Luhaga Mpina: Katiba iliyopo ina matobo ndio maana Viongozi kama Waziri wa Fedha wanalichezea Bunge. Viongozi wasiteuliwe bali wafanyiwe Usaili

Kweli ZERO ni SIFURI nimeamini
 

Habari hii ni mbaya mno Kwa wale chawa wenye harufu kali
 
Saa Mbovu Kuna wakati husoma Majira sahihi
 
Hujamulewa,anataka hizo nafasi ziwe zinaombwa au hata kama umesoma vizuri lazima pawepo ushindani baina ya watu kadhaa kwa njia ya usaili ili kupata mtu bora
Kwa style hii ya kujuana si atapitishwa kilaini tu na wengine mtatoswa hata kama alifeli maelezo.
 
Hapo kamsema hadi mama
 
haya ndiyo malipo ya unafiki, wakati jiwe anateua kwa kufuata ukanda, ukabila alikaa kimyaa. jiwe akakataa kuuendeleza mchakato wa katiba mpya alioukuta unaendelea huyu mnafiki hakuliona hili, leo hayupo kwenye utawala, hana favour kama tulivyokuwa wengine sasa anakumbuka shuka kumepambazuka. MCHUMA JANA HULA NA WA KWAKE. Atulie sindano imwingine
 
Alipokuwa waziri wa Jiwe aliwahi kushari haya.

Huyu mnafiki sana, TENA amepungukiwa akili.
Zumbukuku.

Hawa ndio watu Walipokuwa wanamuabudu Binadamu na si Mungu.

MASIKINI TANZANIA YANGU.
Ndiyo maana Nchi gaiendelei kwa sababu ya ujinga kama huu. Yani kiongozi aliyetoka madarakani haruhusiwi kutoa maoni juu ya nafasi aliyekuwa ameshikiria?
 
Maarifa ya kujadili hoja hayapo Kwa watanzania ni aibu sana,, Luhaga Mpina ana hoja nzito na yenye Nia njema kwa Taifa.
It's not who I am , it's not who I once was, it's not about my past deeds but it's about my points today, discuss my points first then bring other issues later
 
Vitobo viko vingi mbona!! Imagine kwenye katiba eti ikitokea Rais aliyeko madaraka kafariki basi basi makamu wa Rais atachukuwa madaraka ya rais bila kupigiwa Kura na wananchi!! Hawakuona kuwa makamu wa Rais anaweza kufanya yake au kundi fulani kufanya yake Ili awe Rais!! Waliyoandika kipengele Hiki sijui walikuwa wanafikia nini?waziri anateuliwa na si kwafanyishwa interview?yako mengi ya kutekebisha
 
Kabisa
 
Mh.dr. Mwigulu songa mbele, pigana miradi iishe kama nilivyowahi kusema kuna Vita wako wasiopenda miradi hii iishe! aidha wanaumia wakiona jinsi inavyotekelezwa kwa kasi, Mbona kwenye awamu ya tano hawakuthubutu kuhojihoji!
Mkuu maneno yako haya means unaunga mkono majibu ya Waziri Madelu ya wabunge kuacha kuhoji mambo muhimu ya uchumi bali wahoji na kujadili uganga maana ndiyo hadhi yao??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…