ya wabongo mimi vigumu kuwawakilisha.

Labda watakuja wenyewe kujibu.

Mimi nimeanza kuongea Kiingereza kabla ya CTN kuanza kuonesha CNN Tanzania.

I was reading Newsweek, Time and The Economist since O Level.

Wamarekani nikikaa nao nawakosoa Kiingereza chao.

Najua ku assimilate nchi za watu, sina zile tabia za Wabongo wengi ambao hata wakija Ulaya na Marekani wanabaki kwenye jamii zao wakiongea Kiswahili.

So, ongeleeni na wabongo tuliofanya kazi Wall St. New York City, Canary Wharf na The City of London, Silicon Valley etc., tupo nasi, kwa nini mnajikita kuongelea walioshindwa tu?

Mimi siwezi kuwaongelea watu wanaoshindwa kuongea Kiingereza. Hilo tatizo mimi nikishalitatua tangu nipo O-Level Tambaza.

Tulikuwa tunaenda shule na Cool Moe Cee kutoka Oysterbay mpaka Tambaza kwenye gari tunaongea Kiingereza njia nzima.

Cool Moe Cee katoka zake Marekani kaja Tambaza anazungumza ngeli ya ukweli ya Kimarekani si ya kujifunza Tanzania, tunaenda naye sawa. Siku hizoooo za kabla ya CTN kuanza kurusha matangazo ya CNN.
 
Mfumo wa elimu ugeuzwe uwe kwa kingereza kwanzia chekechea mpaka majuu.. tofauti na hapo tutumia sana. Kiswahi kibaki kuwa lugha ya kuwasiliana nyumbani na wazazi wetu maana hakuna taasisi inayotumi mifumo ya technologia kwa kiswahili au interview inayoendeshwa kwa kiswahili popote pale hii inaonyesha kuna nana kiswahili bado sana
 
Cc Myahudi Jr II njoo usimulie tena ile stori yako ulipofika Canada first time, Ukagundua ngeli ya wabongo ni ya kuombea maji tu..

On the ground lazima ujipige msasa, ukifika majuu.
 
Maswali mengine ya wabongo mimi vigumu kuwawakilisha.

Labda watakuja wenyewe kujibu.

Mimi nimeanza kuongea Kiingereza kabla ya CTN kuanza kuonesha CNN Tanzania.

I was reading Newsweek, Time and The Economist since O Level.

Wamarekani nikikaa nao nawakosoa Kiingereza chao.

Najua ku assimilate nchi za watu, sina zile tabia za Wabongo wengi ambao hata wakija Ulaya na Marekani wanabaki kwenye jamii zao wakiongea Kiswahili.

So, ongeleeni na wabongo tuliofanya kazi Wall St. New York City, Canary Wharf na The City if London, Silicon Valley etc., tupo nasi, kwa nini mnajikita kuongelea walioshindwa tu?

Mimi siwezi kuwaongelea watu wanaoshindwa kuongea Kiingereza. Hilo tatizo mimi nikishalitatua tangu nipo O-Level Tambaza.

Tulijuwa tunaenda shule na Cool Moe Cee kutika Oysterbay mpaka Tambaza kwenye gari tunaongea Kiingereza njia nzima.
Inaonekana wewe wa kitambo sana si haba utakuwa ukiwaona kina Museveni wakiwa hapa bongo kwenye hali za kawaida.

Nasikia sikuhizi Nchi ambazo ni far left kama Uk, France, Sweden, Switzerland, n.k. usalama wa immmigrants umeshuka ni heri uende Poland, Austria, Hungary ama far right states za US
 
Sababu kubwa inayotukwamisha kwenda majuu ni taratibu za kufuata ili kufika huko. Lugha sio kigezo kikuu
 
Inaonekana wewe wa kitambo sana si haba utakuwa ukiwaona kina Museveni wakiwa hapa bongo kwenye hali za kawaida.

Nasikia sikuhizi Nchi ambazo ni far left kama Uk, France, Sweden, Switzerland, n.k. usalama wa immmigrants umeshuka ni heri uende Poland, Austria, Hungary ama far right states za US
Umefikiaje hitimisho lako hili?
 
Umefikiaje hitimisho lako hili?
Well naona nchi far left zinajaza Illegal immigrants ambao ni hatarishi kwenye jamii, aina ile ya watu ambao hata nchi zao ama majirani hawawataki, Wanaenda kumwagwa hizo nchi / states zinazowakaribisha bila kuwakagua background zao

  • Wabakaji
  • Wenye itikadi zenye mirengo mikali
  • Mapusha
  • wanachama wa magenge
  • wanawake wanaoletwa kuwa watumwa kingono
  • magaidi
  • smugglers
  • watekaji
  • majambazi
  • waliokimbia jela nchi zao
 
Moja ya vitu vinavyokwamisha ni financial status, language proficiency naona hivyo ndo msingi maana naona mchakato ulivyo sio kitoto hasa $$
 
Nina jamaa yangu mmarekani ananiambiaga nyie mnawezaje kuongea english inaeleweka anasema wabongo wengi kiingeleza changamoto nkamwambia toka utoto tunaongea kiswahili kwa iyo english ni second language japo jamaa mda mwingine akiongea lazima utulize fuvu anaweza ongea akakupa anxiety.
 
Well naona nchi far left zinajaza Illegal immigrants ambao ni hatarishi kwenye jamii, aina ile ya watu ambao hata nchi zao ama majirani hawawataki, Wanaenda kumwagwa hizo nchi / states zinazowakaribisha bila kuwakagua background zao

  • Wabakaji
  • Wenye itikadi zenye mirengo mikali
  • Mapusha
  • wanachama wa magenge
  • wanawake wanaoletwa kuwa watumwa kingono
  • magaidi
  • smugglers
  • watekaji
  • majambazi
  • waliokimbia jela nchi zao
Una data za ku support madai haya empirically na statistically far and above the usual political narratives of the far right na watu kama Donald Trump?
 
Una data za ku support madai haya empirically na statistically far and above the usual political narratives of the far right na watu kama Donald Trump?
Yes, mfano ni London, uhalifu umeongezeka sana kwasababu UK inaingiza maharamia wengi

Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu kupigwa visu

Ila kwa Poland kuna usalama zaidi kwasababu waoo strict kwenye kuingiza wageni

1725796732507.png
 
Yes, mfano ni London, uhalifu umeongezeka sana kwasababu UK inaingiza maharamia wengi

Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu kupigwa visu
Empirical. Statistical. Evidence.

Weka namba. Weka statistics. Onesha ushahidi unaounganisha namba hixo na uhamiaji haramu.

Onesha trend, si mji mmoja tu.

Halafu ondoa swali la correlation na cusation.
 
Empirical. Statistical. Evidence.

Weka namba. Weka statistics. Onesha ushahidi unaounganisha namba hixo na uhamiaji haramu.

Onesha trend, si mji mmoja tu.

Halafu ondoa swali la correlation na cusation.
Kuna illegal immigrants wengui wanaingia uk, Sio visu tu bali sex grooming kwa watoto, ni mambo yaliyoanza kwa kasi kwasababu ya illegal immigration

1725797124851.png


1725797192925.png
 
Back
Top Bottom