Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Hatarii Sana, tulionya kitambo Sana, Kitendo cha shujaa kuimaliza kazi yake ya hapa duniani na kwenda huko Kwa njia ambayo kila mmoja ataipitia, hili jukwaa tusipoangalia litakosa hoja za maana kipindi kirefu Sana,

Kipindi chake, kila alilokuwa akilisema lilionekana ni kama geni masikioni mwa wengi hasa wapinzani wake, na ndio Maana kulikuwa kunazaliwa mijadara kibao, na Kwa sasa kumebakia mijadara ya kijinga tu kama Uzi huu, si ni upumbavu tu wala hakuna hoja yoyote

Kilichobaki Kwa wandishi wengi ni zile dhihaka zisizosaidia chochote!
Tuliwaonya kwamba hakujawahi kuwepo eneo lolote duniani ambalo SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU, lakini mkabisha, sasa moto umewawakia, Mamluki nyie!
 
Muda unaenda kasi sana! Wale wapambe wa kusifia kulikozidi kuabudu na misamiati yao ya kishamba naona sasa wanapukutika utadhani mbelewele za Mtama wa Kongwa.

Eti Tunampambania, anatupambania! Too low! Hivi mtu anayetekeleza majukumu yake na analipwa pesa ndefu na nyingine anabeba na kugawa barabarani huyo anakupambania nini? hivi mtakuwa watu duni hadi lini wanafiki nyie! bora mmetoweka wenyewe , mlikuwa mnatia aibu sana!


Zilikuwa lugha rasmi za yule propesa almaarufu kutokea jalalani.
 
Japo mkuu wangu nakueshim ila wenda hu mmoja wao ,ndo ivyo kunywa maji mengi kila siku kusaidia moyo usipanuke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa kipi sasa?

Ccm tuko madarakani kupitia rais wetu Mama Samia,

Na mifumo ya kuwagaragaza chadema ni ileile,

Niambie sasa natakiwa kunywa maji kwa lipi?
 
Hatarii Sana, tulionya kitambo Sana, Kitendo cha shujaa kuimaliza kazi yake ya hapa duniani na kwenda huko Kwa njia ambayo kila mmoja ataipitia, hili jukwaa tusipoangalia litakosa hoja za maana kipindi kirefu Sana,

Kipindi chake, kila alilokuwa akilisema lilionekana ni kama geni masikioni mwa wengi hasa wapinzani wake, na ndio Maana kulikuwa kunazaliwa mijadara kibao, na Kwa sasa kumebakia mijadara ya kijinga tu kama Uzi huu, si ni upumbavu tu wala hakuna hoja yoyote

Kilichobaki Kwa wandishi wengi ni zile dhihaka zisizosaidia chochote!
Wasamehe mkuu,

Hawa akili huwa zinawarudi kila oktoba ya mwaka wa uchaguzi.

Kwa sasa wako kipindi cha mpito
 
Tuliwaonya kwamba Hakujawahi kuwepo eneo lolote duniani ambalo SHETANI AMEWAHI KUMSHINDA MUNGU , lakini mkabisha , sasa moto umewawakia ,Mamluki nyie !
Narudia tena, huna hoja Kwa sasa, zaidi Sana hoja zenu ni zile dhihaka zisizo badirisha chochote
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa kipi sasa?

Ccm tuko madarakani kupitia rais wetu Mama Samia,

Na mifumo ya kuwagaragaza chadema ni ileile,

Niambie sasa natakiwa kunywa maji kwa lipi?
Fulsa za kuabudu,kusifu, kuumiza chadema ili mpate teuzi hakuna,zimeenda na MWENDAZAKE ,aliopo ni ccm ni kitu kimoja na MWENDAZAKE ila Sio sawasawa na MWENDAZAKE mwafaa,mkuu
 
Wasamehe mkuu,

Hawa akili huwa zinawarudi kila oktoba ya mwaka wa uchaguzi.

Kwa sasa wako kipindi cha mpito
😀😀 Mpaka maji mtaita mma, maana mama anawachoma I/m benzathine pale pale anawapa morphine kuwapunguzia maumivu
 
Fulsa za kuabudu,kusifu, kuumiza chadema ili mpate teuzi hakuna,zimeenda na MWENDAZAKE ,aliopo ni ccm ni kitu kimoja na MWENDAZAKE ila Sio sawasawa na MWENDAZAKE mwafaa,mkuu
Kwani sasa hivi wanaccm wamekatazwa kusifu? Je chadema sasa haiumii? Je, wana ccm sasa hawateuliwi?

Niambie sasa twafaa kwa sababu ipi ikiwa hayo hapo juu bado yanaendelea?

Au wewe unafikiri ukiandika kipropaganda namna hii ndio Rais wetu Samia atawafukuza ccm wote na kuwaita chadema?

Kwanza niambie kilichofanya msishiriki uchaguzi mdogo kule kigoma ni kipi wakati huyo mbaya wenu kafa?
 
[emoji3][emoji3] Mpaka maji mtaita mma, maana mama anawachoma I/m benzathine pale pale anawapa morphine kuwapunguzia maumivu
Mama ametuchomaje sasa? Hivi unaweza kuchoma au kukata tawi ulilolikalia?
 
Kwani sasa hivi wanaccm wamekatazwa kusifu? Je chadema sasa haiumii? Je, wana ccm sasa hawateuliwi?

Niambie sasa twafaa kwa sababu ipi ikiwa hayo hapo juu bado yanaendelea?

Au wewe unafikiri ukiandika kipropaganda namna hii ndio Rais wetu Samia atawafukuza ccm wote na kuwaita chadema?

Kwanza niambie kilichofanya msishiriki uchaguzi mdogo kule kigoma ni kipi wakati huyo mbaya wenu kafa?
Mkuu Yani unavyolalamika nimecheka sana,
Kwa Sasa uchaguzi kwetu sio kipaumbele kwetu ,yapo Mambo ya msingi Sana kwa Sasa kulikochaguzi ,tutashiriki chaguzi mda mhafaka na kwa wakati muhafaka,
 
Back
Top Bottom