Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Pre GE2025 Luhaga Mpina kufungua Kesi zote ndani ya masaa 24

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ile Timu yenu, Timu Msoga imesambaratishwa.

Tuliwaambia kwamba mtarudi tu Kwa Timu Jiwe. Mjomba wako tajiri wa meno ya Tembo ndo hivyo Tena!!

Na Kwa taarifa yako, Bashe pia tunamla kichwa wiki HII!! Dadadeki
Kazi iendelee.
 
Hivi ile Taasisi inaitwa Takukuru kwanini isivunjwe tujue moja?? How in hell tunakua na litaasisi linachukua hela zetu tunawalipa mishahara halafu haina msaada kwa nchi??? Luhaga anahangaika anasema kabisa nchi imehujumiwa rushwa na wizi na hilo taasisi watu wamekaa ofisini hivi kwanini mnalipwa nyie???

Yaani kweli mnalipwa kwa kazi gani???
 
Unafahamu kuwa Somalia ilikuwa Zenjibar?

Wewe kwenu wapi?

Utakuta watu kama wewe hauna historia kabisa na ardhi hii ya Zenjbar.
Kwetu ardhini ule udongo Nyerere aliufanyia mixa,,,siwezi nikajivunia taifa la mwarabu wala mzungu
 
Mpina amewakamata mafisadi vizuri sana, watanganyika tumeiona nia yake, japo inawezekana kabisa mahakamani akashindwa kama alivyoshindwa bungeni, kwasababu kote huko kunaongozwa na vibaraka wa Samia.
 
Zao la Muwa halijawacha kuwa zao la kisiasa, duniani. Siyo Tanzania tu.

"cartel" wakishirikiana na team sukuma wanamtumia huyo poyoyo.
lakin wao wenyewe akitoa statement baloz ami mpungwe amesema kwanin muwaite cartel?? hilo jina wao walikataa kwenye official statement yao chama cha wazalisha sukar.
if you want to kill a dog,,,
 
Sijui kwanini Kila Uchaguzi Mkuu ukikaribia lazima CCM italeta drama za hivi ili kuwaruhusu members zao waende upinzani halafu baada ya Uchaguzi Mkuu, wanarudi zao tena CCM 🙌

Wapinzani wawe macho, hasa CDM

Huyu ni chambo kwenye ndoana
Mawazo ya hofu isiyo na maana yoyote, siasa siku zote huendeshwa na watu sio mawe, hivyo lazima iwe complex bila kujali wakati.

Mpina juzi amegombea ujumbe wa NEC wakamtosa, kama angekuwa ni mtu wao wasingemkataa.
 
Tatizo lipo palepale kama Nyumbu wanavyoshuhudia mwenzao akiliwa wanadhani wao wapo salama kumbe ni jambo la muda tu.
Hawa jamaa watatu wanashambuliwq na kupondwa na kundi moja lakini nadhani huwa wana nia njema ya kulikomboa Taifa watu hawa ni Marehemu Mwenda zake,na yule kijana wa Arusha anayedaiwa kupewa Sumu na huyu Jamaa aliyefukuzwa Bungeni kwasababu za kisheria kilichotungwa kwaajili ya kukomoa badala ya kutoa nafuu kwa watu au kurekebisha.
 
Mbunge wa CCM, Luhaga Mpina amedhamiria kweli kweli, anasema anafungua kesi ila naomba nimkumbushe kesi hizi zikawe na maslahi kwa Taifa na sio political mileage yake!

Naona wakulima WA miwa waligoma ili kumuunga mkono kimtindo, moshi unaofuka huko chini ni zaidi ya volcano hai.

View attachment 3056498
Hii ilikuwa ni kazi ya TLS
 
Tatizo lipo palepale kama Nyumbu wanavyoshuhudia mwenzao akiliwa wanadhani wao wapo salama kumbe ni jambo la muda tu.
Hawa jamaa watatu wanashambuliwq na kupondwa na kundi moja lakini nadhani huwa wana nia njema ya kulikomboa Taifa watu hawa ni Marehemu Mwenda zake,na yule kijana wa Arusha anayedaiwa kupewa Sumu na huyu Jamaa aliyefukuzwa Bungeni kwasababu za kisheria kilichotungwa kwaajili ya kukomoa badala ya kutoa nafuu kwa watu au kurekebisha.
Hii nchi ukiwa upande wa haki kifo kipo nje nje kwako
 
Hii vita apigane akiwa huko huko CCM akiwa nje watamshughulikia mapema sana na hata wale waliokuwa wanamuunga mkono ndani ya CCM watamkimbia atajikuta yuko peke yake kabisa na watampa kila aina ya kesi kwani na yeye ana vimeo vyake.
 
Hii vita apigane akiwa huko huko CCM akiwa nje watamshughulikia mapema sana na hata wale waliokuwa wanamuunga mkono ndani ya CCM watamkimbia atajikuta yuko peke yake kabisa na watampa kila aina ya kesi kwani na yeye ana vimeo vyake.
Una points muhimu sana ila ni ngumu, huyu very soon watamtimua
 
Mawazo ya hofu isiyo na maana yoyote, siasa siku zote huendeshwa na watu sio mawe, hivyo lazima iwe complex bila kujali wakati.

Mpina juzi amegombea ujumbe wa NEC wakamtosa, kama angekuwa ni mtu wao wasingemkataa.
That's the point
 
Mpina amewakamata mafisadi vizuri sana, watanganyika tumeiona nia yake, japo inawezekana kabisa mahakamani akashindwa kama alivyoshindwa bungeni, kwasababu kote huko kunaongozwa na vibaraka wa Samia.
Sema CCM ni genge flani hivi
 
Back
Top Bottom