Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Muda unaenda kasi sana! Wale wapambe wa kusifia kulikozidi kuabudu na misamiati yao ya kishamba naona sasa wanapukutika utadhani mbelewele za Mtama wa Kongwa.

Eti Tunampambania, anatupambania! Too low! Hivi mtu anayetekeleza majukumu yake na analipwa pesa ndefu na nyingine anabeba na kugawa barabarani huyo anakupambania nini? Hivi mtakuwa watu duni hadi lini wanafiki nyie! bora mmetoweka wenyewe, mlikuwa mnatia aibu sana!

FB_IMG_1575390800494.jpg
FB_IMG_1575390792397.jpg
 
Mbona mnateseka sana?

JPM aliwagaragaza akiwa hai, na atawagaragaza akiwa marehemu!

Fikiria mpaka sasa hivi hakuna la maana mnalofanya zaidi ya kupambana na marehemu!

2025 itafika bado mnapambana na marehemu, sasa hivi mmechukua nafasi ya uvccm sasa mnasifu na kuabudu kwa ajili ya Samia wa ccm [emoji23][emoji23][emoji23]

Tuko hapa, tutakuja kukumbushana ikifika oktoba 2025, kwa akili zenu mnaona kama mbali!

Ni kama kipindi cha Magufuli tulikuwa tunawashauri badala ya kupoteza muda kujadili kingereza cha Magufuli huo muda mngeutumia kudai uhuru wa zile taasisi mnazosemaga zinawanyima kura.

Sasa mnarudia ujinga ule ule, badala ya mumuendee mama kwa utaratibu nyie mko busy kupambana na marehemu!

Aliewaroga ana dhambi sana!
 
Umenena vema siasa hizi za kijinga zinaliumiza Taifa,mtu ni mtumishi na analipwa mshahara wewe hohe hahe unahangaika eti tutamlinda,upungufu wa akili.
Watz wana akili mkuu,

Ni kama walivyompuuza yule mbelgiji aliposema waandamane ili kutetea ugali wake!
.
Wakajisemea huyu mbelgiji katoka wapi tena? Yani watu tuache shughuli zetu za kujiingizia kipto badala yake tuingie barabarani kumpigania yeye na amsterdam waende ikulu? Si upumbavu huu?

Akaondoka kajiinamia kichwa chini.
 
Hawa jamaa wana wakati mgumu sana hivi sasa...

Na wale wajawauzito wasipojifungua njiti, basi sio mimi!!!
Nani sasa mwenye wakati mgumu? Unaweza kuwataja hata kwa majina tuone wakati wao mgumu unatokana na nini?
 
Nani sasa nwenye wakati mgumu? Unaweza kuwataja hata kwa majina tuone wakati wao mgumu unatokana na nini?
Mbona kama unajishtukia Jombaa!!! Mada haijataja mtu bali imetaja:-
Muda unaenda kasi sana ! Wale wapambe wa kusifia kulikozidi kuabudu na misamiati yao ya kishamba naona sasa wanapukutika utadhani mbelewele za Mtama wa Kongwa .
Kwahiyo, nami hoja yangu imejikita hapo 👆 👆 !!
 
Mbona kama unajishtukia Jombaa!!! Mada haijataja mtu bali imetaja:-

Kwahiyo, nami hoja yangu imejikita hapo [emoji115] [emoji115] !!
[emoji23] [emoji23] Masikini!
Hadi huruma
 
Watz wana akili mkuu,

Ni kama walivyompuuza yule mbelgiji aliposema waandamane ili kutetea ugali wak
Huo ndio ubovu mlionao wivu tu kama wanawake waliolewa kwa mtu mmoja, mmehatarisha maisha ya Tundu Lissu kwa huu ujinga wa kusifia wengine na kubeza wengine kisa nguvu ya hela na madaraka pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama, sheria za haki na upendo hamzitaki kabisa kwa sababu mna maslahi kwenye siasa chafu.
 
nyie wapumbavu tuliwaambia,kifo cha JPM kitawawewesesha kuliko sisi tuliokuwa wafuasi wake.[emoji23][emoji23][emoji23].

hii ndio laana ya kushangilia kifo cha anayekupigania,lazima urukwe na akili.

sasa hivi hamjui hata mshike jambo gani mwende nalo,bi samia mnamwogopa maana ni kuungana na ccm,jpm mlimsimanga anawaumiza.
kilichobaki ni nyimbo zilizokosa mvuto kama hizi.
 
Nani sasa nwenye wakati mgumu? Unaweza kuwataja hata kwa majina tuone wakati wao mgumu unatokana na nini?
[emoji23][emoji23]msamehe bure tu,ulishawahi kukutana na mtu anayeweweseka??
ndio hawa.
 
Back
Top Bottom