SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mambuzi yanajikaanga kwa mafuta yaoSasa kama akienda Chadema si ndio atathibitisha ameenda kwa sababu amekosa ulaji CCM?
Mimi naona bora abaki hapo hapo, awaache hao jamaa wajikaange kwa mafuta yao wenyewe, wakionekana kumtenga tu, tutajua ni kwasababu anawaambia ukweli wasiopenda kuusikia.
Wewe ni boflo unalambwa kijambioChadema ni CCM B, wanalamba asali
Kwa sababu yeye ni [emoji304]Ahahahahah mwanaume kulambwa tena?
Na [emoji304] yoyote hufaa CCMUnajua maana ya neno mpina?
Mimi napendkeze wewe uolewe na SabayaNashauri SABAYA awe RAIS WA CHADEMA.
Nipo chadema muda huu!
Wee ng'wanidako kaa kimya wakubwa tunajadili mambo makubwaHaki gani mwenyekiti ana miaka 40 habadiliki!
Wewe ndio mchizi wangu!Hunaga akili hata ya kusingiziwa
Kazi unayo chama kinachukua ruzuku tunahitaji kujua matumizi yake!Aliyebadilika ni yule mwizi wa 1.5 trillion
Mirembe wanakutafuta!Walio changanyikiwa ni sukuma gang kuona mwenzenu ameamua kukimbilia uokovu
Mkuu mie sijasema hayoKwani yeye siyo binadamu?
Nikuulize wewe unajua hata unachokiandika ? kwa mtizamo wako wewe naomba nikuulize...Hivi kabla ya kundika hiki ulichokiandika umejiuliza?
Umerogwa na aliyekuroga kafa!Wanakutafuta wewe maana ulitoroka siku ile na kwenda kuiba madafuView attachment 2585451
Phala sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe ndio mchizi wangu!