Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli sijawahi kusikia hiiI think anajua anachokiongea...
Sasa kumbe kuna cupping ya makalio 😄
Kweli kabisaAna hoja,kuliko kununua Hizo machine nadhani wangeoza nguvu za kununua dialysis machine kupambana na tatizo sugu la Figo
Zipo Za Makalio, Matiti, TumboKuna mashine za kuongeza makalio kumbe?
Kuna mwenye picha ya hizo mashine?
.mie atume kwanza hilo kalio lililo bustiwa tuoneKuna mashine za kuongeza makalio kumbe?
Kuna mwenye picha ya hizo mashine?
[emoji1] ukipata picha ntumie na mimi nioneKuna mashine za kuongeza makalio kumbe?
Kuna mwenye picha ya hizo mashine?
Nchi hii sahvi ujingujingHatuna vipaombele vya maana ndio maana watawala Kutwa Kutwa kuwaza anasa kwa matumizi ya hovyo ya pesa ya umma.
Mapinduzi yashapitaMpina anachanganya mambo sana, sasa tunaongelea Mapinduzi ya Zanzibar, yeye analeta mada tofauti, eti hela za kununua mashine za kuongeza makalio zimetoka wapi? Mpina tulia, sisi tumeomba wadada wetu watengenezwe zaidi, wavutie, kwani hiyo sio sehemu ya tiba? Alafu 2025 jiandae tu uende upinzani, CCM ndio kwakheri kwako, utake usitake, huna adabu wala shukrani wewe..
Mbunge huyu alikuwa bungeni akasoma bajeti? Au anathibitisha upumbavu wake?"Hospitali za Serikali kuacha jukumu lake la msingi na kuanza kufanya kazi za anasa kama kuongeza ukubwa wa makalio badala ya kujishughulisha kikamilifu kutibu maradhi yanayosumbua wananchi, tunao uhaba mkubwa wa raslimali fedha katika kutatua matatizo ya huduma za afya, mfano leo ni zaidi ya miaka 3 tumeshindwa kutoa mtaji kwa MSD wa takribani Shilingi Bilioni 500 kwa ajili ya kununulia dawa na vifaa tiba kutokana na ukosefu wa fedha, hizi fedha za kununua mitambo na vifaa vya kuongeza ukubwa wa makalio zimetoka wapi?" -Mpina
Luhaga Mpina ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM) amezungumza hayo alipokutana na Wanahabari kwenye Uwanja wa New Amani Complex, Zanzibar wakati wa maadhimisho ya miaka Sitini (60) ya Mapinduzi ya Zanzibar
Ulimwengu wa sasa umejaa misukosuko ndugu yangu😁Sasa kumbe kuna cupping ya makalio 😄
Nilifikiri cupping ya mwilini kumbe mpaka nyuma
Kweli hatuishi kujifunza
Vibaya mno na Mungu atunusuru na vizazi vyetuUlimwengu wa sasa umejaa misukosuko ndugu yangu😁
Ameen.Vibaya mno na Mungu atunusuru na vizazi vyetu