Luhaga Mpina hamia CHADEMA, CCM hapakufai

Luhaga Mpina hamia CHADEMA, CCM hapakufai

Wewe Mmawia wewe! Umekuaje leo? Mpina anatumia advantage ya uwazi aliouruhusu mama kusema anayoyasema. Mangapi yalifanyika awamu iliyopita lakini akapiga kimya? Mimi namuona kama mnafiki tu anayetafuta attention baada ya kukosa uwaziri. Mwanaume ni Bashe tu aliyeweza kuichallenge serikali hata wakati wa Magufuli.
Kama utarudia kusoma kwenye bandiko vizuri nafikiri utaelewa vema.
 
Luhaga mpina anafaa kuwa rais kwa sasa ili nchi ainyooshe.Mama, wtz tunakuomba umkabidhi mpina ili tuwadhibiti wa kina mwigulu na mafisadi wengine.
 
Wamefungwa midomo
Unafatilia siasa za upinzani kweli ww??mana huwez kusema wamefungwa midomo km ni mfuatiliaji wa siasa za chadema

Get ur facts straight Mkuu,usiforwad message za vijiwe vya kahawa ukaleta humu
 
Luhaga mpina anafaa kuwa rais kwa sasa ili nchi ainyooshe.Mama, wtz tunakuomba umkabidhi mpina ili tuwadhibiti wa kina mwigulu na magisadi wengine.
Kwa sasa kwa hilo mtatusamehe kidogo maana tulifanya majaribio kidogo tu kumkabidhi nchi sukuma gang tumeona kilichotokea.
 
Unafatilia siasa za upinzani kweli ww??mana huwez kusema wamefungwa midomo km ni mfuatiliaji wa siasa za chadema

Get ur facts straight Mkuu,usiforwad message za vijiwe vya kahawa ukaleta humu
Hata mimi nieshangaa kwa hilo bandiko lake huyo ndug yetu
 
Hata mimi nieshangaa kwa hilo bandiko lake huyo ndug yetu
Sema tunaweza kukubaliana wote kuwa m/kiti karudi hatua kadhaa nyuma afu kawaweka mbele wakina Lema na Mnyika,ila kusema wapinzani wamefungwa midomo sio kweli
 
Luhaga Mpina ameamua kujivua gamba.

Inawezekana ni kwakuwa yupo nje ya 18 za upigaji maana alipokuwa waziri sikuwahi kumsikia akiwa na akili kiasi hiki.

Anashangaa hadi leo hii kumuona Mwigulu Nchemba na Makame Mbarawa na Kadogosa wakiwa bado mitaani badala ya kuwa nyuma ya nondo za gereza la ukonga.

Kama akili zimemrudia hivi namshauri aombe kujiunga na cdm.View attachment 2584960View attachment 2584961

Hizo takataka toka CCM ndio mnaziita kisha zinakuja mnazipa nafasi muhimu, hatimaye wakikosa wakitakacho wanarudi CCM. Halafu CDM inaonekana haina viongozi bali kusubiri wahuni toka CCM. Zaidi ya 80% walioenda kuunga juhudi ikiwemo Lowassa walitoka ccm. Ni kwamba huwa hamjifunzi tu na hizo okota okota toka CCM?
 
Mchawi mpe mwana akulelee abaki huko huko awafundisha watu maana ya kuwa mbunge pia waelewe kukosoa siyo lazima útoke upinzani
Jamaa kwa sasa ameamua kuwa mbunge haswaaa kwani amejitenga na akili za kina Kibajaj na Jah people
 
Unafatilia siasa za upinzani kweli ww??mana huwez kusema wamefungwa midomo km ni mfuatiliaji wa siasa za chadema

Get ur facts straight Mkuu,usiforwad message za vijiwe vya kahawa ukaleta humu
Unataka kusema kwasababu wameruhusiwa kufanya mikutano ndio hawajafungwa midomo?
My point is...hawana nguvu kumkosoa rais na serikali ndio maana wanahubiri ujinga ujinga
 
Back
Top Bottom