Luhaga Mpina aenguliwa kwenye kinyang'anyiro cha kuwania nafasi ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC)

Acha wivu wa kimalaya , tofautisha Mpina akiwa waziri na sasa ni mbunge,acheni afanye kazi ya kibunge,wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] kabisa,hutaki mbunge atimize majukumu yake?narudia tena wewe ni nyoko kabisa
We tukana unavyoweza ila ndio imetoka hiyooo 2025 atafute kazi nyingine ya kufanya tumechoka wanafiki.

Eti majukumu ya mbunge? Kwani alipokua mbunge mwaka Jana JPM hakuwepo hai? Mbona hakumkataza kufanya manunuzi ya ndege nje ya bajeti? Mbona sikusikia akipinga JPM kuchukua mkopo wa SGR? Sikusikia akisema trillion 360 zilipwe!! Eti JPM kafariki ndio anagundua kuwa Trillion 360 hatukulipwa??

Kama amekutuma mwambie waTanzania tunajitambua CCM msituchezee akili kabisa, unafiki wenu tumeuchoka.
 
Na akija upinzani asipokelewe.
 
Acha wivu wa kimalaya , tofautisha Mpina akiwa waziri na sasa ni mbunge,acheni afanye kazi ya kibunge,wewe ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] kabisa,hutaki mbunge atimize majukumu yake?narudia tena wewe ni nyoko kabisa
2025 mpina anagombea ubunge kupitia cdm
 
Ungehoji mantiki ya hoja zake ungekuwa umetoa mchango kwenye platform ila kudai kuwa hata zamani mambo hayo yalikuwepo hujasema kitu
Kwenye siasa credibility ndio kila kitu mfano Dk Gwajima alisema chanjo zina madhara ghafla kaingia Samia eti ooh chanjo ni salama je ulitaka hapo tuchukue "mantiki"?

Embu kuweni serious, kama hakudai Trillion 360 JPM akiwa hai basi akae kimya mile hatutaki unafiki maana kesho akipewa Tena uwaziri utasikia oooh Hakuna kama Mama...
 
Reasoning capacity ya vijana wengi humu jukwaani ni zero kabisa,mfano ni huyo uliemjibu,wanapambana na Luhaga as personal badala ya hoja zake
Wewe ndio una reasoning ndogo sana maana wanasiasa wanakupindua kama chapati!!!

Kesho akirudishwa wizarani utasikia ooh Mama Samia ni Rais Bora Toka uhuru.... Mara oooh mikopo ni mizuri maana inajenga miradi!!

Alafu utakuja Tena humu kulia Lia.... Kama haiwezi kujifunza na wanafiki waliopita kama Polepole na Kabudi then una reasoning ndogo kuliko hao unaowazodoa!!

Embicile
 
kwa mfumo huu ukishatemwa CCM huna la kufanya - sababu jamaa wana kila kitu ushauri ni kuwa mpole.
Uwe mpole au useme kuwa nitaendelea na msimamo wangu, liwalo na liwe.
 
wamekwambia hafai kwa sababu zipi na kama unayosema ni kweli si asingekuwa Mbunge maana pia anapitishwa na vikao hivyo hivyo
Kwani wabunge wa awamu hii walichaguliwa na wananchi? 75% ya wote waliogombea kupifia CCM, yalikuwa ni maamuzi ya marehemu, walikuwa wamekataliwa na wajumbe ndani ya CCM.

Halafu hao 75% pamoja na 25% ambao majina yao yalipitishwa na wajumbe, wakurugenzi waliagizwa wawatangaze kuwa ni wabunge.

Mpina na wenzake wote ni wabunge wa marehemu. Na kwa sababu marehemu, ambaye ndiye aliyewachagua, na ndiye waliyekuwa wanamwakilisha, kwa sasa hayupo Duniani, ina maana hakuna wanayemwakilisha. Wanapiga porojo kwa namna inavyowapendeza. Lakini wananchi hawana mwakilishi.
 
Apunguze usukuma gang na kuimba taarabu bungeni.....asipoangalia vizuri kwenye kura za maoni za kugombea nafasi ya ubunge hapiti😃
Labda kutokee mageuzi ya kiuongozi kama yaliyotokea vinginevyo aende kule alikodhulumu ardhi ya wanakijiji akalime bange tu
 
Hahahahaha, Mkuu umemaliza kila kitu! Huyu Mpina hata haeleweki anataka nini, ndiyo maana kapuuzwa
Kwa ujumla, hata siku moja usimwamini mnafiki kwa jambo lolote.

Huyu Mpina, aliyewatia umaskini wavuvi na wafanyabiashara wa samaki, na kuwapiga faini kubwa wenye mabasi eti kwa vile tu ndani ya mabasi yao kulipatikana abiria waliokuwa wamebeba samaki wa mboga, leo eti ana huruma na wananchi! Siwezi kuamini.

Mwalimu Nyerere aliwahi kutamka, 'kiongozi akitamka kuwa anachukia rushwa, umtazame na usoni anapoyaongea hayo. Anakuambia, mimi nachukia sana rushwa, unamtazama usoni, unasema, huyu! Huyu anachukia rushwa, hapana'.

Mpina huyu, aliyefikia mpaka kuwapima samaki waliopo kwenye sahani kwa rula, aliyewafuata wavuvi wenye makokoro ambao walikuwa wameyaondoa makokoro yao toka ziwani, yapo majumbani mwao, lakini bado akawapiga faini ya zaidi ya sh 200m, leo eti anawatetea Watanzania.

Tujiulize, ikitokea kuna jambazi sugu mtaani kwenu, na mnamjua maana amekwishawaumiza wengi hapo mtaani, halafu siku moja huyo jambazi akawa anapita kila nyumba kuwaambia majambazi ni watu wabaya, tuchukue hatua dhidi yao, mtamwamini?,
 
Huyo Sukuma gang si ana chama Chao kile chenye picha ya Mwendazake? Umma Party 😆😆.

Akajikite huko akishindwa Chadomo wapo
 
Siku tutakapoacha kujadili watu na kujadili issues hii inchi itapiga hatua sana...Until then wacha tuendelee kua kichwa cha wendawazimu kila kinyozi anajifunzia kunyoa...
Of course mm simkubali kwa unafiki maana hapa Tanzania ukiona mtu anashupalia kitu anakuwa kajwruhiwa sehemu au anatafuta kitu..

Hoja za Mpina zinatakiwa kujibiwa
 
Wewe ni mbumbumbu tu, mbona hawayahoji hayo kumhusu? Roho mbaya tu inakusumbua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…