Luhaga Mpina: Katiba iliyopo ina matobo ndio maana Viongozi kama Waziri wa Fedha wanalichezea Bunge. Viongozi wasiteuliwe bali wafanyiwe Usaili

Mkuu maneno yako haya means unaunga mkono majibu ya Waziri Madelu ya wabunge kuacha kuhoji mambo muhimu ya uchumi bali wahoji na kujadili uganga maana ndiyo hadhi yao??????
Mwigulu ni mwanadamu anaweza kuteleza na ni kweli ameteleza, waelewa tunafahamu hilo lakini lisiwe nongwa, kwani wewe binafsi ujawahi kuchapwa maswali ukaghafirika?, tumsamehe, yapite, tumuombee mungu, apigane miradi iishe!
 
Ni kweli
 
Mpina ni kingunge wa kisukuma.. Mwigulu na uchawi wako hapo hufanyi kitu. Ukijaribu utaumia. Hongera Mpina kwa kumchana Mungu mtu Mwigulu
 
Mkuu maneno yako haya means unaunga mkono majibu ya Waziri Madelu ya wabunge kuacha kuhoji mambo muhimu ya uchumi bali wahoji na kujadili uganga maana ndiyo hadhi yao??????
No muongozo from Kiti ??!! Kumbe wajadili na kuhoji uganga ?!
 
Mpina ni kingunge wa kisukuma.. Mwigulu na uchawi wako hapo hufanyi kitu. Ukijaribu utaumia. Hongera Mpina kwa kumchana Mungu mtu Mwigulu
Mungu mtu alikuwa yule bwana aliyekuwa hashauriki na aliogopwa na ndio maana hata hao wanaororoma nyakati hawakuthubutu maana wangewezwa kupotezwa mazima
 
Kwanini usishambulie hoja yake?

Kwanini watz wengi mna udumavu wa akili kiasi hiki?
Crimea mbona waliambiwa lowassa ni fisadi na hao hao waliomwita Lowassa wakampokea kwenye chama na wakasema kwa yoyote anayesema Lowassa aende mahakamani lakini pamoja na hayo yote hao viongozi still wanasikilizwa inakuaje huyu mpina iwe nongwa?
 
Shida ni ushabiki wa vyama ndio changamoto kubwa unafikiri hawajui yote hayo
 
Haya anayaona baada ya kuporwa sahani iliyojaa keki na bakuli lililojaa asali!.

Kajiunga na waliozoeleka kuyasema haya miaka na miaka tofauti wao wanazo sababu zao zenye mashiko za kudai katiba mpya.
 
Msukuma typical anasumbuliwa na superiority complex, huwa hawajui kuwa kuna wakati inabidi ujishushe hata kama marafiki zako wanakwambia kuwa una haki zote.
 
Alipokuwa waziri wa Jiwe aliwahi kushari haya.

Huyu mnafiki sana, TENA amepungukiwa akili.
Zumbukuku.

Hawa ndio watu Walipokuwa wanamuabudu Binadamu na si Mungu.

MASIKINI TANZANIA YANGU.
Hapo ulipo ukiulizwa kuhusu katiba mpya utasema hakuna namna nilazima iwepo.

Mpina naye anasema katiba mpya inahitajika,wewe unasema amepungukiwa akili, ivi unajuwa unacho taka kweli ama unahasira za kipumbavutu.

Kuna kipindi mlikuwa mkilalamikia ufisadi na ubadhilifu wa malizauma.
Magufuli alipokuwa akipambana na mafisadi mkaanza kusema eti hana uhalali kwasababu nayeye ni ccm na ufisadi ulifanyika wakati yupo humohumo serikali.

You guys are very careless.
 
Akiwa nje ya Box ndio anaona hayo,alipokua ndani ya system aliwahi kudai hivyo?!!
Huyo ndiye aliyepima "SAMAKI KWA RULA"
Jadili hojayake,achana na hao samaki.

Sema kama hoja aliyo itoa kuhusu katiba kwamba ndio chanzo cha hayo yote ni sawa ama sio sawa.
Na je, katiba mpya inahitajika kweli kama alivyo sema ama hapana.

Kama yupo sahihi kwanye hoja ya katiba then mpongeze, usiwe na Roho ya kichawi mkuu,jifunze kuwa huru na mkweli.

Usishikiwe akili na Chiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…