Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

Acha ubabe wa kishamba! Ujinga huo ndio mmetufanya tuzidi kuwa wajinga malofa na kuwa maskini!
 
Ni kweli kabisa, maana ukitaja tu bsaa8 basi mbowe ana hara hara au issue ya lisu basi mbowe uharo mwingi
 
Ni kweli kabisa, maana ukitaja tu bsaa8 basi mbowe ana hara hara au issue ya lisu basi mbowe uharo mwingi
Uandishi wa wapi huu mtekaji mbona ni wa hovyo sana au karma imeanza kuwashughulikia?

Unaweweseka sana , unajua ikija independent inquiry hamchomoki eh??

Ben Saanane hajatekwa na Mbowe uzi wake wa mwisho upo humu na alisema anatishiwa kuuwawa na namba inayomtisha aliiweka humu sasa nashangaa wewe na genge lenu humu na kina TumainiEl la kuteka watu mnahaha mnajua ikichunguzwa itajulikana kwahiyo mnafifisha ??

Hakuna mahali polisi waliact upon lile suala la Ben kuanzia kutishiwa hadi kupotea ukizingatia alihoji PhD ya kudurufu ya maganda ya korosho ya Magufuli .

Rekodi zote zipo humu ndani hivyo mkitaka haki itendeke kwa Magufuli nasi tunataka haki itendeke kwa wote..
 
Tena tume ya nje ya nchi ikiongozwa na Scotland Yard

Kqzee kaadui ka taifa ka mshoga lazima kaumbuke.
 
Ile ilikuwa namba ya genge la mbowe bosi, we acha tu yaani hii kitu mbowe hachomoki na genge lake. Yaani genge la ugaidi la mbowe walishirikiana na mabeberu kufanya uharifu ili nchi ichafuke. Pia mbowe ni fisadi, jizi, jambazi, malaya, huni huni etc.
 
Waku kamatwa kwanza ni makonda aliepigwa marufuku ya kuingia Marekani kwa makosa ya kunyima watu haki ya kuishi na kwa tuhuma za kushambuliwa Tundu Lisu na tuhuma zingine nyingi zinazo mkabili lakini pia bibi yenu wa kizimkazi ahojiwe kuhusiana na maneno yake kwamba pesa zilikua zinatoroshwa kwenda china alijua ni makosa yanafanyika lakini hakuthubutu kusema ukweli na yeye alishiriki huo ujambazi na uhujumu uchumi
 
Ile ilikuwa namba ya genge la mbowe bosi, we acha tu yaani hii kitu mbowe hachomoki na genge lake. Yaani genge la ugaidi la mbowe walishirikiana na mabeberu kufanya uharifu ili nchi ichafuke. Pia mbowe ni fisadi, jizi, jambazi, malaya, huni huni etc.
"Uharifu" ndio kitu gani ??
 
Yaani umeona hilo kosa tu, yaani mliokuria kaliakoo mna kazi sana mnajifanya kunua kiswahiri sana
"Mliokuria"

"Kaliakoo"

"Kunua"

"Kiswahiri"


Naomba niishie hapa kufanya mjadala na wewe.
 
"Mliokuria"

"Kaliakoo"

"Kunua"

"Kiswahiri"


Naomba niishie hapa kufanya mjadala na wewe.
Hahaha yaani hutaji mjadara naona umeshondwa kabisa kusubutu hahaha yaani nyie chadema popaya kabisa
 
Aliongea wapi? Kama haikurekodiwa wewe ulijuaje? Huo utata wa Mabeyo ni upi?
 
Dah umeona umekiri kushiriki mauaji ya mpendwa wety Dkt Magufuli. Halafu mkambatiza jina eti mwendazake, yaani hilo jina silipendi
Ni neno la Kiswahili halina shida, lipo kwenye kamusi
 
Au Bibiye Kurembeua rembua😂😂
 
Hii ni nchi ya kikatiba na sheria. Kila mtanzania anao uwezo wa kuhoji na kuuliza. Lakin kama mlihusika na kumuua Rais, lazima upaniki na useme ujinga kama huo.
 
Tawile Tawileee Laana liwakute chama cha Mboga Mboga zilizooza Tawilee Chama Wagombane watupiane majini malaana Tawile Chama Kipate malaana kwa wananchi, Mizimu mpaka marehem Tawile yan CCM iangamie kama Sodoma na Gomora Tawile, ianaamie kama kipindi cha Nuhu Tawile, Viongozi wake nao waangamizwe kama Firauni bin Ibilis Shetan Tawile, Wavurugane kama Kuzimu na Moton alipotupwa Shetan Lusifa Ibiliisi Tawile Wavurugane wauane wakorogeane sumu Na iwe Hivyo.
 
Kuna jamaa alisema bahari imetulia, mwingine akasema wazuri hawafi,

Mpina kaja na facts , badala ya kufikiri kumkamata , kamati huru iandaliwe pia,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…