Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JAMBAZI LOWASA alikuwa Rais wa CHADEMA 2015Cdm haina nafasi kwa majambazi
Nchi ya wale jamaa wa serengeti.Chadema ndiyo nchi gani hapa duniani?
Unazungumzia Chadema ipi hii ya walamba asali?Luhaga Mpina ameamua kujivua gamba.
Inawezekana ni kwakuwa yupo nje ya 18 za upigaji maana alipokuwa waziri sikuwahi kumsikia akiwa na akili kiasi hiki.
Anashangaa hadi leo hii kumuona Mwigulu Nchemba na Makame Mbarawa na Kadogosa wakiwa bado mitaani badala ya kuwa nyuma ya nondo za gereza la ukonga.
Kama akili zimemrudia hivi namshauri aombe kujiunga na cdm.View attachment 2584960View attachment 2584961
Bro. Naomba leo tuwe wakweli.Akienda cdm ataungana na team yenye kupigania haki badala ya kubakia kwenye team ya mafisi
Una uhakika huyo msukuma ni mwanaume wa kweli?Ahahahahah mwanaume kulambwa tena?