Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mbona mnateseka sana?
JPM aliwagaragaza akiwa hai, na atawagaragaza akiwa ma....!
JPM hajawahi kumgaragaza yoyote kisiasa maana hakuwa na uwezo wala mvuto wa kisiasa. Sana sana alikuwa na kiburi cha madaraka.
Ulitaka nini kifanyike cha maana labda ili uone hiyo 2025 kuna kilichofanyika, maana kama ni ushindani wa kisiasa kwa sasa ccm haiuwezi. Ama unataka wapinzani waingie msituni kuja kupambana na vyombo vya dola? Maana ccm kama chama hakipo tena, zaidi ni nguvu za dola ndio zinafanya siasa kwa niaba ya ccm.