Ujinga ni MZIGO MKUBWA sana .Sasa shida Iko wapi? Amewaelezea kwamba na Uchumi umepata?
Kwani amewaambia kuna shida gani ,mbona Kuna Hawa wenye madeni makubwa umeona ni maskini? ππView attachment 3217925
πππNchi imeingiliwa kinyume na maumbile.
Kumbe Waziri wa fedha anachukua mikopo kwa Siri?! Waziri wa fedha ni Nani??Duuhhh duuhh Mpina anaibua madudu mazito mazito
Wenye akiliIpo siku nchi itapigwa mnanda in ndungai voice
Kubwa jinga wewe... rainbow wewe inaonekana.Ujinga gani? Narudia kukuuliza amewaeleza kwamba na Uchumi umepaa?
Pili kwani kuna shida gani Nchi ikiwa na Madeni?
Kwani si bado mnampa mi 5 Tena, subiri tu usiwe na mashaka, litagonga mpk 150 trail.Hivi ela za kununua magoli na zile 700ml za taifa stars zinatokaga wapi,? any way si wamilizie izo 4 ili iwe 100 wagawane vizuri keki ya taifa
Bila kumsahau mastermind Mzee wa msoga!Ndiyo maana tungekuwa taifa la watu wanaojitambua huyu mama hakupaswa kupigiwa chapuo la kurudi ikulu hata hao Ccm wamefanya upumbavu wa kiwango cha juu sana kumpitisha kwa mbaembwe.
Na akiwa rais awamu inayokuja tujue deni litapaa zaidi kwasababu hatakuwa na hofu ya kuupoteza urais maana ni ngwe yake ya mwisho. Jeshi na usalama wa taifa sijui wanalitakia nini hili taifa aise dah!!
Yetu sisi yako wapi?Kuna shida gani ukikopa hizo hela? Mbona huulizi matumizi ya mikopo?
Nchi zote Zenye maendeleo Zina madeni makubwa sana
Pili pikipiko na Mali zingine za chama zimenunuliwa Kwa hela za chama so Wacha propaganda za kijinga.
Samia Scholarship ni program ya bodi ya mikopo,inaonesha huelewi unachoongea.
Kuna Serikali imekusanya hela nyingi Toka uhuru kuzidi ya Samia? Na hakuna mwaka TRA imewahi kusanya chini ya asilimia 97%
Ufisadi ambao wewe unaujua na kuwajua ilitakiwa kuwaumbua na kuutaja ,kama umeshindwa manake hakuna udhibiti wa Serikali ni mkubwa.
Mbona Nchi hii ni Kati ya Nchi 10 Zenye maendeleo makubwa Afrika? Unaswmaje haijafika popote? Huoni unakuwa mjinga?View attachment 3217948
Kwamba hujui matumizi yake au unasumbuliwa na chuki? Haya hapa π πYetu sisi yako wapi?
Huna hoja ndio maana unatukana.Jibu maswali hapo Juu , vinginevyo katafute wenye akili za funza kama wewe ndio mjazane ujinga.Kubwa jinga wewe... rainbow wewe inaonekana.
Walivyo wapumbavu wanaficha nje ya nchi. Na wengine kufanya mambo ya hovyo kama kutoka na mademu na machoko.Hivi wanafanya kazi gani na hizo pesa maana hatuoni umeme ndio uho
Usikimbilie kutuletea picha ya miradi uchwara hapa!Kwamba hujui matumizi yake au unasumbuliwa na chuki? Haya hapa π π
View: https://www.instagram.com/p/DFYNGLaMfaC/?igsh=N2h4dmlsbnZxNms3
Hizi ni dalili za Baba Jeni baibai! Ngoja tusubiri wajumbe kwenye kura za maoni!!Sawa na Ongezeko la Trillion 32.4 .
"katika mwaka 2020/2021 mashauri ya malimbikizo ya kodi za makinikia yaliamuliwa katika mahakama za rufani za kodi yenye thamani ya shilingi Trilioni 5.595 na mahakama kuagiza kufanyika mazungumzo kati ya Serikali na walipa kodi ambayo ni North Mara gold mine, Pagea minerals limited, Buryanghuru gold mine, Abg exploration na kuweka utaratibu wa namna ya kulipa"
"Pia kiasi cha shilingi Trilioni 343.5 iliondolewa katika mahakama ya rufani na kurudiwa kusikiliza na TRA.Mwaka 2021 serikali ilieleza kuwa madai hayo yalifutwa kutokana na makubaliano yaliyofanyika baina ya serikali na makampuni ya madini. Hii ni kinyume cha sheria kwakuwa Waziri wa Fedha na TRA hawana mamlaka kisheria kufuta madeni ya nchi bila ridhaa ya bunge."
"Nashauri Tume ya Rais ya ya maboresho ya kodi kushinikiza madai ya malimbikizo ya kodi kwa makampuni ya madini makinikia na hatua za haraka zinapaswa kuchukuliwa."
View: https://www.youtube.com/live/rwIdf9x54HE?si=7DqEJdRObXwam_J4
View: https://www.youtube.com/live/N7-htfoVO6I?si=cKQ2XwIHyQWwd-Mr
Miradi uchwara ndii inakuaje?Usikimbilie kutuletea picha ya miradi uchwara hapa!
Hata Heche jana alisema bado tunahangaika na mambo ya vyoo vitu vya kijinga kabisa ndani ya miaka 60 ya Uhuru!
Huyo Bibi yako kakopa sana na huku ukijinadi kukusanya kodi kwa wingi lakini matokeo yake ni kiduchu sana!
Wakandarasi wa ndani bado hawalipwi pesa zao kwa wakati!
Ujenzi wa barabara unasuasua kila kona ya nchi harafu wewe kichwa nazi unakuja kutetea ujinga hapa!
Hii serkali ilofeli haiwezi kuwa na matokeo chanya kwa wananchi wake!
Wanaoficha Nchi gani na mifano ya hao ni kina nani nyie sukuma gang mbona hamuwataji mnalishana upumbavu?Walivyo wapumbavu wanaficha nje ya nchi. Na wengine kufanya mambo ya hovyo kama kutoka na mademu na machoko.
Ni upumbavu mkubwa uliopo sasa.
Mungu tu ndie atakayetuokoa
Kwani deni likipaa zaidi na Uchumi kupata zaidi Kuna shida gani? Hawa wenye madeni makubwa uchumi wao kukoje?Ndiyo maana tungekuwa taifa la watu wanaojitambua huyu mama hakupaswa kupigiwa chapuo la kurudi ikulu hata hao Ccm wamefanya upumbavu wa kiwango cha juu sana kumpitisha kwa mbaembwe.
Na akiwa rais awamu inayokuja tujue deni litapaa zaidi kwasababu hatakuwa na hofu ya kuupoteza urais maana ni ngwe yake ya mwisho. Jeshi na usalama wa taifa sijui wanalitakia nini hili taifa aise dah!!
Kama DC,RC Wana mafungu ya kusaidia jamii sembuse ofisi ya Rais?Hivi ela za kununua magoli na zile 700ml za taifa stars zinatokaga wapi,? any way si wamilizie izo 4 ili iwe 100 wagawane vizuri keki ya taifa