Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mpina amewakamata mafisadi vizuri sana, watanganyika tumeiona nia yake, japo inawezekana kabisa mahakamani akashindwa kama alivyoshindwa bungeni, kwasababu kote huko kunaongozwa na vibaraka wa Samia.
Mpina anatafuta political mileage tu, mfano alimshambulia makamba kwa kutokudai mabilion ambayo mkandarasi alipaswa kulipa kwa kuchelewesha mradi wa JNHEPP. Cha ajabu waziri kwa sasa ni Biteko ila sisikii akisemea hilo jambo tena au kuliita ufisadi.

Kwa mtu mwenye akili utaona kabisa ana political motivations tu sio uzalendo coz why ufisadi ukifanywa na Biteko anapotezea? Huyu ni mnafiki tu, natamani tu Mama ampatie uwaziri ili tuone rangi yake halisi.
 
Hapo ndiyo harudi tena bungeni.
Huyo jamaa ni fala sana, hayo yote anayoyafanya ni hasira za kunyimwa uwaziri, laiti kama angekuwa ni waziri wala asingekuwa anayafanya haya...luhaga mpina kavunja sana miguu ya wavuvi kisiwa cha Rubondo chato enzi za magufuri alipokuwa ni waziri wa mifugo Na uvuvi
 
Mpina anatafuta political mileage tu, mfano alimshambulia makamba kwa kutokudai mabilion ambayo mkandarasi alipaswa kulipa kwa kuchelewesha mradi wa JNHEPP. Cha ajabu waziri kwa sasa ni Biteko ila sisikii akisemea hilo jambo tena au kuliita ufisadi.

Kwa mtu mwenye akili utaona kabisa ana political motivations tu sio uzalendo coz why ufisadi ukifanywa na Biteko anapotezea? Huyu ni mnafiki tu, natamani tu Mama ampatie uwaziri ili tuone rangi yake halisi.
Umepiga mulemule
Mpina anatafuta political mileage tu, mfano alimshambulia makamba kwa kutokudai mabilion ambayo mkandarasi alipaswa kulipa kwa kuchelewesha mradi wa JNHEPP. Cha ajabu waziri kwa sasa ni Biteko ila sisikii akisemea hilo jambo tena au kuliita ufisadi.

Kwa mtu mwenye akili utaona kabisa ana political motivations tu sio uzalendo coz why ufisadi ukifanywa na Biteko anapotezea? Huyu ni mnafiki tu, natamani tu Mama ampatie uwaziri ili tuone rangi yake halisi.
 
Huyo jamaa ni fala sana, hayo yote anayoyafanya ni hasira za kunyimwa uwaziri, laiti kama angekuwa ni waziri wala asingekuwa anayafanya haya...luhaga mpina kavunja sana miguu ya wavuvi kisiwa cha Rubondo chato enzi za magufuri alipokuwa ni waziri wa mifugo Na uvuvi
Lakini pamoja na hayo yote tunamshukuru kwa kutufumbua macho, hata saa mbovu kuna wakati inakua sawa
 
Ahamie ACT Wazalendo, mahali penye ukweli na uwazi, CCM hawamtaki tena, na inaonekana 2025 atakatwa kwenye kura za maoni ubunge CCM !
Atakatwa kama nchimbi atakua bado katibu mkuu wa ccm. Huyu naye lazima ajiuzulu kuondoa porojo tupu huku akipinga viongozi wenye kutatua kero za wananchi.
 
Taarifa yake hii hapa
===

“Niliahidi kwenda Mahakamani, naomba kutoa taarifa kwamba ndani ya Saa 24 nitakuwa nimeshafungua kesi zote zinazohitajika kama ifuatavyo, kesi dhidi ya kupingwa kufukuzwa Bungeni, kesi ya pili itakuwa dhidi ya Hussen Bashe, Mwigulu Nchemba, kamishna ya TRA na bodi ya Sukari” Luhaga Mpina

“Waziri wa kilimo Hussein Bashe, Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba, bodi ya Sukari na TRA, makampuni yasikuwa na viwanda vya sukari wote kwa pamoja walikula njama na kuisababishia Serikali hasara ya shilingi Trillion 1.54”

Wapo baadhi ya wananchama wa CCM wameingiwa na wasiwasi kwamba nitahama CCM, mimi ni mwanaccm sio wa kuandikishwa bali ni wa kuzaliwa ninachosimamia Bungeni ni msingi imara ya Chama cha Mapinduzi

Sitafukuzwa CCM nadhani kule CCM nitakwenda kuvikwa nishani kwa sababu haya ninayoyaongea ndio ya CCM yenyewe ili iweze kuleta maendeleo kwa watu, kukomesha dhuruma na kutekeleza ilani”


"UKIMUNG'UNYA NCHALE UKITEMA NCHALE"
Safi sana Mbunge Luhaga Mpina.

Hakika wewe ndiyo unatekeleza Kwa vitendo ahadi za mwanaccm.

Nitasema kweli daima, uongo kwangu mwiko
 
Mawazo ya hofu isiyo na maana yoyote, siasa siku zote huendeshwa na watu sio mawe, hivyo lazima iwe complex bila kujali wakati.

Mpina juzi amegombea ujumbe wa NEC wakamtosa, kama angekuwa ni mtu wao wasingemkataa.
Ilisemwa hivyo enzi za Ujio wa Lazaro Nyarandu, Edo Lowassa, Fredrick Sumaye n.k

System inachezea upinzani Kila Mwaka wa Uchaguzi
 
Zao la Muwa halijawacha kuwa zao la kisiasa, duniani. Siyo Tanzania tu.

"cartel" wakishirikiana na team sukuma wanamtumia huyo poyoyo.

Tusubiri sheria itasemaje jamani.
Isije ikawa kama IPTL ESCROW si za serikali [emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433] alafu ni za serikali [emoji1433][emoji1433][emoji1433][emoji1433]
 
Taarifa yake hii hapa
===

“Niliahidi kwenda Mahakamani, naomba kutoa taarifa kwamba ndani ya Saa 24 nitakuwa nimeshafungua kesi zote zinazohitajika kama ifuatavyo, kesi dhidi ya kupingwa kufukuzwa Bungeni, kesi ya pili itakuwa dhidi ya Hussen Bashe, Mwigulu Nchemba, kamishna ya TRA na bodi ya Sukari” Luhaga Mpina

“Waziri wa kilimo Hussein Bashe, Waziri wa Fedha Dk. Mwigulu Nchemba, bodi ya Sukari na TRA, makampuni yasikuwa na viwanda vya sukari wote kwa pamoja walikula njama na kuisababishia Serikali hasara ya shilingi Trillion 1.54”

Wapo baadhi ya wananchama wa CCM wameingiwa na wasiwasi kwamba nitahama CCM, mimi ni mwanaccm sio wa kuandikishwa bali ni wa kuzaliwa ninachosimamia Bungeni ni msingi imara ya Chama cha Mapinduzi

Sitafukuzwa CCM nadhani kule CCM nitakwenda kuvikwa nishani kwa sababu haya ninayoyaongea ndio ya CCM yenyewe ili iweze kuleta maendeleo kwa watu, kukomesha dhuluma na kutekeleza ilani”


"UKIMUNG'UNYA NCHALE UKITEMA NCHALE"
Mi ningekuwa rais ningemuua mpina ili asitupotezee muda. Wengine tuko busy na maendeleo kwa kufanya kazi yeye anaendekezq ufisadi wa wanaomtuma. Ukiwa vitani na askari mmoja akaasi shoot risasi tu mana haiwezekana watu wengi wafu kwa sababu ya ka mtu kamoja..............jpm voice. Baada ya hapo lisu akala mvua za lisasi
 
Kinana na Ndugai wangekuwa kama Mpina hii nchi ingekuwa mbali 🤣 🤣

Duniani kuna Watu wabishi wa hoja...
 
Mpina anatafuta political mileage tu, mfano alimshambulia makamba kwa kutokudai mabilion ambayo mkandarasi alipaswa kulipa kwa kuchelewesha mradi wa JNHEPP. Cha ajabu waziri kwa sasa ni Biteko ila sisikii akisemea hilo jambo tena au kuliita ufisadi.

Kwa mtu mwenye akili utaona kabisa ana political motivations tu sio uzalendo coz why ufisadi ukifanywa na Biteko anapotezea? Huyu ni mnafiki tu, natamani tu Mama ampatie uwaziri ili tuone rangi yake halisi.
Where is Makamba now??
 
Mi ningekuwa rais ningemuua mpina ili asitupotezee muda. Wengine tuko busy na maendeleo kwa kufanya kazi yeye anaendekezq ufisadi wa wanaomtuma. Ukiwa vitani na askari mmoja akaasi shoot risasi tu mana haiwezekana watu wengi wafu kwa sababu ya ka mtu kamoja..............jpm voice. Baada ya hapo lisu akala mvua za lisasi
jaribu uone
unadhani ni rahisi sio?
wewe wanaomtuma Mpina unawajua?
 
Where is Makamba now??
Makamba sio waziri, kwa sasa ni Biteko na hadi tunaongea leo bado pesa za Kuchelewesha mradi hatujalipwa je Mpina kwanini hamuiti Biteko ni fisadi? Yaani mpaka leo analalamika kuhusu wizara ya nishati ila hamtaji Biteko bali makamba.
 
Back
Top Bottom