Luhaga Mpina awekewe ulinzi iwapo kweli tuna maana ya kupiga vita ufisadi!

Luhaga Mpina awekewe ulinzi iwapo kweli tuna maana ya kupiga vita ufisadi!

Wakimdhuru ndio tutathibitisha bila shaka mafisadi wa awamu hii wako kazini.
 
Watu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!

Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,

Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!

Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!

Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao

Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!

Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!

Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Huez piga vita ufisadi wakat naww ni mshirika wa mfumo wa mafisadi!! Mzalendo Assad alitolewa mbio na akakosa kaz kisa kuhoji pesa ambayo matumizi yake hayajulikan!! Uzalendo Nchi hii baado san!!
 
Watu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!

Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,

Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!

Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!

Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao

Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!

Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!

Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Tutumie tena fedha ya nchi kifisadi kumlinda mtu mmoja anayejipigania yeye kisiasa?! Ajiondoe kwanza kwenye chama cha kifisadi.
Kwanza kwa kupiga zake kelele ameokoa shilingi ngapi hadi sasa?! Kuna kiasi chochote cha pesa kimerudishwa Na Hao mafisadi baada ya kelele zake?
 
Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Mnafiki tu huyo kama Bashe huwa wanapiga kelele wakikosoa uwaziri. Ila wakiupata tu utasikia katiba ibadilishwe Rais Samia atawale milele!!. Huyo Mpina kipindi wapinzani wanadai katiba mpya aliwatolea maneno ya kejeli Leo hii kakosa uwaziri ndio ametambua katiba mpya ni muhimu??

Kipindi JPM alimsifia ni mzalendo na katuokoa eneo la madini Cha kuchekesha JPM kaondoka eti ndio anapiga makelele kwanini tulisamehe trillion 300+ za Makinikia. Yaani unafiki tu umemjaa mie sijawahi mkubali kabisa.

Cha ajabu Kuna wapinzani wanamuona mwenzao wamesahau ya Polepole na Kabudi mara hii!! Ajabu sana.
 
Una ushahidi wa hizo tuhuma?
Hivi ni kwa nini akitokea mtu akianika madudu, basi na yeye anaanza kushambuliwa?
Sababu ya unafiki watu wamechoka na unafiki. Yaani akiwa waziri hakuwahi sema katiba mpya ni muhimu ila Leo ndio analilia katiba bungeni. Akiwa waziri hakuwahi sema tusisamehe trillion za Makinikia ila eti Leo Hana uwaziri ndio anatoa povu kwanini serikali imesamehe trillion 300+. Inatakiwa mtu asie mnafiki ndio akosoe serikali.
 
Gazeti la mwananchi lilishaandika makala juu yako wewe Luhanga Mpina mbona hujakanusha mpaka Leo kuhusu hizo ekari ulizopora Morogoro Katika kijiji cha dala

Mwezi February mwaka 2021 tarehe 24 taarifa zako zilimfikia Katibu mkuu wa wakati huo Dkt Bashiru na kuchapwa kwenye gazeti la mwananchi tarehe hiyo

Luhaga Mpina anza kutoa boriti kwenye jicho lako kwanza halafu njoo Utoe vibanzi kwenye macho ya wenzako

Uchafu uliofanya ukiwa Waziri wa mifugo unajulikana, Wewe na Rushwa ni Pete na chanda,

Zakayo kwenye biblia alikuwa mtoza ushuru na mtu tajiri wa kupitiliza, Alipoamua kubadilika na kuigeukia injili aliomba msamaha na kuwarudishia wadeni wake wote, Zakayo kwa wale aliowatoza kwa makusudi aliwarudishia mara mbili na wale wote aliowadhulumu Mali zao aliwalipa mara mbili

Luhanga Mpina wakati wa JPM wananchi wa Morogoro uliwapora ekari zaidi ya elfu moja na mpaka sasa Wanalalamika kuhusu maeneo yao

Luhanga Mpina ulichukua rushwa kwa wavuvi wakubwa ambao walipindisha sheria na kuendelea kuvua kwa nyavu zisizo na viwango kama za wavuvi wadogo lakini kwa wavuvi wadogo uliwachomea nyavu zao

Malalamiko ya wavuvi wadogo yalipelekwa mpaka kwa bosi wako kuwa unawachomea wao nyavu wakati wavuvi wakubwa unapokea rushwa na wanaendelea kuvua

Kama kweli wewe ni mzalendo rudisha hizo ekari zaidi ya elfu moja Mkoa wa Morogoro, Pia rudisha pesa zote ulizochukua kwa wavuvi wakubwa baada ya hapo nami nitaunga kambi yako ya mapambano

Tuache unafiki na tuweke siasa pembeni Luhaga Mpina ni moja ya watu walioogopwa enzi za utawala wa awamu ya tano kwa kuwa karibu na Mwenyekiti wa ccm Taifa

Kama Leo ameanzisha mapambano awarudishe watu wa Morogoro ekari alizojitwalia kinguvu nasi tumuunge mkono

Tutakuwa ni nchi ya ajabu mtu aina ya Sabaya au Makonda akajitokeza kwenye mapambano ya haki za binadamu huku wao wakiwa binafsi hawajawaomba msamaha waathirika kwa mambo waliyowatendea.
Kwa hisani ya seedfarm
 
Gazeti la mwananchi lilishaandika makala juu yako wewe Luhanga Mpina mbona hujakanusha mpaka Leo kuhusu hizo ekari ulizopora Morogoro Katika kijiji cha dala

Mwezi February mwaka 2021 tarehe 24 taarifa zako zilimfikia Katibu mkuu wa wakati huo Dkt Bashiru na kuchapwa kwenye gazeti la mwananchi tarehe hiyo

Luhaga Mpina anza kutoa boriti kwenye jicho lako kwanza halafu njoo Utoe vibanzi kwenye macho ya wenzako

Uchafu uliofanya ukiwa Waziri wa mifugo unajulikana, Wewe na Rushwa ni Pete na chanda,

Zakayo kwenye biblia alikuwa mtoza ushuru na mtu tajiri wa kupitiliza, Alipoamua kubadilika na kuigeukia injili aliomba msamaha na kuwarudishia wadeni wake wote, Zakayo kwa wale aliowatoza kwa makusudi aliwarudishia mara mbili na wale wote aliowadhulumu Mali zao aliwalipa mara mbili

Luhanga Mpina wakati wa JPM wananchi wa Morogoro uliwapora ekari zaidi ya elfu moja na mpaka sasa Wanalalamika kuhusu maeneo yao

Luhanga Mpina ulichukua rushwa kwa wavuvi wakubwa ambao walipindisha sheria na kuendelea kuvua kwa nyavu zisizo na viwango kama za wavuvi wadogo lakini kwa wavuvi wadogo uliwachomea nyavu zao

Malalamiko ya wavuvi wadogo yalipelekwa mpaka kwa bosi wako kuwa unawachomea wao nyavu wakati wavuvi wakubwa unapokea rushwa na wanaendelea kuvua

Kama kweli wewe ni mzalendo rudisha hizo ekari zaidi ya elfu moja Mkoa wa Morogoro, Pia rudisha pesa zote ulizochukua kwa wavuvi wakubwa baada ya hapo nami nitaunga kambi yako ya mapambano

Tuache unafiki na tuweke siasa pembeni Luhaga Mpina ni moja ya watu walioogopwa enzi za utawala wa awamu ya tano kwa kuwa karibu na Mwenyekiti wa ccm Taifa

Kama Leo ameanzisha mapambano awarudishe watu wa Morogoro ekari alizojitwalia kinguvu nasi tumuunge mkono

Tutakuwa ni nchi ya ajabu mtu aina ya Sabaya au Makonda akajitokeza kwenye mapambano ya haki za binadamu huku wao wakiwa binafsi hawajawaomba msamaha waathirika kwa mambo waliyowatendea.
Kwa hisani ya seedfarm
Waliotajwa na wao mbona wako kimya kuhusu hilo?

Lakini ni kwa nini wewe uone kawaida kwa uwizi uliotajwa kisa mtaja ana makandokando?
 
Waliotajwa na wao mbona wako kimya kuhusu hilo?

Lakini ni kwa nini wewe uone kawaida kwa uwizi uliotajwa kisa mtaja ana makandokando?
CAG hakumtaja mtu jina yeye kabainisha maeneo yenye upotevu kazi ya kumtafuta muhusika ni ya vyombo vingine na kuchukua hatua stahiki,Rais mwenyewe na vyombo vyake wapo kazini na imani yangu hatua stahiki zitachukuliwa kwa kila aliyehusika sio kama yule marehemu wenu ambaye aliamua kumtimua CAG baada ya kuona amegusa maslahi yake.
Kwahiyo Mpina apunguze mihemko mama hana mpango naye kabisa asubiri 2025 akapambanie ubunge wake.
 
Tuutathimini kwanza uwazari wake alifanya nini aliaacha legacy gani? Wabongo ni wingi wa fitina Sana, unaweza ona yote hayo ana chuki na mtu
Nimeona
mkuu wa wilaya mwngine anaambiwa hasalimii watu[emoji1787][emoji1787]
Unajua tofauti ya waziri na Mbunge kazi zao?
Acheni Luhaga afanye kazi yake ubunge inavyotakikana,wewe bure kabisa!
 
Unajua tofauti ya waziri na Mbunge kazi zao?
Acheni Luhaga afanye kazi yake ubunge inavyotakikana,wewe bure kabisa!
Mbona alikuwa waziri au na ww hujui... Mara ya mwsho nlimwona anachoma nyavu za wavuvi
 
Back
Top Bottom