Luhaga Mpina awekewe ulinzi iwapo kweli tuna maana ya kupiga vita ufisadi!

Luhaga Mpina awekewe ulinzi iwapo kweli tuna maana ya kupiga vita ufisadi!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Watu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!

Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,

Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!

Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!

Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao

Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!

Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!

Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
 
Ulinzi wa nini sasa, amejiamini na aendelee hivyo hivyo.
 
Watu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!

Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu has hatari! Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,

Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!

Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!

Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao

Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!

Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!

Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Mpina anapambana na tumbo lake, unatakiwa awekewe ulinzi wa aina gani. Mafisadi? Hivi yule mshamba anajua hata maana ya ufisadi? Ndiyo shida ya kuwaingiza washamba na vichaa serikalini. Luhaga Mpina hana calibre ya kuwa waziri, ni vichaa walijiweka madarakani
 
Ni haki yako kulifikisha sehemu husika, ila kwa sasa yeye anaweka wazi uozo hadharani!

Toka ukalisemee mkuu
uozo wa mke wake? Mpuuuzi tu yule, mkuda, mnafki amejaa husda. kwa akili yake anajaribu kuidhalilisha serikali ya mama hatafanikiwa mshamba yule
 
Sasa wewe! Uozo wa mke wake unaujua wewe peke yako, sisi inatuhusu nini? Na isitoshe, mada haina uhusiano na unachoandika, vinginevyo wewe ndiye yale mafisadi
uozo wa mke wake? Mpuuuzi tu yule, mkuda, mnafki amejaa husda. kwa akili yake anajaribu kuidhalilisha serikali ya mama hatafanikiwa mshamba yule
 
Back
Top Bottom