Luhaga Mpina: Mfumuko wa bei umetengenezwa. Ataka uchunguzi kilichojificha Symbion na mikataba mibovu ikafutwe bungeni

Luhaga Mpina: Mfumuko wa bei umetengenezwa. Ataka uchunguzi kilichojificha Symbion na mikataba mibovu ikafutwe bungeni

Hatuna muda wa kujiunga na wazalendo wakatili. Mikataba ya manunuzi ya ndege iko wazi? Ujenzi wa reli, bwawa iko wazi? Hatuingi mkono wizi ndani ya nchi yetu, lakini hatuungani na wanafiki walioshiriki uovu wa Magufuli dhidi yetu.
Kwa lugha nyepesi kwa hiyo wakae kimya? Nani ayaseme? Hebu jaribu basi kuwa unatafakari kidogo kabla ya kuchangia!
 
Anayosema ni kweli, lakini kwanini alikaa kimya awamu yao?

awamu ya tano waliyakataa haya na walikataa kumlipa sybion na hawakuleta mikataba mibovu. sasa wamerudi wenyewe wa awamu ya 4 wenye mikataba yao
 
Nchi hii kuna watu wanauelewa mdogo sana wa mambo haya na watakuja watu watamuunga mkono tu. Huwezi kutengeneza inflation dunia nzima kuna imbalance kubwa kati ya supply na demand mpaka kwenye shipping kuna ongezeko la bei kubwa sana. Hili ni janga la dunia nzima kuna nchi tajiri duniani kama USA, UK, India mpaka UAE kwa uchache tu wameongeza interest rates kupunguza hii hali. Sasa angesema nani aliyepanga na nia ni nini na pija na solution kuondoka hii inflation. Sijasikia hata mbunge mmoja au serikali kusema hebu tusimamishe export ya vyakula kidogo nje na mpaka nyama wanapeleka sana nje ili kuongeza supply kidogo nchini ku balance extra wauze. Mafuta ya kula bei zimeanza kupanda duinia nzima toka mwaka jana haya ni majanga ya Covid hii ni gharama za lockdown tunaziona leo lakini siku biashara iki balance tu bei zatarudi. China ana containers empty kibao kwake huko na hii imeleta upungufu mkubwa na kusababisha shipping bei kupanda. Kwenye ngano inajulikana Russia na Ukraine ni supply wakubwa duniani kwa maana mwakani tujipange Ukraine hawajalima wako vitani demand kubwa supply chini. Mafuta bei zinapanda kwa speculation hali ikiwa sio stable bei juu hakuna uhakika wakupata mafuta kesho sababu ya shipping haina uhakika kila mtu anabana alichokuwa nacho lakini production ni ileile sababu Russia still ana produce shida ni bei inaamuliwa na madadali huko stock exch market.
ninacho pinga ni mbunge kuja kusema imepangwa huu ni ujinga na aseme nani kapanga kwa madhumuni gani?
Hatujakuelewa unalalamika, unachangia au unatoa mada?????.Hebu jipambanue, this is GT avenue, acha blabla u kn. Jibuni hoja za Luhaga ak.a kibano
 
Hatujakuelewa unalalamika, unachangia au unatoa mada?????.Hebu jipambanue, this is GT avenue, acha blabla u kn. Jibuni hoja za Luhaga ak.a kibano
Hii ndio shida yenu" hatujakuelewa jibuni" kwani tumekuwa wangapi? kweli kwa hili muote tu kuchukuwa nchi hii halafu imekuwa kama issue ya wasukuma ni kama kuna watu wana hasira. Wasukuma walipewa nchi miaka 6 lakini majanga waliyoacha utasema walitawala miaka 60. Nyerere alikuwa na akili kuhusu hawa jamaa.
 
Jamaa namuelewa ana pointi nyingi za msingi sana, ameamua kuweka maslahi ya taifa mbele hata kama yatagharimu ubunge wake mbele ya safari, huyu kwangu ndie mzalendo.

Watakaompinga nawashauri wampinge kwa kujibu hoja zake, sio zile kelele za wakati wake alifanya nini, kuendelea kujidumaza kwa majibu mepesi kama hayo ni kuliangamiza hili taifa.

Safi mkuu

Ujumbe kama huu ausome kwa herufi kubwa ndugu SALARY SLIP
 
Kama uungi mkono unafiki kama unavyosema mbona chadema walisema Lowassa ni fisadi kwa miss wa miaka 8 lakini hao hao wakajakumpokea kuwa mgombea wao wa Uraisi pamoja na hivyo mbona mpaka Leo still unawasikiliza viongozi wa chadema
Vip mbona huishi kwenye maneno yako?
Carlos The Jackal

Pitia post zangu uone kama kuna popote niliunga mkono ujio was lile zee tapeli la siasa. Nawasikiliza viongozi wa cdm maana wote hatuwezi kuongea, ila maamuzi nafanya mimi wao wakishaongea. Una lingine nikusaidie?
 
Nchi hii kuna watu wanauelewa mdogo sana wa mambo haya na watakuja watu watamuunga mkono tu. Huwezi kutengeneza inflation dunia nzima kuna imbalance kubwa kati ya supply na demand mpaka kwenye shipping kuna ongezeko la bei kubwa sana. Hili ni janga la dunia nzima kuna nchi tajiri duniani kama USA, UK, India mpaka UAE kwa uchache tu wameongeza interest rates kupunguza hii hali. Sasa angesema nani aliyepanga na nia ni nini na pija na solution kuondoka hii inflation. Sijasikia hata mbunge mmoja au serikali kusema hebu tusimamishe export ya vyakula kidogo nje na mpaka nyama wanapeleka sana nje ili kuongeza supply kidogo nchini ku balance extra wauze. Mafuta ya kula bei zimeanza kupanda duinia nzima toka mwaka jana haya ni majanga ya Covid hii ni gharama za lockdown tunaziona leo lakini siku biashara iki balance tu bei zatarudi. China ana containers empty kibao kwake huko na hii imeleta upungufu mkubwa na kusababisha shipping bei kupanda. Kwenye ngano inajulikana Russia na Ukraine ni supply wakubwa duniani kwa maana mwakani tujipange Ukraine hawajalima wako vitani demand kubwa supply chini. Mafuta bei zinapanda kwa speculation hali ikiwa sio stable bei juu hakuna uhakika wakupata mafuta kesho sababu ya shipping haina uhakika kila mtu anabana alichokuwa nacho lakini production ni ileile sababu Russia still ana produce shida ni bei inaamuliwa na madadali huko stock exch market.
ninacho pinga ni mbunge kuja kusema imepangwa huu ni ujinga na aseme nani kapanga kwa madhumuni gani?
Serikali ipo pale kwa kazi gani, nini majukuku ya serikali makini?

Unafikiri JPM angeruhusu huu ujinga, asingeweka mikakati.

Hii serikali kila kitu wanaongeza, wanasingizia Corona, Vita. Hawana uchungu na maisha ya Watz wa kawaida.
 
awamu ya tano waliyakataa haya na walikataa kumlipa sybion na hawakuleta mikataba mibovu. sasa wamerudi wenyewe wa awamu ya 4 wenye mikataba yao

Wapinzani wote huwasikii kuhusu mkataba wa Symbion na mikataba mingine ya hovyo. Wanashangilia uhuni huu, Raia, Wananchi kuporwa mali zao mchana kweupe.

Watakuambia yeye sio kama JPM hata akiiuza nchi nzima kwa UAE. Loliondo,Bagamoyo pia zitauzwa.
 
Hii ndio shida yenu" hatujakuelewa jibuni" kwani tumekuwa wangapi? kweli kwa hili muote tu kuchukuwa nchi hii halafu imekuwa kama issue ya wasukuma ni kama kuna watu wana hasira. Wasukuma walipewa nchi miaka 6 lakini majanga waliyoacha utasema walitawala miaka 60. Nyerere alikuwa na akili kuhusu hawa jamaa.

Mpina amekosea nini mkuu?!

Nyerere alisema nini kuhusu wasukuma ebu tujuze
 
Hapo amekula kiporo Cha maharage, ana pass wind tu
 
Jiwe alivunja mkataba wa Symbion kihuni na sasa tunalipa mabilioni.
 
Wote ni walewale tu ni hasira ya kukosa uwaziri
 
Pitia post zangu uone kama kuna popote niliunga mkono ujio was lile zee tapeli la siasa. Nawasikiliza viongozi wa cdm maana wote hatuwezi kuongea, ila maamuzi nafanya mimi wao wakishaongea. Una lingine nikusaidie?
Mbona unafiki wa viongozi wako wa chadema uzungumzii?
 
Back
Top Bottom