Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Wasalama ndiyo haohao wanaoangamizaNi kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasalama ndiyo haohao wanaoangamizaNi kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!
ekar 1000x200000=tsh.200,000,000/= ,ni halali yake kumiliki maana hata mtu wa kawaida anaweza kununua kwa mil.hizoHek 1000 wapi umesikia haruhusiwi kumiliki? Tunanza kwa hesabu
Mshahara wake wa ubunge
Kazi zake nje ya ubunge
Je hek 1000 hawezi?
ekari zenye thamani ya mil.200 NI kawaida Sana .Gazeti la mwananchi lilishaandika makala juu yako wewe Luhanga Mpina mbona hujakanusha mpaka Leo kuhusu hizo ekari ulizopora Morogoro Katika kijiji cha dala
Mwezi February mwaka 2021 tarehe 24 taarifa zako zilimfikia Katibu mkuu wa wakati huo Dkt Bashiru na kuchapwa kwenye gazeti la mwananchi tarehe hiyo
Luhaga Mpina anza kutoa boriti kwenye jicho lako kwanza halafu njoo Utoe vibanzi kwenye macho ya wenzako
Uchafu uliofanya ukiwa Waziri wa mifugo unajulikana, Wewe na Rushwa ni Pete na chanda,
Zakayo kwenye biblia alikuwa mtoza ushuru na mtu tajiri wa kupitiliza, Alipoamua kubadilika na kuigeukia injili aliomba msamaha na kuwarudishia wadeni wake wote, Zakayo kwa wale aliowatoza kwa makusudi aliwarudishia mara mbili na wale wote aliowadhulumu Mali zao aliwalipa mara mbili
Luhanga Mpina wakati wa JPM wananchi wa Morogoro uliwapora ekari zaidi ya elfu moja na mpaka sasa Wanalalamika kuhusu maeneo yao
Luhanga Mpina ulichukua rushwa kwa wavuvi wakubwa ambao walipindisha sheria na kuendelea kuvua kwa nyavu zisizo na viwango kama za wavuvi wadogo lakini kwa wavuvi wadogo uliwachomea nyavu zao
Malalamiko ya wavuvi wadogo yalipelekwa mpaka kwa bosi wako kuwa unawachomea wao nyavu wakati wavuvi wakubwa unapokea rushwa na wanaendelea kuvua
Kama kweli wewe ni mzalendo rudisha hizo ekari zaidi ya elfu moja Mkoa wa Morogoro, Pia rudisha pesa zote ulizochukua kwa wavuvi wakubwa baada ya hapo nami nitaunga kambi yako ya mapambano
Tuache unafiki na tuweke siasa pembeni Luhaga Mpina ni moja ya watu walioogopwa enzi za utawala wa awamu ya tano kwa kuwa karibu na Mwenyekiti wa ccm Taifa
Kama Leo ameanzisha mapambano awarudishe watu wa Morogoro ekari alizojitwalia kinguvu nasi tumuunge mkono
Tutakuwa ni nchi ya ajabu mtu aina ya Sabaya au Makonda akajitokeza kwenye mapambano ya haki za binadamu huku wao wakiwa binafsi hawajawaomba msamaha waathirika kwa mambo waliyowatendea.
Kwa hisani ya seedfarm
Jizi ni jizi tuekari zenye thamani ya mil.200 NI kawaida Sana .
Ungekuwa una akili timamu usingedanganywa na mwehu!Tokea kipindi hiko bado hujawa timamu, milembe bado inakuhusu
Aliyedanganywa ni wewe! Kwa sababu hata unachodhani unamwambia, hawezi kukusikia, zaidi sana unajionyesha tu huna akili na inabidi uzoee, kama fagio lake lilikupitia, huna namna,Ungekuwa una akili timamu usingedanganywa na mwehu!
Wewe hutatawala na ukoo wako na kabila lako hadi mwisho wa maisha yako!! Mbwa mkubwa!!Hatutarudia tena kutawaliwa na mshamba wa aina ya dhalimu.
Ni dhahiri kutokana na andiko hili, wewe ni mshiriki muhimu katika maovu yanayolikumba taifa hili kwasasa.Gazeti la mwananchi lilishaandika makala juu yako wewe Luhanga Mpina mbona hujakanusha mpaka Leo kuhusu hizo ekari ulizopora Morogoro Katika kijiji cha dala
Mwezi February mwaka 2021 tarehe 24 taarifa zako zilimfikia Katibu mkuu wa wakati huo Dkt Bashiru na kuchapwa kwenye gazeti la mwananchi tarehe hiyo
Luhaga Mpina anza kutoa boriti kwenye jicho lako kwanza halafu njoo Utoe vibanzi kwenye macho ya wenzako
Uchafu uliofanya ukiwa Waziri wa mifugo unajulikana, Wewe na Rushwa ni Pete na chanda,
Zakayo kwenye biblia alikuwa mtoza ushuru na mtu tajiri wa kupitiliza, Alipoamua kubadilika na kuigeukia injili aliomba msamaha na kuwarudishia wadeni wake wote, Zakayo kwa wale aliowatoza kwa makusudi aliwarudishia mara mbili na wale wote aliowadhulumu Mali zao aliwalipa mara mbili
Luhanga Mpina wakati wa JPM wananchi wa Morogoro uliwapora ekari zaidi ya elfu moja na mpaka sasa Wanalalamika kuhusu maeneo yao
Luhanga Mpina ulichukua rushwa kwa wavuvi wakubwa ambao walipindisha sheria na kuendelea kuvua kwa nyavu zisizo na viwango kama za wavuvi wadogo lakini kwa wavuvi wadogo uliwachomea nyavu zao
Malalamiko ya wavuvi wadogo yalipelekwa mpaka kwa bosi wako kuwa unawachomea wao nyavu wakati wavuvi wakubwa unapokea rushwa na wanaendelea kuvua
Kama kweli wewe ni mzalendo rudisha hizo ekari zaidi ya elfu moja Mkoa wa Morogoro, Pia rudisha pesa zote ulizochukua kwa wavuvi wakubwa baada ya hapo nami nitaunga kambi yako ya mapambano
Tuache unafiki na tuweke siasa pembeni Luhaga Mpina ni moja ya watu walioogopwa enzi za utawala wa awamu ya tano kwa kuwa karibu na Mwenyekiti wa ccm Taifa
Kama Leo ameanzisha mapambano awarudishe watu wa Morogoro ekari alizojitwalia kinguvu nasi tumuunge mkono
Tutakuwa ni nchi ya ajabu mtu aina ya Sabaya au Makonda akajitokeza kwenye mapambano ya haki za binadamu huku wao wakiwa binafsi hawajawaomba msamaha waathirika kwa mambo waliyowatendea. .
Ni jambo zuriWatu waliojiapiza maisha yao, kufa au kupona, kuuwa ama kuuwawa, ni mafisadi!
Ikiwa kweli mnamaanisha kupambana na watu hao hatari, anapotokea mtu mmoja kujitoa mhanga kuwataja hadharani watu hatari kama how, Sisi ambao tuko nyuma ya vita hiyo, jambo moja tu tunapaswa kufanya,
Ni kumuunga mkono mtu huyo na kuhakikisha maisha yake yako salama!
Mpina awekewe ulinzi, la sivyo tutakuwa tumekubali kwamba, pesa zinazokuwa zikiibwa na mafisadi, kwa upande mmoja na sisi tu wamoja wao!
Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao
Lakini kwa upande mwingine, anahatarisha mno maisha yake!
Kundi la mafisadi ni watu wenye umoja na wako tayari kufanya chochote juu ya mtu yeyote!
Watu kama Mpina, kwa mfumo wetu ulivyo mbovu, hapaswi kuteuliwa kuwa waziri, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Sasa hapo kuna lipi la kushangaza mkuu 'zitto junior'?Sababu ya unafiki watu wamechoka na unafiki. Yaani akiwa waziri hakuwahi sema katiba mpya ni muhimu ila Leo ndio analilia katiba bungeni. Akiwa waziri hakuwahi sema tusisamehe trillion za Makinikia ila eti Leo Hana uwaziri ndio anatoa povu kwanini serikali imesamehe trillion 300+. Inatakiwa mtu asie mnafiki ndio akosoe serikali.
Hapana nachosema ni kwamba huyo shida sio kupambana na ufisadi Bali anataka uwaziri akishaupata atakana maneno yake yote.Kwa hiyo maana yako ni kwamba, kwa vile sasa hana uwaziri, basi hatakiwi kufanya kazi kama mbunge? Anyamaze tu!
Asiwaharibie ambao ni mawaziri sasa hivi?
Kuna kulala huko! Anakula mijeledi kwa kwenda mbele.Aliyedanganywa ni wewe! Kwa sababu hata unachodhani unamwambia, hawezi kukusikia, zaidi sana unajionyesha tu huna akili na inabidi uzoee, kama fagio lake lilikupitia, huna namna,
Wewe kazana kubweka sasa utadhani unamkomoa aliyelala
Unafiki wa watu wasio na Nia ya dhati kupambana na ufisadi. Huo mkataba wa SGR ulisainiwa tokea JPM akiwa Rais mbona hakupiga kelele? Kasubiri kafariki ndio anadai Kuna ufisadi? Hawa ni wanafiki tu, sitowahi amini mwana CCM anaweza pigania haki ya maskini. Subiri apate uwaziri nitarudi humu kufukua nyuzi zenu.Wewe unachopinga hapa ni unafiki au unatetea 1.7t kupigwa? Maana hueleweki!
Na bado, tutapigwa mpaka tulie meee kama mbuzi. Nyie mlianza kumsifia mapema mkituambia anaupiga mwingi, sasa ngoja tupigwe mwingi na hao waporaji.Chini ya huyu Mama uporaji umetamalaki halafu tunaopigwa ni sisi tunaokatwa tozo na kodi.
CCM ni wapigaji dawa ni tuwaondoe.Na bado, tutapigwa mpaka tulie meee kama mbuzi. Nyie mlianza kumsifia mapema mkituambia anaupiga mwingi, sasa ngoja tupigwe mwingi na hao waporaji.
Tanzania ina watu wa hovyo sana kuna wale walamba asali huwa wanajitoa ufaham kidogo kisa hoja imeletwa na na mtu wasiempemdaNi haki yako kulifikisha sehemu husika, ila kwa sasa yeye anaweka wazi uozo hadharani!
Toka ukalisemee mkuu
Huo wiz ni kwa mujibu wa CAG na sio hoja binafsi ya mpinaTuutathimini kwanza uwazari wake alifanya nini aliaacha legacy gani? Wabongo ni wingi wa fitina Sana, unaweza ona yote hayo ana chuki na mtu
Nimeona
mkuu wa wilaya mwngine anaambiwa hasalimii watu[emoji1787][emoji1787]