Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbunge wa CCM, Luhaga Mpina amedhamiria kweli kweli, anasema anafungua kesi ila naomba nimkumbushe kesi hizi zikawe na maslahi kwa Taifa na sio political mileage yake!

Naona wakulima WA miwa waligoma ili kumuunga mkono kimtindo, moshi unaofuka huko chini ni zaidi ya volcano hai.

IMG-20240730-WA0001.jpg
 
Mbunge wa CCM, Luhaga Mpina amedhamiria kweli kweli, anasema anafungua kesi ila naomba nimkumbushe kesi hizi zikawe na maslahi kwa Taifa na sio political mileage yake!

Naona wakulima WA miwa waligoma ili kumuunga mkono kimtindo, moshi unaofuka huko chini ni zaidi ya volcano hai.

View attachment 3056498
Ingenoga sana Only if Rule of law ingekuwa inafanya kazi TZ
 
Mental case, labda iwe vinginevyo, labda iwe aina tofauti ya maombi mahakamani, lakini serikali hushtakiwa baada ya kutoa notisi ya siku 90 kwa mujibu wa Government Proceedings Act, namsikia anataja kushitaki Bunge, sijui Bodi ya Sukari, Waziri/Wizara
Luhaga Mpina anatumika tu na Super Doll kama mdoli
 
Taarifa yake hii hapa
===

“Niliahidi kwenda Mahakamani, naomba kutoa taarifa kwamba ndani ya Saa 24 nitakuwa nimeshafungua kesi zote zinazohitajika kama ifuatavyo, kesi dhidi ya kupingwa kufukuzwa Bungeni, kesi ya pili itakuwa dhidi ya Hussen Bashe, Mwigulu Nchemba, kamishna ya TRA na bodi ya Sukari” Luhaga Mpina

“Waziri wa kilimo Hussein Bashe, Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba, bodi ya Sukari na TRA, makampuni yasikuwa na viwanda vya sukari wote kwa pamoja walikula njama na kuisababishia Serikali hasara ya shilingi Trillion 1.54”

Wapo baadhi ya wananchama wa CCM wameingiwa na wasiwasi kwamba nitahama CCM, mimi ni mwanaccm sio wa kuandikishwa bali ni wa kuzaliwa ninachosimamia Bungeni ni msingi imara ya Chama cha Mapinduzi

Sitafukuzwa CCM nadhani kule CCM nitakwenda kuvikwa nishani kwa sababu haya ninayoyaongea ndio ya CCM yenyewe ili iweze kuleta maendeleo kwa watu, kukomesha dhuruma na kutekeleza ilani”


"UKIMUNG'UNYA NCHALE UKITEMA NCHALE"
Safi luhanga mpina pigana hukohuko
We ndo mwenye akili uliyebaki ccm

Ccm wakikufukuza tutaconclude hawataki wazalendo na wasema kweli
 
Zenjbar = Zenjibar?

Historia ya Zenjibar ya nini tena enzi hizi? Hiyo 'nostalgia' inayo wasumbua nyinyi kwa wengine haina maana yoyote.
Wewe kwenu wapi?

Kama ni Mtanganyika basi wewe ulipachikwa Utanganyika na bwana mkubwa wako wa Kijerumani. Kabla hajakupachika jina hilo la ajabu ulikuwa ni Mzenjbar.
 
Zao la Muwa halijawacha kuwa zao la kisiasa, duniani. Siyo Tanzania tu.

"cartel" wakishirikiana na team sukuma wanamtumia huyo poyoyo.
Acha upotoshaji we
Bashe na wenzie walikiuka taratibu za utoji wa vibali vya sukari na
Kusabisha uhaba wa sukari, huku

kwetu namanyere tulinunua sukari 10,000

Safi mpina hili issue tunasukumwa na uzalendo na uchawa mungu

Tuliowaamini ni Wacha mungu wanatetea ufisadi
 
Sijui kwanini Kila Uchaguzi Mkuu ukikaribia lazima CCM italeta drama za hivi ili kuwaruhusu members zao waende upinzani halafu baada ya Uchaguzi Mkuu, wanarudi zao tena CCM 🙌

Wapinzani wawe macho, hasa CDM

Huyu ni chambo kwenye ndoana
 
Hapo ndiyo harudi tena bungeni.
Ile Timu yenu, Timu Msoga imesambaratishwa.

Tuliwaambia kwamba mtarudi tu Kwa Timu Jiwe. Mjomba wako tajiri wa meno ya Tembo ndo hivyo Tena!!

Na Kwa taarifa yako, Bashe pia tunamla kichwa wiki HII!! Dadadeki
 
Back
Top Bottom