Luhaga Mpina hamia CHADEMA, CCM hapakufai

Kama utarudia kusoma kwenye bandiko vizuri nafikiri utaelewa vema.
 
Luhaga mpina anafaa kuwa rais kwa sasa ili nchi ainyooshe.Mama, wtz tunakuomba umkabidhi mpina ili tuwadhibiti wa kina mwigulu na mafisadi wengine.
 
Wamefungwa midomo
Unafatilia siasa za upinzani kweli ww??mana huwez kusema wamefungwa midomo km ni mfuatiliaji wa siasa za chadema

Get ur facts straight Mkuu,usiforwad message za vijiwe vya kahawa ukaleta humu
 
Luhaga mpina anafaa kuwa rais kwa sasa ili nchi ainyooshe.Mama, wtz tunakuomba umkabidhi mpina ili tuwadhibiti wa kina mwigulu na magisadi wengine.
Kwa sasa kwa hilo mtatusamehe kidogo maana tulifanya majaribio kidogo tu kumkabidhi nchi sukuma gang tumeona kilichotokea.
 
Unafatilia siasa za upinzani kweli ww??mana huwez kusema wamefungwa midomo km ni mfuatiliaji wa siasa za chadema

Get ur facts straight Mkuu,usiforwad message za vijiwe vya kahawa ukaleta humu
Hata mimi nieshangaa kwa hilo bandiko lake huyo ndug yetu
 
Hata mimi nieshangaa kwa hilo bandiko lake huyo ndug yetu
Sema tunaweza kukubaliana wote kuwa m/kiti karudi hatua kadhaa nyuma afu kawaweka mbele wakina Lema na Mnyika,ila kusema wapinzani wamefungwa midomo sio kweli
 
Sema tunaweza kukubaliana wote kuwa m/kiti karudi hatua kadhaa nyuma afu kawaweka mbele wakina Lema na Mnyika,ila kusema wapinzani wamefungwa midomo sio kweli
Hakika
 

Hizo takataka toka CCM ndio mnaziita kisha zinakuja mnazipa nafasi muhimu, hatimaye wakikosa wakitakacho wanarudi CCM. Halafu CDM inaonekana haina viongozi bali kusubiri wahuni toka CCM. Zaidi ya 80% walioenda kuunga juhudi ikiwemo Lowassa walitoka ccm. Ni kwamba huwa hamjifunzi tu na hizo okota okota toka CCM?
 
Mchawi mpe mwana akulelee abaki huko huko awafundisha watu maana ya kuwa mbunge pia waelewe kukosoa siyo lazima útoke upinzani
Jamaa kwa sasa ameamua kuwa mbunge haswaaa kwani amejitenga na akili za kina Kibajaj na Jah people
 
Unafatilia siasa za upinzani kweli ww??mana huwez kusema wamefungwa midomo km ni mfuatiliaji wa siasa za chadema

Get ur facts straight Mkuu,usiforwad message za vijiwe vya kahawa ukaleta humu
Unataka kusema kwasababu wameruhusiwa kufanya mikutano ndio hawajafungwa midomo?
My point is...hawana nguvu kumkosoa rais na serikali ndio maana wanahubiri ujinga ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…