Pre GE2025 Luhaga Mpina: Nchi sita za Afrika zilizopindua Serikali zao zilikuwa sahihi

Pre GE2025 Luhaga Mpina: Nchi sita za Afrika zilizopindua Serikali zao zilikuwa sahihi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jamaa ana njaa mbaya yaani akipewa tu uwaziri utasikia mashairi yote mazuri ya kupongeza utawala wa awamu ya sita.
Kinachokusumbua ni kifungo Cha uchama na kuamini kuwa CCM wote wameoza na upinzani wote ni Malaika.

Ukitoka nje ya gereza Hilo, utayaona mengi katika usahihi wake.
 
Kinachokusumbua ni kifungo Cha uchama na kuamini kuwa CCM wote wameoza na upinzani wote ni Malaika.

Ukitoka nje ya gereza Hilo, utayaona mengi katika usahihi wake.
Hapana mkuu bahati mbaya CCM kuna makundi matatu(i)Mafisadi(ii)Madikteta(iii)Wajinga.Katika makundi haya yote matatu kila kundi lina wafuasi wake.Mpina yuko kundi namba mbili ambalo analipenda sana kwa hiyo mimi siwezi unga mkono mtu mkabila,mkanda,mchama na mlafi wa madaraka.Napenda mtu anayeheshimu Katiba ya nchi na Watanzania wote bila kujali jinsia,umri,elimu,rangi,chama,kabila,kanda na ukoo.
 
Hapana mkuu bahati mbaya CCM kuna makundi matatu(i)Mafisadi(ii)Madikteta(iii)Wajinga.Katika makundi haya yote matatu kila kundi lina wafuasi wake.Mpina yuko kundi namba mbili ambalo analipenda sana kwa hiyo mimi siwezi unga mkono mtu mkabila,mkanda,mchama na mlafi wa madaraka.Napenda mtu anayeheshimu Katiba ya nchi na Watanzania wote bila kujali jinsia,umri,elimu,rangi,chama,kabila,kanda na ukoo.
Judge Warioba, Yuko kundi lipi kati ya hayo matatu?
 
Salaam, Shalom!!

Akiongea kupitia press aliyoitisha nje ya Bunge amedai kuwa UMOJA wa Afrika haupasi kuzisimamisha uanachama Nchi 6 zilizopindua Serikali zao kwa sababu Watawala waliopinduliwa hawakujali sauti na matakwa ya wananchi.

Amedai kuwa RUSHWA ikitamalaki, ukiukwaji wa HAKI za binadamu ukiota mizizi, Wizi wa kura ukitamalaki, wizi wa Raslimali za umma ukitamalaki, dhuluma ikizidi katika JAMII, hakuna njia ingine wananchi wanaweza kufanya zaidi ya kupindua Serikali zao Kwa njia mbalimbali.

Ndugu Mpina ameitaka Serikali ya Rais Samia Kutoa tamko kushauri Nchi hizo zisizuiliwe uanachama katika ushirika wa AU.

Mungu ambariki na kumlinda ndugu Mpina,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

HAKI ikatawale katika Taifa. Amen


Chanzo: Uhondo Tv.



Karibuni 🙏
Hata JONAS SAVIMBI na UNITA yake walikiwa sahihi walishtukia huu ujinga kitambo sn...
 
Utakuja kugundua baadae kuwa ni BIG Mistake.
Kwa namna Fulani uko sahihi,

Kuziondoa Serikali ovu Kwa njia ya maandamano ni njia Bora na sahihi inayoruhusiwa kikatiba,

Wanaoogopa kulipa gharama, ndio hao wanawaza kusaidiwa na Majeshi.

Utawala wa kijeshi ni mbaya sana.

Muhimu hapo CCM na Serikali ilio madarakani izibue masikio na kukubali KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote Ili kuondoa hizo possibilities.
 
Hata JONAS SAVIMBI na UNITA yake walikiwa sahihi walishtukia huu ujinga kitambo sn...
Watawala Huwa Wana dharau sana Kwa wananchi,

Wanasahau chanzo Cha mamlaka waliyonayo yametokea Kwa wananchi.
 
Salaam, Shalom!!

Akiongea kupitia press aliyoitisha nje ya Bunge amedai kuwa UMOJA wa Afrika haupasi kuzisimamisha uanachama Nchi 6 zilizopindua Serikali zao kwa sababu Watawala waliopinduliwa hawakujali sauti na matakwa ya wananchi.

Amedai kuwa RUSHWA ikitamalaki, ukiukwaji wa HAKI za binadamu ukiota mizizi, Wizi wa kura ukitamalaki, wizi wa Raslimali za umma ukitamalaki, dhuluma ikizidi katika JAMII, hakuna njia ingine wananchi wanaweza kufanya zaidi ya kupindua Serikali zao Kwa njia mbalimbali.

Ndugu Mpina ameitaka Serikali ya Rais Samia Kutoa tamko kushauri Nchi hizo zisizuiliwe uanachama katika ushirika wa AU.

Mungu ambariki na kumlinda ndugu Mpina,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

HAKI ikatawale katika Taifa. Amen


Chanzo: Uhondo Tv.



Karibuni 🙏
 
La mwisho. Kwa sababu alipigwa makofi na Makonda halafu Rais wa wakati huo Kikwete akamteua Makonda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na baadaye Magufuri akamteua kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,halafu yeye Mzee Warioba anabakia upuuzi wa wanachama wenzake.
Judge Warioba, Yuko kundi lipi kati ya hayo matatu?
 
La mwisho. Kwa sababu alipigwa makofi na Makonda halafu Rais wa wakati huo Kikwete akamteua Makonda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na baadaye Magufuri akamteua kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,halafu yeye Mzee Warioba anabakia upuuzi wa wanachama wenzake.
Uchambuzi wako juu ya makundi hayo ni hafifu sana.

Wazalendo ndani ya CCM huwezi kuwatia wajinga.
 
Point taken.

Rejea kauli ya KIKWETE!!

Wanashinda uchaguzi hawatangazwi, ila walioshindwa ndio wanatangazwa!!
Hekma imeenda likizo
 

Attachments

  • IMG_20240528_054315_163.jpg
    IMG_20240528_054315_163.jpg
    18 KB · Views: 3
Back
Top Bottom