Luhaga Mpina: Kuna watendaji wa Serikali katika ngazi za maamuzi ambao sio raia wa Tanzania

Kwenze vyama vya siasa ndo pakuanzia huko ndo wahamiaji haramu,vibaka na mafya wapo huko, wanaanzia maeneo ya mipakani mfano unakuta mtu ni mjaluo eti kapewa uenyekiti wa kijiji..halafu tuje serikalini..Kadri miaka inavosonga tutashindwa kulidhibit maana wewe mwenyewe unaenda kufanya hyo operation nawewe unajikuta ni muhamiaji kwahyo inakuwa haina uzito..
 
Kweli wewe ni Bufa 😃
 
Watu wasikisia viongozi wasio raia wanawaza warundi, wanyarwanda na waganda.

Hawafikirii kabisa anaweza kuwa Mwarabu, Mhindi, Mzungu
 
Huu ni upuuzi, kusema kwamba Mambo yq nchi hii ni mabovu na ufosadi umejaa,eti kisa kuna watu wasio Raia, kwenye hizo nafasi, ni, upuuzi, na ni spinning tu ya kishenzi,
Hv wakati ma ccm wanaiba escrow, Richmond, meremeta, makinikia, Nani hakuwa Raia!?
Wezi, wote wali kuwa ikulu ya kikwete, anawajua, watu walibeba pesa kwenye viroba! Wale wali kuwa Raia wa nchi gani,?
Kutuambia eti nchi haiendelei kisa kuna vuongozi wasio Raia, ni, kutufanya hatuna akili,
Rais wa, TZ anafanya kila kitu, aliweza kumfukuza spika wa bunge,anateua kila mtu, vuongozi wote wa, kisiasa, wanawekwa na ccm, na ccm ni Rais, kwa sasa ni samia,
Juzi, kwenye mkutano wa ccm, Dom, taratibu zimekiukwa, na Samia na Mwinyi wakapitishwa kibabe, hapo sasa aliyefanya huo uamuzi sio mtz?
Huyu mpina nae ni kenge tu, asitake kuhamisha lawama kuwa nchi haiendelei kwa sababu tu kuna watu sio Raia wapo kwenye maamuzi! Hata kama ndio hivyo,taasisi zote zimejaa ma ccm,
Uhwmiaji, takukuru, jwtz, polisi,TOSS, sasa kosa LA Nani? Mshenzi, tu
 
Mtamalizana ccm wenyewe bwana sisi wanyonge hayatuhusu
 
Vetting ndio taasisi gani Mkuu?
 
Cdf ndio alitakiwa awataje
Mtu ni CDF, eti na ye ye analalamika kuwa kuna watu sio Raia wa nchi hii, na, wapo serikalini!
Una, rasilimali, zote, mpaka intelijensia ya jeshi bado unalalamika! Juzi, na Rais analalamika kuwa Kariakoo ilichomwa ili watu wafiche documents, !
Rais na yeye anashangaa! Hakuna mtu Kalamata, hakuna mashitaka! Ccm mnatuchuliaje aisee! Motherfuckers assholes
 
Hilo jinga limechanganyikiwa linaokoteza kila uchafu
 
C
Wengine ni wakubwa sana kule benki kubwaa ya watanganyika

Yule Rais mzilankende aliyevutishwa si alikuwa mrundi

Kwani chui jike ni mtanzania yule?

Yule bibi profesa asiyejua kutema yai

Na huyu anayetaka kuishi muda mrefu mliyemtemesha mzigo juzi

Hapo Umewataja
0. Marehemu jiwe
1. Bwana kuoga pale byotii
2. Bi chakoNiChako
3. Bwana kigoma
 
P Umeandika point kabisa,tuepuke dhambi hii ya ubaguzi
 
CDF aliyesena kuna viongozi wakubwa serikarini si raia wa nchi hii alikua na ugomvi na nani?
Mpina ana ugomvi na Bashe.
CDF hana ugomvi na mtu.
Lakini CDF anaitwa "Nkunda" halafu yupo Kamanda mmoja maarufu wa Wapiganaji wa msituni Zaire naye pia alikuwa anaitwa "Nkunda" au jina kama hilo.
Sasa akili kichwani kwako bwana.
Put two and two together.
 
Kwa hiyo ajenda ya raia feki kushika dola ya Tanzania inasukwa mpaka jeshini kwa ukamilifu ....ni kweli ajenda ya raia feki kushika nchi yetu dhidi ya wazawa ni REAL ...na tunako kwenda kutakuwa kubaya zaidi ..bungeni kuliwai kuwa hadi na singasinga kaingizwa na genge la raia feki ...kitu pekee ambacho kilikuwa bado kudhibitiwa kikamilifu ni jeshi letu ambalo ajenda ya raia feki imefanikiwa kwa asilimia 10% jeshini
 
CCM ndio imeleta watu wote hao,CCM ni kifo cha Taifa letu,NI CHAMA CHA KIHUNI HUNI sana.CCM tuipumzishe tena chini ya huyu mama mwenye dharau ni kabisa CCM imebaki kama choo tu.
 
C

Hapo Umewataja
0. Marehemu jiwe
1. Bwana kuoga pale byotii
2. Bi chakoNiChako
3. Bwana kigoma
Mtu anaweza kuwa siyo raia wa Tanzania ila akawa ni kiongozi mzalendo kwa tanzania ila hapa tunawazungumzia raia feki wasio wazalendo wenye ajenda ovu na nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…