Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

Luhaga Mpina akamatwe ahojiwe analeta chokochoko, kifo cha Hayati Magufuli hakina utata wowote

Magufuli aliugua kwa matatizo ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu tangu akiwa Chuo Kikuu UDSM

Jenerali mstaafu Venance Mabeyo alieleza kwa uwazi mkubwa kuwa Magufuli aliugua akapelekwa hospitali ya Muhimbili baadae hali yake ikawa mbaya ikabidi wamhamishie Mzena ambapo ndipo umauti ulipomkuta, sijaona utata wowote hapo,

labda utata angeweza kuhoji kwenye chain ya utoaji taarifa baada ya Rais kufa, japo sioni ni utata wa kuundiwa tume, ila utata huu ulilletwa na serikali ya Magufuli iliyokuwepo kipindi hicho, ambaye Magufuli mambo mengi nyeti aliachwa yasimamiwe na jeshi mfano ni lile la kupora korosho za wakulima na la kupora fedha za bureau de change, hili halihitaji tume

Jingine lenye utata labda ni usiri wa kuugua kwa Magufuli, lakini hili linafahamika kuwa Magufuli alikuwa akiendesha serikali yake kwa usiri, propaganda na denial, hadi anafariki alikuwa akisema ugonjwa wa Corono ulikwishaondoka nchini kwa maombi, Maalim Seif ambaye alikuwa Makamu wa Rais Zanzibar alipougua hadi kufa serikali haikusema lolote alipokuwa akiugua

Mkapa alipougua Serikali haikusema chochohe hadi akafa

Linganisha na kipindi hiki cha Samia ambapo Mwinyi alipougua tulipewa taarifa

Mpina anataka kuaminisha wananchi kuna utata kifo cha Magufuli ila hakurejra chochote chenye utata katika hiyo hotuba yake.

Pia soma Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli
Ana haki ya kutoa maoni na mtazamo wake ahojiwe kwa kosa gani? Acha utoto
 
Magufuli aliugua kwa matatizo ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu tangu akiwa Chuo Kikuu UDSM

Jenerali mstaafu Venance Mabeyo alieleza kwa uwazi mkubwa kuwa Magufuli aliugua akapelekwa hospitali ya Muhimbili baadae hali yake ikawa mbaya ikabidi wamhamishie Mzena ambapo ndipo umauti ulipomkuta, sijaona utata wowote hapo,

labda utata angeweza kuhoji kwenye chain ya utoaji taarifa baada ya Rais kufa, japo sioni ni utata wa kuundiwa tume, ila utata huu ulilletwa na serikali ya Magufuli iliyokuwepo kipindi hicho, ambaye Magufuli mambo mengi nyeti aliachwa yasimamiwe na jeshi mfano ni lile la kupora korosho za wakulima na la kupora fedha za bureau de change, hili halihitaji tume

Jingine lenye utata labda ni usiri wa kuugua kwa Magufuli, lakini hili linafahamika kuwa Magufuli alikuwa akiendesha serikali yake kwa usiri, propaganda na denial, hadi anafariki alikuwa akisema ugonjwa wa Corono ulikwishaondoka nchini kwa maombi, Maalim Seif ambaye alikuwa Makamu wa Rais Zanzibar alipougua hadi kufa serikali haikusema lolote alipokuwa akiugua

Mkapa alipougua Serikali haikusema chochohe hadi akafa

Linganisha na kipindi hiki cha Samia ambapo Mwinyi alipougua tulipewa taarifa

Mpina anataka kuaminisha wananchi kuna utata kifo cha Magufuli ila hakurejra chochote chenye utata katika hiyo hotuba yake.

Pia soma Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli
Kwanini Luhaga na siyo Mabeyo?
 
Wewe ndio huelewi!!

Unamuona Mpina kama nani pale Bungeni!!?Mbunge au zaidi ya Mbunge!!?

Mpina ni Pace maker ya Bunge hili liliojaaa Chama kimoja!!

System ni kama inamuandaa kuwa hivyo alivyo umuonavyo!!

Ishu ya kifo Cha Rais ni ishu nyeti ukiona anaiongelea ujue ana baraka ya mfumo kuiongelea!!

Na kama system ikiwa serious utaona impact yake Kwa mwenendo was serikali hii!!

Kuna jambo linahalalishwa kufanyika kupitia hiyo move!!

Kwani we hujui "unatumika Ili uje uondolewe baada ya kutumika"

Nawaza kwa sauti!!
Closed ✅
 
Mtoa hoja acha udikiteta na upumbavu wa kutojua sheria,fungua kwanza docket ya uchochozi police ,police wachunguze na DPP afikirie kama wana winnable case then ndio wafanye arrest,huwezi kumkamata suspect bila ya kuwa na docket(unless amekamatwa kwenye crime scene na akifikishwa kituoni lazima afunguliwe docket)
Amekosa nini/amevunja sheria ipi ili akamatwe au kushitakiwa?
 
Viongozi wa nchi nyingi duniani walikuwa wanachukua tahadhari na kujikinga mkuu, Tanzania haikuwa hivyo
Kwa hiyo wengi waliamini maneno ya Rais wakati huo na kujiachia kwa kupiga nyungu tu very strange lakini
Na wao ndio walikuwa wasomi na wazee
Ila ndio hivyo, kwa mimi nasema walikufa kwa wakati wao, ila wengine watasema ulikuwa uzembe wao
 
Magufuli aliugua kwa matatizo ya moyo yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu tangu akiwa Chuo Kikuu UDSM

Jenerali mstaafu Venance Mabeyo alieleza kwa uwazi mkubwa kuwa Magufuli aliugua akapelekwa hospitali ya Muhimbili baadae hali yake ikawa mbaya ikabidi wamhamishie Mzena ambapo ndipo umauti ulipomkuta, sijaona utata wowote hapo,

labda utata angeweza kuhoji kwenye chain ya utoaji taarifa baada ya Rais kufa, japo sioni ni utata wa kuundiwa tume, ila utata huu ulilletwa na serikali ya Magufuli iliyokuwepo kipindi hicho, ambaye Magufuli mambo mengi nyeti aliachwa yasimamiwe na jeshi mfano ni lile la kupora korosho za wakulima na la kupora fedha za bureau de change, hili halihitaji tume

Jingine lenye utata labda ni usiri wa kuugua kwa Magufuli, lakini hili linafahamika kuwa Magufuli alikuwa akiendesha serikali yake kwa usiri, propaganda na denial, hadi anafariki alikuwa akisema ugonjwa wa Corono ulikwishaondoka nchini kwa maombi, Maalim Seif ambaye alikuwa Makamu wa Rais Zanzibar alipougua hadi kufa serikali haikusema lolote alipokuwa akiugua

Mkapa alipougua Serikali haikusema chochohe hadi akafa

Linganisha na kipindi hiki cha Samia ambapo Mwinyi alipougua tulipewa taarifa

Mpina anataka kuaminisha wananchi kuna utata kifo cha Magufuli ila hakurejra chochote chenye utata katika hiyo hotuba yake.

Pia soma Luhaga Mpina: Kuundwe Tume ya kuchunguza 'Utata' wa kifo cha Hayati Magufuli
Punguza povu mkuu Mpina yuko sawa tunataka tujuwe na walio zuia kuapishwa kwa mama
 
Mimi CDF alipomtaja tu daktari fulani alikuwepo muda wote wakati wa kuugua kwa Magu nikajua kwa vyovyote vile asingepona. Na huyo daktari ni kama anahangaika hangaika sana kwa sasa kuhusu afya za watu wengine.
 
Ile I'd ya The Sunk Cost Fallacy 2 Bado unatumia?

Ilitumika sana kushangilia kifo Cha Magu.
Ilitumikankufanya Ugaidi. Hiyo Fallacy 2 ilikuwa na Fallacy 1.

Chini ni moja ya mjadala hapa jamvini. Na mnukuu mhudhuri mmoja hapa...


"Kwenye ishu ya Corona wakati dunia nzima ikijifungia na kufata njia isiyo sahihi kushughulika na janga lile.

Baba yetu Magufuli alisimama kama kiongozi akaja na njia ambayo dunia nzima sasa inaifata kwenye kukabiliana na corona.

Naamini hata kwenye hii ishu ya mafuta, Magufuli angekuja na njia sahihi ya kusaidia watu wake wasiteseke na ugumu wa maisha unaosababishwa na gharama za mafuta kuwa juu. Angetafuta njia sahihi za kumlinda mwananchi asiumizwe na kupanda kwa bei za mafuta

Magufuli alikuwa na maono sana na aliwapenda watu wake hakutaka kuona wanateseka. Angetuvusha"


Chini ni majibu ya ChoiceVariable aka The Sunk Cost Fallacy

Aliwavusha kutoka wapi kwenda wapi?

Kwa hiyo aliwavusha nyingi kwa corona afu yeye akashindwa kujivusha au? 😂😂😂..

Kwa hili la mafuta limefanyaje? Mtahangaika Sana na waliooza .
Ona Ugaidi wao na Utata waliouzusha na kifo chake.
 
Back
Top Bottom