Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Luhaga Mpina, mmoja wa Wana CCM waliochukizwa Samia kuwa Rais, awaita Mawaziri awamu ya 6 matapeli

Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Sikubaliani na Luhanga Mpina. Lakini wewe ulipaswa kupelekwa Ukraine mstari wa mbele ukaokoe Kyev
 
Kazi imeanza!

Upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM by Nyerere!
Huo utabiri wa Nyerere kuwa upinzani wa kweli ungetokea ndani ya ccm ulishatimia siku nyingi. Kwani akina Mtei, Mrema, Marando, Barongo, Ngwilulupi, Dkt. Slaa, Lowasa, Sumaye, nk si walitokea huko ccm? Hata akina Mwakyembe, Sitta, Nape, na wengine wengi walikuwa njani kuondoka ccm wakawahiwa na kuzuiwa. Kama 2015 ccm iliponea chupuchupu na ikaasisi mkakati wa kuhujumu upinzani kwa njia zote halali na haramu ili kujinusuru. Hata hivyo pamoja na uharamia wote wa miaka 5 bado mwaka 2020 waliamua kujivika uchizi kabisa na kufuta uchaguzi ili kujitangazia ushindi.
 
Huyu mtu ana chuki Sana na Samia na kajigeuza ndio msemaji wa sukuma gang..

Amekuwa akimeshambulia Waziri Makamba kwa tuhuma lukuki za kutunga..

Hivi ina make sense kwamba Makamba ahujumu mradi wenye maslahi ya Nchi kweli? Kwamba Serikali inamuogopa Makamba au?

Unashindwa kuelewa malengo yake huyu bwana ni nini hasa,mh.Rais Huyu ni WA kunyamazishwa,ni mpuuzi fulani tuu..

Spika ulimnyamazisha kenge kama huyu usimchekee.
Wewe nawe hovyo tu
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Mtu kama wewe unatakiwa kufutika kabisa katika uso wa dunia,unafitinisha watu!
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Kinembe mlamba Asali!
 
Acha majungu fanya kazi kibaraka wa kipara wewe, tuweke hapa takwimu kuwa Luhaga Mpina anachukiwa na wakazi wa kanda ya ziwa?
Huyo takataka akitokea hapa nkome jimboni kwa msukuma tutampasuaa mapua!!
 
Luhaga Mpina, mmoja kati ya Mawaziri waliochukiwa sana hasa Kanda ya ziwa, alichukizwa sana kuona Samia Suluhu Hassan anaapishwa kuwa Rais.

Yeye na kundi la akina Polepole na Ndungai, Kalemani kwa pembeni walijipanga vilivyo kuhakikisha bajeti ya mama Samia 2022/2023 haipiti, lengo lao lile lile kuangushwa serikali kwa sababu Wana chuki kubwa sana na uraisi wa Samia.

Hotuba yake ya Leo kaandikiwa na Kalemani, waliiandaa pamoja na Polepole na Ndungai. Ndungai bado hajaridhishwa kuondolewa Bungeni, hivyo ameacha ma parody yake, na amepanga kuyatumia kutimiza lengo lake la kumtikisa Samia.

Mama, shughulika naye huyu, wanazunguka tu, lakini lengo ni wewe mama yetu. Tunaapa kukulinda, kama ni uhalifu, hakuna muhalifu kama Luhaga Mpina.
Bhangi kweli haijawahi kumwacha mtu salama?,kosa la mpina ni kuusema ukweli?,
 
Back
Top Bottom