Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Nadhan umeelewa concept yang, kama hujaelewa basi tena!!Kama ni mzalendo si mmrudishe nyie si ndo kila kitu mmeshika dolla kama mna mmic sana si mumteue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhan umeelewa concept yang, kama hujaelewa basi tena!!Kama ni mzalendo si mmrudishe nyie si ndo kila kitu mmeshika dolla kama mna mmic sana si mumteue
Kwakuwa hawagusiki na mtawala uenda kuna maslahi mapana juu Yao, hapo ngoja wafanye walio mbali na mtawala kama wale DEDs' waliofikishwa Takukuru na kuvuliwa nyazifa zao, Shida tupu nchi hii.Kwa nini unafikiri hivyo mkuu
Wakiongezeka na waliomo kwenye ripoti ya CAG itakua poa sana !! The guilties are always afraid 😱 !!Mpina,mtoto wa dada,biswalo,bashiru,makonda,sabaya,mnyeti na ................
Una maana ndege wafananao huruka pamoja ??!Kwakuwa hawagusiki na mtawala uenda kuna maslahi mapana juu Yao, hapo ngoja wafanye walio mbali na mtawala kama wale DEDs' waliofikishwa Takukuru na kuvuliwa nyazifa zao, Shida tupu nchi hii.
Nakuunga mkono, ila 2025 hawezi kuteuliwa kugombea tena ubunge kupitia CCM, labda Chadema.Mpina awekewe ulinzi,
Mpina anasaidia sana kubainisha kwa uwazi bila kuogopa kuwataja mafisadi hao
Watu kama Mpina, anapaswa awe na nafasi hii hii aliyopo ili kuwakaanga mafisadi, maana akiwa upande wa serikali, hawezi kuchangia wala kuibua uozo wowote wa serikali kwa sababu yeye anakuwa mtetezi wa serikali
Tatizo sio thamani ya ile ardhi bali ni ardhi kubwa kama ile kuhodhiwa na mtu mmoja huku watu wengi pande ile husika wakiwa hawana ardhi ya kumiliki kwa kulima na kuishi !! Huo unakuwa ni Ubwanyenye 😱 !ekari zenye thamani ya mil.200 NI kawaida Sana .
There are only two office rules :- rule number 1 - The Boss is always right, rule number 2 - when he is wrong follow rule number ONE ☝️ 💪 !Mama naye inabidi akamatwe na kuhojiwa kwanini awachukulii hatua mafisadi?
Kuwekewa ulinzi maana yake ni pamoja na kutokuenguliwa na chama chake katika kinyang’anyiro cha kuwania ubunge kwenye Chama chake 😅 !Nakuunga mkono, ila 2025 hawezi kuteuliwa kugombea tena ubunge kupitia CCM, labda Chadema.
Hoja kama hii ya kumuombea mtu ulinzi, niliwahi kumuombea mtu huyu ulinzi Escrow: Tumuombee J. Rugemalila alindwe kwa nguvu na uweza wa Roho Mtakatifu!, Wema wake usimponze! hata hivyo haikusaidia kitu!, aliswekwa lupango, hadi Mungu alipoingilia kati ndipo Mama Akamwachia!.
p
Lakini ni lazima atokee mtu wa kusema ukweli vinginevyo we are finished !Vita aliyoianzisha huyu chief ni ngumu mno kwake, wote mnaijua CCM ilivyo wala sitaki kusema mengi.
Nikiwa mshamba, wewe inakupunguzia nini sasa?We mshamba hata ripot ya CAG Hujui maana yake? Unataka watu wawajibishwe kabla ya kujibu hoja za mkaguzi? Mnawaita watu majina mabaya kwa kuhisi tu? Subirin wajibu hoJ ndo hatua zichukuliwe. Inauma sana hata kodi unalipa wewe
Ni haki yako kulifikisha sehemu husika, ila kwa sasa yeye anaweka wazi uozo hadharani!
Toka ukalisemee mkuu
CHADEMA+Sawa. Ebu tupe alternative
Kwanini mnasubiri arudishe, si mkazichukue.Zile ekari 1000 za ardhi alizopora kule Morogoro ameshazirudisha?
Kwahiyo ukiwa na Ekari 1000 huruhusiwi kukemea wizi wa mabilioni!!?Gazeti la mwananchi lilishaandika makala juu yako wewe Luhanga Mpina mbona hujakanusha mpaka Leo kuhusu hizo ekari ulizopora Morogoro Katika kijiji cha dala
Mwezi February mwaka 2021 tarehe 24 taarifa zako zilimfikia Katibu mkuu wa wakati huo Dkt Bashiru na kuchapwa kwenye gazeti la mwananchi tarehe hiyo
Luhaga Mpina anza kutoa boriti kwenye jicho lako kwanza halafu njoo Utoe vibanzi kwenye macho ya wenzako
Uchafu uliofanya ukiwa Waziri wa mifugo unajulikana, Wewe na Rushwa ni Pete na chanda,
Zakayo kwenye biblia alikuwa mtoza ushuru na mtu tajiri wa kupitiliza, Alipoamua kubadilika na kuigeukia injili aliomba msamaha na kuwarudishia wadeni wake wote, Zakayo kwa wale aliowatoza kwa makusudi aliwarudishia mara mbili na wale wote aliowadhulumu Mali zao aliwalipa mara mbili
Luhanga Mpina wakati wa JPM wananchi wa Morogoro uliwapora ekari zaidi ya elfu moja na mpaka sasa Wanalalamika kuhusu maeneo yao
Luhanga Mpina ulichukua rushwa kwa wavuvi wakubwa ambao walipindisha sheria na kuendelea kuvua kwa nyavu zisizo na viwango kama za wavuvi wadogo lakini kwa wavuvi wadogo uliwachomea nyavu zao
Malalamiko ya wavuvi wadogo yalipelekwa mpaka kwa bosi wako kuwa unawachomea wao nyavu wakati wavuvi wakubwa unapokea rushwa na wanaendelea kuvua
Kama kweli wewe ni mzalendo rudisha hizo ekari zaidi ya elfu moja Mkoa wa Morogoro, Pia rudisha pesa zote ulizochukua kwa wavuvi wakubwa baada ya hapo nami nitaunga kambi yako ya mapambano
Tuache unafiki na tuweke siasa pembeni Luhaga Mpina ni moja ya watu walioogopwa enzi za utawala wa awamu ya tano kwa kuwa karibu na Mwenyekiti wa ccm Taifa
Kama Leo ameanzisha mapambano awarudishe watu wa Morogoro ekari alizojitwalia kinguvu nasi tumuunge mkono
Tutakuwa ni nchi ya ajabu mtu aina ya Sabaya au Makonda akajitokeza kwenye mapambano ya haki za binadamu huku wao wakiwa binafsi hawajawaomba msamaha waathirika kwa mambo waliyowatendea.
Kwa hisani ya seedfarm
Bila shaka .Una maana ndege wafananao huruka pamoja ??!
Ni vizuri ukazikabili na kuzijajili hoja zake. Toka lini kusema ukweli juu ya uozo wa awamu hii ikawa sawa na kuidhalilisha serikali? Fikiri tena!uozo wa mke wake? Mpuuuzi tu yule, mkuda, mnafki amejaa husda. kwa akili yake anajaribu kuidhalilisha serikali ya mama hatafanikiwa mshamba yule
Mwizi anaweza kukemea wizi!Kwahiyo ukiwa na Ekari 1000 huruhusiwi kukemea wizi wa mabilioni!!?
Bana makario, ripoti ya CAG inakwenda kujadiliwa bungeni