Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

Lugha za wasakatonge wa awamu ya 5 zilizoyeyuka mithili ya theluji wakati wa kiangazi

kwani mh mbowe alipewa shingapi za uma na lowasa??
Hivi wewe Lowassa unamjua au unamsikia tu? Ampe Mbowe fedha za nini? Lowasa alitumia fedha kugharamia kampeni zake. Nina uhakika 2015 Lowassa hakuwa na fedha zilizotengwa na Bunge kwa matumizi ya serikali, mwaka huo. Atakuwa alikuwa na pesa zilizotakatishwa, kama tunaamini aliziiba serikalini huko nyuma.
Hapa tunaongelea Magufuli anàyekwiba fedha za serikali na kuzitumia kutoa rushwa. Hata CAG amekosoa mara nyingi matumizi ya fedha za serikali bila kufuata taratibu.
 
Hivi wewe Lowassa unamjua au unamsikia tu? Ampe Mbowe fedha za nini? Lowasa alitumia fedha kugharamia kampeni zake. Nina uhakika 2015 Lowassa hakuwa na fedha zilizotengwa na Bunge kwa matumizi ya serikali, mwaka huo. Atakuwa alikuwa na pesa zilizotakatishwa, kama tunaamini aliziiba serikalini huko nyuma.
Hapa tunaongelea Magufuli anàyekwiba fedha za serikali na kuzitumia kutoa rushwa. Hata CAG amekosoa mara nyingi matumizi ya fedha za serikali bila kufuata taratibu.
unapigania kipi alichoharibu magufuli ambacho lowasa hakukifanya???
 
Sjajua ulini quote ili uzungumze nini...? Mbona hiyo Tbc hainihusu mkuu, au ulitaka kujenga hoja gani Yani??

Eebhana...! Uwe na jioni njema
Wewe unadai kwamba uzi huu hauna hoja. Mimi nasema hoja ipo. Lugha za kujipendekeza zimeadimika. Na nikatoa mfano wa TBC na Bunge. Ok?
 
Ooh, kwa hiyo tunakubaliana kwamba Magufuli alikuwa FISADI kama Lowassa? Hapo tumepiga hatua
hatukubaliani,najaribu kwenda sawa na nawewe unavyotaka ili nijue unachoyaka kuhalalisha.
 
Wewe unadai kwamba uzi huu hauna hoja. Mimi nasema hoja ipo. Lugha za kujipendekeza zimeadimika. Na nikatoa mfano wa TBC na Bunge. Ok?
Mkuu, umeona wapi ambapo nikekulazimisha useme Uzi huu Una maana au hauna maana?

Kama zilivyofikira za mtu Tajiri wa fikira na Masikini wa fikira kuzitumia kutatua Jambo lake, ndvyo tunavyoweza kutofautiana kuhusu huu Uzi!

Wakati wewe unaona ili utoke kimaisha, ni lazima ukope au uombe msaada ndio utoke, mwingine hatazami Hivyo!!

Wewe kakope ili utoke
 
hatukubaliani,najaribu kwenda sawa na nawewe unavyotaka ili nijue unachoyaka kuhalalisha.
Mbona ni rahisi sana. Mimi simtetei Lowassa. Huyo mtamtetea wenyewe. Kumbuka, CHADEMA walimtumia Lowassa kwenye uchaguzi wa 2015. Kama alikuwa na fedha za walipa kodi, fine, zilitumika kukiwezesha chama hicho kupata wabunge na madiwani wengi zaidi, ili kujenga hoja za wananchi bungeni na kwenye Halmashauri.
CHADEMA hawajatoa rushwa kwa yeyote.
Magufuli ametoa rushwa, tena kwa kutumia fedha za walipa kodi.
 
nyie wapumbavu tuliwaambia,kifo cha JPM kitawawewesesha kuliko sisi tuliokuwa wafuasi wake.[emoji23][emoji23][emoji23].

hii ndio laana ya kushangilia kifo cha anayekupigania,lazima urukwe na akili.

sasa hivi hamjui hata mshike jambo gani mwende nalo,bi samia mnamwogopa maana ni kuungana na ccm,jpm mlimsimanga anawaumiza.
kilichobaki ni nyimbo zilizokosa mvuto kama hizi.
Muulize heri jemsi anaweweseka kwa kiwango gani?
 
Mkuu, umeona wapi ambapo nikekulazimisha useme Uzi huu Una maana au hauna maana?

Kama zilivyofikira za mtu Tajiri wa fikira na Masikini wa fikira kuzitumia kutatua Jambo lake, ndvyo tunavyoweza kutofautiana kuhusu huu Uzi!

Wakati wewe unaona ili utoke kimaisha, ni lazima ukope au uombe msaada ndio utoke, mwingine hatazami Hivyo!!

Wewe kakope ili utoke
Umesahau alichoandika mwenyewe? Hii ni khatari!
 
Hatarii Sana, tulionya kitambo Sana, Kitendo cha shujaa kuimaliza kazi yake ya hapa duniani na kwenda huko Kwa njia ambayo kila mmoja ataipitia, hili jukwaa tusipoangalia litakosa hoja za maana kipindi kirefu Sana,

Kipindi chake, kila alilokuwa akilisema lilionekana ni kama geni masikioni mwa wengi hasa wapinzani wake, na ndio Maana kulikuwa kunazaliwa mijadara kibao, na Kwa sasa kumebakia mijadara ya kijinga tu kama Uzi huu, si ni upumbavu tu wala hakuna hoja yoyote

Kilichobaki Kwa wandishi wengi ni zile dhihaka zisizosaidia chochote!
Umesahau kuwa uliandika haya kubeza uzi?
 
Na usubiri 2025 atakugaragaza tena akiwa kaburini
Ni kawaida ya CCM kuiba. Mbona hata Bashiru alitetea ccm kutumia polisi kuiba. Tena alisema vizuri sana, kwamba wao ni wezi, lazima watetee ulaji wao. Maneno ya hovyo kabisa. Samia, kama yupo na mawazo kama ya Kikwete, atachukia wizi aina hii. CCM Ni wezi toka zamani, ila Magufuli, hiyo ni kitu ingine kabisaaa.
Maana kumbuka tokea upinzani uanze, tumekuwa tukiongeza idadi ya wabunge mwaka baada ya mwaka. Magufuli akafuta kila kitu, sio kwa sababu alipendwa sana, no, sababu ni mporaji zaidi
 
Mbona ni rahisi sana. Mimi simtetei Lowassa. Huyo mtamtetea wenyewe. Kumbuka, CHADEMA walimtumia Lowassa kwenye uchaguzi wa 2015. Kama alikuwa na fedha za walipa kodi, fine, zilitumika kukiwezesha chama hicho kupata wabunge na madiwani wengi zaidi, ili kujenga hoja za wananchi bungeni na kwenye Halmashauri.
CHADEMA hawajatoa rushwa kwa yeyote.
Magufuli ametoa rushwa, tena kwa kutumia fedha za walipa kodi.

kwahiyo chadema ilitumia pesa za lowassa aliyekuwa fisadi 2008 kujijenga.
2021 magufuli anaitwa fisadi kwa kutumia fedha za uma ktk rushwa za wabunge.

2035 magufuli anawezakuwa rais anayetajwa kama shujaa na chadema,kama itaendelea kuwapo.
chadema ina uwezo mkubwa sana wa kugeuka geuka kwa nyakati.
 
Muda unaenda kasi sana! Wale wapambe wa kusifia kulikozidi kuabudu na misamiati yao ya kishamba naona sasa wanapukutika utadhani mbelewele za Mtama wa Kongwa.

Eti Tunampambania, anatupambania! Too low! Hivi mtu anayetekeleza majukumu yake na analipwa pesa ndefu na nyingine anabeba na kugawa barabarani huyo anakupambania nini? Hivi mtakuwa watu duni hadi lini wanafiki nyie! bora mmetoweka wenyewe, mlikuwa mnatia aibu sana!

😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
 
Ni kawaida ya CCM kuiba. Mbona hata Bashiru alitetea ccm kutumia polisi kuiba. Tena alisema vizuri sana, kwamba wao ni wezi, lazima watetee ulaji wao. Maneno ya hovyo kabisa. Samia, kama yupo na mawazo kama ya Kikwete, atachukia wizi aina hii. CCM Ni wezi toka zamani, ila Magufuli, hiyo ni kitu ingine kabisaaa.
Maana kumbuka tokea upinzani uanze, tumekuwa tukiongeza idadi ya wabunge mwaka baada ya mwaka. Magufuli akafuta kila kitu, sio kwa sababu alipendwa sana, no, sababu ni mporaji zaidi
Sasa kama hamjielewi kwanini msiibiwe?
 
Back
Top Bottom