Mmesha pata mgombea urais wa 2025 maana CHADEMA hamjawai kupata au kuwa na mgombea kutoka ndani ya CHADEMA- Mpina oyeeeLuhaga Mpina ameamua kujivua gamba.
Inawezekana ni kwakuwa yupo nje ya 18 za upigaji maana alipokuwa waziri sikuwahi kumsikia akiwa na akili kiasi hiki.
Anashangaa hadi leo hii kumuona Mwigulu Nchemba na Makame Mbarawa na Kadogosa wakiwa bado mitaani badala ya kuwa nyuma ya nondo za gereza la ukonga.
Kama akili zimemrudia hivi namshauri aombe kujiunga na cdm.View attachment 2584960View attachment 2584961
Yuko sahihi hakuna upinzani serious TanzaniaUnajua maana ya serious?
Chadema hii ya mbowe wa asali ya samia au ipi?? Asubiri tu chama kipya cha upinzani.Akienda cdm ataungana na team yenye kupigania haki badala ya kubakia kwenye team ya mafisi
Huyu kabinywa mirija, wavuvi hawatamsahau kwa ujambazi wake wakati wa maguUnafaa kubezwa na watu wote.
Mpina amenyooka na hii ndio ilitakiwa wabunge wote wawe hivi
Kwa kiboko yenu?Kaulize burigi
Huo ujinga ujinga ni km upi Mkuu,mbona hunyooshi maelezo,with reference na huo ujinga na alousema, naomba unambie?!!Unataka kusema kwasababu wameruhusiwa kufanya mikutano ndio hawajafungwa midomo?
My point is...hawana nguvu kumkosoa rais na serikali ndio maana wanahubiri ujinga ujinga
Hivi kabla ya kundika hiki ulichokiandika umejiuliza?Hivi tofauti ya CHADEMA na CCM ni nini ?
Itikadi au ni Platform tu ya kuweza kufanya Siasa zako ?
Iweje kama kuna Tofauti ya Fikra / Itikadi mtu aweze kuamia Chama hiki kwenda Kile ?
Ndiyo alambwe tu maana kila siku anasingizia wqtu kulamba asali bila hata tone la uhakika mwehu huyu sukuma Gang asiyejua anapigania nn? Ccm haitaki kwakuwa mungu wake kafa upinzani hautaki kwakuwa chadema wameridhiana na ccm yeye kwake huko ndo kulamba asali jinga huyuAhahahahah mwanaume kulambwa tena?
Badilika wewe.Haki gani mwenyekiti ana miaka 40 habadiliki!