Luhaga Mpina alikuwa Waziri Kigeugeu. Je, vigeugeu wanatufaa kama Taifa?

Aisee sijawahi kusikia kusoma wala kuona mwana ccm mwenye mawazo kama haya ubarikiwe sana
Jamaa wanachukulia kwamba ukiwa siyo mwana ccm basi wewe ni haini kwa taifa nachukia sana
 
Tatizo nikumuangalia Mpina nasio Kilicho Ongelewa na Mpina
Angalia Kwanza Hoja sio mtu
Mbona watu wanajificha kwa Kivuli cha Historia kuliko Uhalisia uliopo sasa!!
Pambana na Ulicho nacho Usoni mwako Achana na Ulicho Kiacha Usogoni Kwako!
 
Tatizo nikumuangalia Mpina nasio Kilicho Ongelewa na Mpina
Angalia Kwanza Hoja sio mtu
Mbona watu wanajificha kwa Kivuli cha Historia kuliko Uhalisia uliopo sasa!!
Pambana na Ulicho nacho Usoni mwako Achana na Ulicho Kiacha Usogoni Kwako!
Hana hoja
 
Mpina has a proven clean record that reflects his
political integrity as he confidently unfolded the rotten deeds of some of the government officials marred with graft practices that shoulder the burden on the taxpayers mercilessly.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…