Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Baada ya kukamatwa sasa si ndio ilikuwa starting point ya nyie wafuasi kuandamana? Hivi mlitaka Lisu aongee lugha gani ili muelewe kama anataka muende barabarani?

Ni hivi, wanachi waliwapuuza.

Any way, mwambie sasa mbaya wake hayupo arudi sasa aje achukue urais

Kila jambo lina wakati wake, hayo ya maandamano iko siku yatakuja tu, cha muhimu hiyo mbegu ya kuandamana imeshatangazwa. Uzuri sisi waandamanaji tunaongea na Mungu na tukamuomba ampeleke ibilisi motoni. Lissu atarudi kwa muda wake, na Urais akitaka atagombea kimpango wake.
 
nyie mnapimaje kukubalika kwenu!!

maana kama ni watu kwenye mikutano wanajaa hata ccm pia,achana na zile story za kusomba na maroli.

Wanaoenda upinzani wanaenda kwa ridhaa yao, wengi wa wanaoenda kwenye mikutano ya CCM ni kwa shuruti na hadaa. Hao kubebwa kwenye malori tunaona kwa macho yetu.
 
Wanaoenda upinzani wanaenda kwa ridhaa yao, wengi wa wanaoenda kwenye mikutano ya ccm ni kwa shuruti na hadaa. Hao kubebwa kwenye malori tunaona kwa macho yetu.
[emoji23][emoji23]huu ujinga siku moja utaudharau.
 
Mbona mnateseka sana?

JPM aliwagaragaza akiwa hai, na atawagaragaza akiwa marehemu!

Fikiria mpaka sasa hivi hakuna la maana mnalofanya zaidi ya kupambana na marehemu!

2025 itafika bado mnapambana na marehemu, sasa hivi mmechukua nafasi ya uvccm sasa mnasifu na kuabudu kwa ajili ya Samia wa ccm [emoji23][emoji23][emoji23]

Tuko hapa, tutakuja kukumbushana ikifika oktoba 2025, kwa akili zenu mnaona kama mbali!

Ni kama kipindi cha Magufuli tulikuwa tunawashauri badala ya kupoteza muda kujadili kingereza cha Magufuli huo muda mngeutumia kudai uhuru wa zile taasisi mnazosemaga zinawanyima kura.

Sasa mnarudia ujinga ule ule, badala ya mumuendee mama kwa utaratibu nyie mko busy kupambana na marehemu!

Aliewaroga ana dhambi sana!
😆😆😆 Maisha yanabadilika haraka sana !
 
siku ukija kujua ccm ni zaidi ya chama cha siasa utaenda kulima tu.

mbowe ni ccm pia.

Ndio maana nasema kila siku, CCM sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilochovaa koti la chama cha siasa. Acha Mbowe kuwa CCM, hata mke wake akiwa CCM is none of our business.
 
Ndio maana nasema kila siku, ccm sio chama cha siasa bali ni kikundi cha dola kilochovaa koti la chama cha siasa. Acha Mbowe kuwa ccm, hata mke wake akiwa Ccm is none of our business.
Non of your business wakati ndio mwenye chama[emoji23][emoji23][emoji23]

wewe!!!!
 
non of your business wakati ndio mwenye chama[emoji23][emoji23][emoji23]

wewe!!!!

Ni kweli ndio mwenye chama, lakini sio ndio wenye ushawishi. Bila sisi hicho chama chake kitakuwa kama cha Lyatonga au Cheyo.
 
Ni kweli ndio mwenye chama, lakini sio ndio wenye ushawishi. Bila sisi hicho chama chake kitakuwa kama cha Lyatonga au Cheyo.
Nyinyi ndio wenye ushawishi, mmeshindwa hata kumchallenge aachie uenyekiti!!!! Mna ushawishi wa kitu gani hapo??
 
Kila jambo lina wakati wake, hayo ya maandamano iko siku yatakuja tu, cha muhimu hiyo mbegu ya kuandamana imeshatangazwa. Uzuri sisi waandamanaji tunaongea na Mungu na tukamuomba ampeleke ibilisi motoni. Lisu atarudi kwa muda wake, na Urais akitaka atagombea kimpango wake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Eti kuongea na Mungu,

Hivi kilichofanya msishiriki uchaguzi mdogo wa jimbo la kule kigoma ni kitu gani wakati mlishaongea na mungu wenu akampeleka huyo ibilisi wenu motoni?
 
Wanaoenda upinzani wanaenda kwa ridhaa yao, wengi wa wanaoenda kwenye mikutano ya ccm ni kwa shuruti na hadaa. Hao kubebwa kwenye malori tunaona kwa macho yetu.
Hata Lisu alipokuwa kwa amsterdam ubelgji alikuwa na nawazo kama haya, alipofika field akaishia kusingizia kwamba anataka kutekwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Muda unaenda kasi sana ! Wale wapambe wa kusifia kulikozidi kuabudu na misamiati yao ya kishamba naona sasa wanapukutika utadhani mbelewele za Mtama wa Kongwa .

Eti Tunampambania , anatupambania ! Too low ! Hivi mtu anayetekeleza majukumu yake na analipwa pesa ndefu na nyingine anabeba na kugawa barabarani huyo anakupambania nini ? hivi mtakuwa watu duni hadi lini wanafiki nyie ! bora mmetoweka wenyewe , mlikuwa mnatia aibu sana !

View attachment 1783006View attachment 1783012
Msemo wa kuishi Kama mashetani umewarudi, chezea mungu, leo kelele zao kwisha, kila wakitazama upepo haupo upande wao, muda ni MWALIMU mzuri Sana mkuu
 
Ni kweli ndio mwenye chama, lakini sio ndio wenye ushawishi. Bila sisi hicho chama chake kitakuwa kama cha Lyatonga au Cheyo.
Ninyi kina nani?

Ninyi ni vidagaa tu pale! Anachoamua yeye na genge lake hamna wa kupinga, kama unabisha niambie ulipopinga ujio wa Nyarandu na kupewa vyeo nani alikusikiliza? Ulipopinga ujio wa Lowasa nani alikusikiliza?

Bwashee usifikiri kila mtu ni mtoto humu.
 
Hata Lisu alipokuwa kwa amsterdam ubelgji alikuwa na nawazo kama haya, alipofika field akaishia kusingizia kwamba anataka kutekwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mataga wote wamekimbia umebaki wewe tu , hongera !
 
Msemo wa kuishi Kama mashetani umewarudi,chezea mungu,leo kelele zao kwisha,kila wakitazama upepo haupo upande wao, mda ni MWALIM mzuri Sana mkuu
Kina nani sasa hao? Hebu wataje angalau wawili tuone jinsi wanavyoteseka
 
Hatarii Sana, tulionya kitambo Sana, Kitendo cha shujaa kuimaliza kazi yake ya hapa duniani na kwenda huko Kwa njia ambayo kila mmoja ataipitia, hili jukwaa tusipoangalia litakosa hoja za maana kipindi kirefu Sana,

Kipindi chake, kila alilokuwa akilisema lilionekana ni kama geni masikioni mwa wengi hasa wapinzani wake, na ndio Maana kulikuwa kunazaliwa mijadara kibao, na Kwa sasa kumebakia mijadara ya kijinga tu kama Uzi huu, si ni upumbavu tu wala hakuna hoja yoyote

Kilichobaki Kwa wandishi wengi ni zile dhihaka zisizosaidia chochote!
 
Back
Top Bottom