Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Jukwaa hili limekuwepo toka Magufuli hajaingia madarakani. Amelikuta, amelia cha. MaGT bado wapo na wataendelea kuingia. Huwezi kuwazuia watu aina ya Musiba na Polepole. Kwenye msafara wa mamba...
 
Wamegeuka wapiga miluzi.
 
Wasamehe mkuu,

Hawa akili huwa zinawarudi kila oktoba ya mwaka wa uchaguzi.

Kwa sasa wako kipindi cha mpito
Kama mnajivunia aina hii ya chaguzi, basi poleni sana. Kuna wanaccm ambao huona aibu. Hao huwa nawaelewa
 
Wanamtisha kwa miluzi eti aache kipi afanye kipi
 
Narudia tena, huna hoja Kwa sasa, zaidi Sana hoja zenu ni zile dhihaka zisizo badirisha chochote
Mbona hata TBC na Bungeni, kusifu na kuabudu hamna tena. Yaani hata mimi sasa naweza kutazama TBC angalau mara moja moja
 
Mbona rushwa na hongo za Magufuli kwa wapinzani zilikuwa wazi kabisa? Watu wanachukuliwa na kupewa vyeo, fedha, utadhani ccm hakuna wanaofaa? Eti anapambana na rushwa, wakati Magufuli ndio mtoa rushwa nambari moja!
shida sio magufuli kumnunua mtu,shida ni chadema kupokea mwana ccm,kisha kumsafisha.
 
shida sio magufuli kumnunua mtu,shida ni chadema kupokea mwana ccm,kisha kumsafisha.
Siyo ishu Magufuli kutoa rushwa? Duuuuu!!!! Ama kweli CCM kuna vichwa. Kwanza hiyo siyo rushwa tu, ni UFISADI pia, maana hiyo pesa siyo yake wala siyo ya CCM, Ni pesa ya walipakodi, inatakiwa kutumika kwa uaminifu na uadilifu na kwa maslahi ya wananchi.

Sasa kama Lowasa na wengine walikuwa mafisadi, si WAMERUDI NYUMBANI? Yaani nyumbani kwa Mafisadi. Na wamepokelewa kwa mikono miwili, nao wameeleza bayana furaha yao kurudi nyumbani. Tatizo kwa CHADEMA linatoka wapi?
 
kwani mh mbowe alipewa shingapi za uma na lowasa??
 
Na usubiri 2025 atakugaragaza tena akiwa kaburini
 
Lissu alisababisha shoti kwenye betri kutokana na kufunua na kufichua uchafu wote yakiwemo mauaji ya wavuvi Lubondo

Jiwe alichanganyikiwa ukweli wake wazi huku akiwa ameshurutisha watu waamini kuwa yeye ni msafi.
 
Ukiona mtu anaandamana ujue ameshiba na anatafuta kufanya mazoezi
 
Lissu alisababisha shoti kwenye betri kutokana na kufunua na kufichua uchafu wote yakiwemo mauaji ya wavuvi Lubondo
mbona asisababishe marekebisho ya mguu wake!!!

mkiishiwa hoja mnakiwa kama wasen£
 
Mbona hata TBC na Bungeni, kusifu na kuabudu hamna tena. Yaani hata mimi sasa naweza kutazama TBC angalau mara moja moja
Sjajua ulini quote ili uzungumze nini...? Mbona hiyo Tbc hainihusu mkuu, au ulitaka kujenga hoja gani Yani??

Eebhana...! Uwe na jioni njema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…