Luhaga Mpina: Pesa za Kununua Mashine za Kuongeza Makalio Mloganzila zimetoka wapi?

Luhaga Mpina: Pesa za Kununua Mashine za Kuongeza Makalio Mloganzila zimetoka wapi?

Kiukweli hata mimi nilishtuka kusikia taarifa hii. Nchi hii maskini ambayo bado watu wanakufa kwa magonjwa yanayozuilika kwa kukosa hata x ray tunanunua mashine na kuajiri madaktari wa kuongeza makalio?

Huko CCM sijui nini kinaendelea lakini ni dalili za chama kuharibika beyond repair! Zamani wangetifuana kwenye vikao kwa maamuzi hayo ya kijinga ya serikali! Sasa wamejazana machawa ....
 
Kitu Mpina anashindwa kuelewa ni kwamba katika utabibu kuna tawi la "plastic surgery" na walengwa wa utabibu huu ni makundi mawili....

1. Wanaotaka kufanya skin reconstruction baada ya kupatwa na madhara kama kuungua, kumwagiwa tindikali, ngozi kukaka kwa sababu za kijenetiki n.k

2. Wanaotaka kufanya skin reconstruction kwa sababu za urembo (cosmetic reconstruction) baada ya deformations zilizosababishwa na unene kupitiliza n.k

Madaktari wa namba 1 ndio hao wa namba 2, baadhi ya vifaa vya namba 1 vinatumika pia kwa namba 2...

Utabibu si pekee kwa ajili ya watu wanaojiita "wanyonge toka wamepata uhuru" bali pia ni kwa ajili ya wenye pesa ambao ni wachache...

Hizo mashine anazolalama bwana Mpina, mathalani bei ya liposuction machine ni sawa na mshahara wa mbunge huyo wa miezi kadhaa...
 
Mpina anachanganya mambo sana, sasa tunaongelea Mapinduzi ya Zanzibar, yeye analeta mada tofauti, eti hela za kununua mashine za kuongeza makalio zimetoka wapi? Mpina tulia, sisi tumeomba wadada wetu watengenezwe zaidi, wavutie, kwani hiyo sio sehemu ya tiba? Alafu 2025 jiandae tu uende upinzani, CCM ndio kwakheri kwako, utake usitake, huna adabu wala shukrani wewe..
🚮
 
Kumbe mwanasiasa hugeuka kuwa mkweli pale ambapo ugali wake unakatwa na kubakiwa na robo...

Nampongeza kada mwenzangu Luhanga kwa kujivika ujasiri.
Hii habari mbona ipo kitambo?
Screenshot_20240118_061425_UC%20Browser.jpg
 
Kumbe mwanasiasa hugeuka kuwa mkweli pale ambapo ugali wake unakatwa na kubakiwa na robo...

Nampongeza kada mwenzangu Luhanga kwa kujivika ujasiri.
Mfano ni spika mstaafu kipindi cha mwendazake akakata mpaka posho za Tundu lisu kipindi cha mama akaponda utaratibu wa kukopa nje wakati watanzania wanakamuliwa kwa tozo!!!!
 
"Hospitali za Serikali kuacha jukumu lake la msingi na kuanza kufanya kazi za anasa kama kuongeza ukubwa wa makalio badala ya kujishughulisha kikamilifu kutibu maradhi yanayosumbua wananchi, tunao uhaba mkubwa wa raslimali fedha katika kutatua matatizo ya huduma za afya, mfano leo ni zaidi ya miaka 3 tumeshindwa kutoa mtaji kwa MSD wa takribani Shilingi Bilioni 500 kwa ajili ya kununulia dawa na vifaa tiba kutokana na ukosefu wa fedha, hizi fedha za kununua mitambo na vifaa vya kuongeza ukubwa wa makalio zimetoka wapi?" -Mpina

Luhaga Mpina ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM) amezungumza hayo alipokutana na Wanahabari kwenye Uwanja wa New Amani Complex, Zanzibar wakati wa maadhimisho ya miaka Sitini (60) ya Mapinduzi ya Zanzibar
Naibu Waziri wa Afya kamjibu vizuri tu, nadhani uelewa wake kuhusu plastic surgery ulikuwa mdogo na nina imani baada ya maelezo ya Naibu Waziri ameelewa vilivyo, hatapotosha tena.
 
Kumbe mwanasiasa hugeuka kuwa mkweli pale ambapo ugali wake unakatwa na kubakiwa na robo...

Nampongeza kada mwenzangu Luhanga kwa kujivika ujasiri.
Jikite kwenye hoja yake,achana na Luhaga Mpina as person

Kwanini huwa mnakwepa hoja?
 
"Hospitali za Serikali kuacha jukumu lake la msingi na kuanza kufanya kazi za anasa kama kuongeza ukubwa wa makalio badala ya kujishughulisha kikamilifu kutibu maradhi yanayosumbua wananchi, tunao uhaba mkubwa wa raslimali fedha katika kutatua matatizo ya huduma za afya, mfano leo ni zaidi ya miaka 3 tumeshindwa kutoa mtaji kwa MSD wa takribani Shilingi Bilioni 500 kwa ajili ya kununulia dawa na vifaa tiba kutokana na ukosefu wa fedha, hizi fedha za kununua mitambo na vifaa vya kuongeza ukubwa wa makalio zimetoka wapi?" -Mpina

Luhaga Mpina ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kisesa (CCM) amezungumza hayo alipokutana na Wanahabari kwenye Uwanja wa New Amani Complex, Zanzibar wakati wa maadhimisho ya miaka Sitini (60) ya Mapinduzi ya Zanzibar
Samia anatafuta Kik tu, chochote, kinachomletea cheap popularity, ye ye ni huko huko, upuuzi wa mpira,kununua kila gori kwa milioni moja, kutoa milioni 500! Kwa taifa star, na upuuzi mwingine,
 
Kitu Mpina anashindwa kuelewa ni kwamba katika utabibu kuna tawi la "plastic surgery" na walengwa wa utabibu huu ni makundi mawili....

1. Wanaotaka kufanya skin reconstruction baada ya kupatwa na madhara kama kuungua, kumwagiwa tindikali, ngozi kukaka kwa sababu za kijenetiki n.k

2. Wanaotaka kufanya skin reconstruction kwa sababu za urembo (cosmetic reconstruction) baada ya deformations zilizosababishwa na unene kupitiliza n.k

Madaktari wa namba 1 ndio hao wa namba 2, baadhi ya vifaa vya namba 1 vinatumika pia kwa namba 2...

Utabibu si pekee kwa ajili ya watu wanaojiita "wanyonge toka wamepata uhuru" bali pia ni kwa ajili ya wenye pesa ambao ni wachache...

Hizo mashine anazolalama bwana Mpina, mathalani bei ya liposuction machine ni sawa na mshahara wa mbunge huyo wa miezi kadhaa...
Hii nchi kuna watu ni wabinafsi sana utafikiri wao wanalipa kodi zaidi kuliko wengine.

Muimbili mpaka wameanzisha hio huduma washajua wateja wapo na kwa gharama hiyo hizo pesa za machine zinarudi na tunapunguzia watu gharama za kwenda uturuki.
 
Back
Top Bottom