aliqezaakuu. Kwa namna ambavyo Mpina ameendelea kuwa mwiba mkali kwa serikali ya CCM, nashauri angekuwa na tiketi ya ndege na passport kabisa.
=========================================================
Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina akizungumza hivi karibuni na vyombo vya habari na wanahabari hivi karibuni amegusia kuwa Tanzania kwa sasa kuna watu ambao wana vyeo vikubwa serikalini na watu hao sio Watanzania
"Kuwepo kwa viongozi na watendaji wa serikali katika ngazi za maamuzi ambao sio raia wa Tanzania kunachangia kwa sehemu kubwa kukosekana kwa uzalendo na kuchochea ubadhirifu wa fedha za umma na kwakuwa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama CDF. Jenerali Jacob Mkunda alitutolea taarifa kuwa wapo viongozi na watendaji wa serikali ambao sio raia wa nchi hii”.
View attachment 3219836
Huu ni upuuzi, kusema kwamba Mambo yq nchi hii ni mabovu na ufosadi umejaa,eti kisa kuna watu wasio Raia, kwenye hizo nafasi, ni, upuuzi, na ni spinning tu ya kishenzi,
Hv wakati ma ccm wanaiba escrow, Richmond, meremeta, makinikia, Nani hakuwa Raia!?
Wezi, wote wali kuwa ikulu ya kikwete, anawajua, watu walibeba pesa kwenye viroba! Wale wali kuwa Raia wa nchi gani,?
Kutuambia eti nchi haiendelei kisa kuna vuongozi wasio Raia, ni, kutufanya hatuna akili,
Rais wa, TZ anafanya kila kitu, aliweza kumfukuza spika wa bunge,anateua kila mtu, vuongozi wote wa, kisiasa, wanawekwa na ccm, na ccm ni Rais, kwa sasa ni samia,
Juzi, kwenye mkutano wa ccm, Dom, taratibu zimekiukwa, na Samia na Mwinyi wakapitishwa kibabe, hapo sasa aliyefanya huo uamuzi sio mtz?
Huyu mpina nae ni kenge tu, asitake kuhamisha lawama kuwa nchi haiendelei kwa sababu tu kuna watu sio Raia wapo kwenye maamuzi! Hata kama ndio hivyo,taasisi zote zimejaa ma ccm,
Uhwmiaji, takukuru, jwtz, polisi,TOSS, sasa kosa LA Nani? Mshenzi, tu