- Thread starter
- #181
Kwa jinsi gharama zilivyoongezeka bandarini,Hii message imemlenga mtu fulani na watu fulani.
Ngoja tuone!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa jinsi gharama zilivyoongezeka bandarini,Hii message imemlenga mtu fulani na watu fulani.
Ni kweli lakini njia hiyo inakuwa bora iwapo watawala wanaheshimu demokrasia.Kwa jinsi watawala wa kiafrika wanavyominya demokrasia mapinduzi ni njia muafaka licha ya kwamba gharama yake ni kubwa yakifeliKutumia Demokrasia ni bora kuliko kupinduana.
Tell me about it, hiyo democracy ilisaidia nini kwenye hizo nchi?Kutumia Demokrasia ni bora kuliko kupinduana.
Hiyo 3 percent ya hao unaowaowaita machadema umeipata baada ya calculation zenye utafiti upiKatiba Mpya inazuia wizi wa kura? How?
Maono ya Machadema sio Wananchi hata 3% hawafiki
Chadema na uroho wa madaraka au unaongelea CCM, wewe jitoe akili tuu maana kutokuwa na akili ni qualification number moja ya uchawaUroho wa madaraka kama walionnao Chadema,wanatafuta weak reason wanapindua nao wanaendelea kufanya Yale Yale.
Yaani wewe Kwa akili Yako unadhani wanajeshi watapindua wewe upate maisha? 😁😁
Labda uwe sehemu ya Utawala husika.
Libya ya GadfiWaliopindua mbona wanaendelea kufanya hayo hayo anayoyasema Mpina?
Utawala upi wa Kijeshi ambao jmewaletea Neema Wananchi? Na mbaya zaidi wanajeshi huwezi walalamikia kwamba umekosa Haki unapigwa tuu.
So hakuna uhalali wa kupindua Wala haijawahi kuwa na faidia popote zaidi ya kuongeza umaskini Kwa watu
Hakuna demokrasia Africa zaidi ya maigizo tupuKutumia Demokrasia ni bora kuliko kupinduana.
Jitu lijinga kama hilo unaachana naloChadema na uroho wa madaraka au unaongelea CCM, wewe jitoe akili tuu maana kutokuwa na akili ni qualification number moja ya uchawa
Kuiondoa CCM inahitaji vijana jasiri haswaMapinduzi ya Kiraia kama ya Zanzibar ya kumuondoa Sultani ni bora kuliko ya Wanajeshi.
Bora lakini haya majangili ya CCM yasiwepoWaliopindua mbona wanaendelea kufanya hayo hayo anayoyasema Mpina?
Utawala upi wa Kijeshi ambao jmewaletea Neema Wananchi? Na mbaya zaidi wanajeshi huwezi walalamikia kwamba umekosa Haki unapigwa tuu.
So hakuna uhalali wa kupindua Wala haijawahi kuwa na faidia popote zaidi ya kuongeza umaskini Kwa watu
Heri tung'ang'aniwe na hao ambao tutakuwa tunajua 100 percent ni wanajeshi kuliko kufanyiwa hivyo na hawa tunaowaona ni wa serikali ya kiraia ambapo kipindi cha uchaguzi kikifika mchakato wa uchaguzi unajaa mafekenye ya kufa mtu mpaka mgombea anapita eti bila kupingwa.God have mercy on usNakuelewa Sana...
Ila historia inaendelea kuonyesha hakuna mapinduzi ya kijeshi hapa Africa yaliyoziletea nchi hizo suluhisho la matatizo yao mengi ya kijamii na kiuchumi.
Ila wanapinduzi wapya baada ya muda na wao hugeuka madikteta, mafisadi na ving'ang'anizi vya madaraka
Wananchi wataweza kuwapata Viongozi wawatakao.Tell me about it, hiyo democracy ilisaidia nini kwenye hizo nchi?
Wanajeshi watapora zaidi ya CCM.Kuiondoa CCM inahitaji vijana jasiri haswa
Demokrasia ipo hatutaki Utawala wa Kijeshi.Hakuna demokrasia Africa zaidi ya maigizo tupu
bora wanajeshi waibe lakini CCM iondoke mimi hata shetani nitamuunga mkono dhidi ya CCMWanajeshi watapora zaidi ya CCM.
Kwa CCM hii acha wanajeshi watusaidieDemokrasia ipo hatutaki Utawala wa Kijeshi.
Rwanda.Waliopindua mbona wanaendelea kufanya hayo hayo anayoyasema Mpina?
Utawala upi wa Kijeshi ambao jmewaletea Neema Wananchi? Na mbaya zaidi wanajeshi huwezi walalamikia kwamba umekosa Haki unapigwa tuu.
So hakuna uhalali wa kupindua Wala haijawahi kuwa na faidia popote zaidi ya kuongeza umaskini Kwa watu
Ukweli ndiyo huo.Akamuamshe kichaa mwenzake waje kupindua serikali, asizungukezunguke.
Ukweli ndiyo huo.Hivi kwa kutumia demokrasia unategemea kuwaondoa CCM ....!!?
Kama demokrasia haifanyi kazi ni bora kutumia mapindizi tu ...... MPINA yuko sahihi!!
Jamaa ana njaa mbaya yaani akipewa tu uwaziri utasikia mashairi yote mazuri ya kupongeza utawala wa awamu ya sita.Mpe cheo kama utamsikia